Dkt. Kigwangalla: Mo Dewji ni mfanyabiashara Mwenye Uwezo mdogo sana wa kufikiri, nimeamua kumpuuza!

Dkt. Kigwangalla: Mo Dewji ni mfanyabiashara Mwenye Uwezo mdogo sana wa kufikiri, nimeamua kumpuuza!

Hana 3.5T, hata 1T inawezekana hajafikisha
Hizi ni fikra mgando,hivi unajua MO alirithishwa only 50B,miakaa 20 iliyopita leo ana 3.5T,hivi unafikiri ni rahisi kufanya multiplication?,haya make sure nawe unafanya wanao warithi kwako,secondly sio kila mtu anaweza kufanya biashara ni wachache ambao wanaupeo unaoeleweka,ni sahihi utajiri haukufanyi kuwa na akili bali akili ndio inakufanya uwe tajiri.
 
Wewe ungekuta baba yako ana 50B benki, viwanda, mashamba ya mkonge elfu za ekari, godauni kila kona na umesomeshwa vyuo bora Marekani ungeshindwa kufanya multiplication ya huo utajiri??
Hizi ni fikra mgando,hivi unajua MO alirithishwa only 50B,miakaa 20 iliyopita leo ana 3.5T,hivi unafikiri ni rahisi kufanya multiplication?,haya make sure nawe unafanya wanao warithi kwako,secondly sio kila mtu anaweza kufanya biashara ni wachache ambao wanaupeo unaoeleweka,ni sahihi utajiri haukufanyi kuwa na akili bali akili ndio inakufanya uwe tajiri.
 
Wewe ungekuta baba yako ana 50B benki, viwanda, mashamba ya mkonge elfu za ekari, godauni kila kona na umesomeshwa vyuo bora Marekani ungeshindwa kufanya multiplication ya huo utajiri??
Tena angeweza kufanya zaidi kwa sababu Mo anaigaiga tu mikwaju ya akina Bakhresa
 
Mbunge wa Nzega Vijijini Dr Hamis Kigwangalla amesema Mohamed Dewji ni mfanyabiashara Mwenye Uwezo mdogo sana wa kufikiri ndio sababu amemfuta kwenye orodha ya Rafiki zake

Nimeamua kumpuuza na kumuondoa kwenye orodha ya Rafiki zangu, amesema Waziri wa zamani wa Utalii Dr Kigwangalla

View attachment 2589854

Chanzo: Star tv Medani za Siasa
Huyu alimalizana na Bashe?

Huyu mtu anaonesha ni mchawi kabisa.
 
Back
Top Bottom