Kashastaafu
Rais mstaafu wa awamu ya 4, Mh. Mrisho Jakaya Kikwete amesema kwa sasa anaandika kitabu cha historia ya maisha yake ambacho kitaelezea mambo aliyoshiriki, aliyoyashuhudia na aliyoyaona katika maisha yake binafsi na yale ya siasa.
Kikwete amesema hayo wakati wa mahojiano na mwandishi Salama Jabir katika kipindi cha Salama leo.
Chanzo: Eatv.
Maendeleo hayana vyama!
Rais mstaafu wa awamu ya 4, Mh. Mrisho Jakaya Kikwete amesema kwa sasa anaandika kitabu cha historia ya maisha yake ambacho kitaelezea mambo aliyoshiriki, aliyoyashuhudia na aliyoyaona katika maisha yake binafsi na yale ya siasa.
Kikwete amesema hayo wakati wa mahojiano na mwandishi Salama Jabir katika kipindi cha Salama leo.
Chanzo: Eatv.
Maendeleo hayana vyama!
Si dhani kama kuna haja ya kuandika kitabu, Maisha ya kila mtu yanajulikana na kila mtu hasa kwa hawa waliowahi kuwa viongozi, kitabu cha nini?
Rais mstaafu wa awamu ya 4, Mh. Mrisho Jakaya Kikwete amesema kwa sasa anaandika kitabu cha historia ya maisha yake ambacho kitaelezea mambo aliyoshiriki, aliyoyashuhudia na aliyoyaona katika maisha yake binafsi na yale ya siasa.
Kikwete amesema hayo wakati wa mahojiano na mwandishi Salama Jabir katika kipindi cha Salama leo.
Chanzo: Eatv.
Maendeleo hayana vyama!
Mi nasubiria jiwe aandike, cha JK najua kitakua na historia inayovutia kusoma, cha jiwe sasa, unaweza ukasoma huku unalamba ndimu
Rais mstaafu wa awamu ya 4, Mh. Mrisho Jakaya Kikwete amesema kwa sasa anaandika kitabu cha historia ya maisha yake ambacho kitaelezea mambo aliyoshiriki, aliyoyashuhudia na aliyoyaona katika maisha yake binafsi na yale ya siasa.
Kikwete amesema hayo wakati wa mahojiano na mwandishi Salama Jabir katika kipindi cha Salama leo.
Chanzo: Eatv.
Maendeleo hayana vyama!
Ya kwamba mzee baba katuvuruga..😂Hakuna jipya ajikalie tu kimya kwenye hekalu lake, watanzania kwa sasa wanasoma namba hawana huo muda wa kusikiliza simulizi...
Jamaa kakaa kishikaji sio Kama jiwe..😂Fani ya habari inakua sana naona uoga unaondoka.
Mwinyi sijui ataandika lini?
Rais mstaafu wa awamu ya 4, Mh. Mrisho Jakaya Kikwete amesema kwa sasa anaandika kitabu cha historia ya maisha yake ambacho kitaelezea mambo aliyoshiriki, aliyoyashuhudia na aliyoyaona katika maisha yake binafsi na yale ya siasa.
Kikwete amesema hayo wakati wa mahojiano na mwandishi Salama Jabir katika kipindi cha Salama leo.
Chanzo: Eatv.
Maendeleo hayana vyama!
Na ni nini kilimpata pale Jangwani hadi akala mweleka hadharani...Najua hatosahau kutueleza kilichomuua Dk. Omar Ally Juma na uhusiano wake na Rostam Aziz kuhusu like briefcase jeusi pale hoteli ya Kilimanjaro.
Na pia atatuambia kwa nini alishindwa kutamka jina la Dk. Alli Mohhamed Shein kwa mara ya kwanza hadi RA alipomtambulisha kwake bila kusahau lile shimo la tanzanite maarufu kama "Shimo la Mwarabu" pale Mererani sasa analichimba nani baada ya ya mzungu wa SA kufurushwa?
Subiri kijana SGR imerudi kwa wachina bado Bagamoyo itajengwa yetu macho mabeberu bwana huchomoi!!!!Mwambieni asisahau kuandika huko na jinsi alivyoingia mkataba na wachina kuhusu bandari ya bagamoyo alitaka kutuingiza msitu wa mwabepande
Naamini katika hicho Kitabu Mambo kama ya UKIMWI kwa Watanzania, TEZI DUME kwa Watanzania, WATANZANIA KUBAMBIKIWA KESI, KUNYANG'ANYANA WAKE kwa Watanzania, KUTONGOZEWA kwa Wakubwa ili wapate Vyeo, WASANII WA KIKE na wale WANYANGE ( WALIMBWENDE ) Kusafirishwa kwenda Kungonolewa ( Kulalwa ) Ulaya na Marekani na Watawala wa juu, USHIRIKINA na kupenda Kuzurula kwa Waganga wa Kienyeji kwa Watawala wa juu wa Tanzania, Mahaba ya Viongozi wa juu kwa Yanga SC na DAWA ZA KULEVYA na FAMILIA hayatakosekana hasa baada ya kusema atatuandikia hata yale tusiyoyajua. Nitakinunua kwa Gharama yoyote ile ikibidi nitakopa hadi Pesa.
Rais mstaafu wa awamu ya 4, Mh. Mrisho Jakaya Kikwete amesema kwa sasa anaandika kitabu cha historia ya maisha yake ambacho kitaelezea mambo aliyoshiriki, aliyoyashuhudia na aliyoyaona katika maisha yake binafsi na yale ya siasa.
Kikwete amesema hayo wakati wa mahojiano na mwandishi Salama Jabir katika kipindi cha Salama leo.
Chanzo: Eatv.
Maendeleo hayana vyama!
Moja ambalo wengi hawalijui ni kuwa JK ni afisa kipenyo wa TISSNatamani kuyajua ya boys2men toka kwenye hicho kitabu.
Urafiki, uswahiba na ukweli wa kinachoonekana kuja kuwa usaliti baina yao
Mshaurini Kikwete aandike na alivyoiua CCM Mbeya kwa kumuweka Mkuu wa Mkoa Mwakipesile, mutu ya Mtandao, ambaye hakupendwa kabisa na wananchi!
Rais mstaafu wa awamu ya 4, Mh. Mrisho Jakaya Kikwete amesema kwa sasa anaandika kitabu cha historia ya maisha yake ambacho kitaelezea mambo aliyoshiriki, aliyoyashuhudia na aliyoyaona katika maisha yake binafsi na yale ya siasa.
Kikwete amesema hayo wakati wa mahojiano na mwandishi Salama Jabir katika kipindi cha Salama leo.
Chanzo: Eatv.
Maendeleo hayana vyama!
Kile cha baba mwenye nyumba kitapatikana lini.Tunakisubiri kwa hamu kubwa Mh. Rais Mstaafu J.M. Kikwete.