Tetesi: Dkt. Likwelile kupandishwa Kisutu, yupo mikononi mwa TAKUKURU

Tetesi: Dkt. Likwelile kupandishwa Kisutu, yupo mikononi mwa TAKUKURU

Takukuru mfanye kazi yenu kwa weledi na haki!
Hilo neno.... takukuru wanatakiwa kuwa watu wa haki na intelejensia zaidi na si mitulinga.... tunategemea kesi za takukuru ziwe za haki na zenye evidensi maana kesi zao nyingi zina public interest.... wakicheza ndani ya miaka 2 ijayo, kesi
zao nyingi zitapigwa chini na mahakama na ile sifa waliyo kuwa wanaipata/tafuta wanapo pandisha watu kizimbani itawarudi na itawarudi mbaya kabisa.... kazi kwenu... maana no 1 hapendagi ujinga kabisa.....
 
likwelile inasemekana aliamua kuachia ngazi baada ya kuona taratibu za fedha zinakiukwa kwa amri za kisiasa kutoka juu,kwa sababu barua ya kujiuzulu imepokelewa kwa mtukufu yeye akaamua kuipindua kama utumbuzi!!!
 
Aliyekuwa katibu mkuu wa wizara ya fedha Dr. Likwelile muda wowote kuanzia sasa atapandishwa mahakamani Kisutu kujibu mashitaka ya ubadhirifu, matumizi mabaya ya madaraka, na kusaidia ukwapuaji wa fedha katika dili mbalimbali.

Taarifa nyeti zinasema tayari uchunguzi ushakamilika na muda si mrefu atapandishwa Kisutu na TAKUKURU. Kumbuka Dr. Likwelile alitenguliwa katika nafasi yake na Rais mzalendo Dr. John Pombe Magufuli..

Mytake: Kama aliiba na apandishwe tu, manake hakuna namna sasa!
mlisema hivyo hivyo kuhusu Dau na wivu wenu.
 
Aliyekuwa katibu mkuu wa wizara ya fedha Dr. Likwelile muda wowote kuanzia sasa atapandishwa mahakamani Kisutu kujibu mashitaka ya ubadhirifu, matumizi mabaya ya madaraka, na kusaidia ukwapuaji wa fedha katika dili mbalimbali.

Taarifa nyeti zinasema tayari uchunguzi ushakamilika na muda si mrefu atapandishwa Kisutu na TAKUKURU. Kumbuka Dr. Likwelile alitenguliwa katika nafasi yake na Rais mzalendo Dr. John Pombe Magufuli..

Mytake: Kama aliiba na apandishwe tu, manake hakuna namna sasa!
Huyu jamaa nikimuangaliaga tu sura yake kwangu imekaa ya kupiga dili, my insticts were right, bado mkurugenzi mkuu wa Tanesco, nae binafsi nafsi yangu haimuamini, namuona mpiga dili fulani.
 
Pole sana Mh Likwelile! Yule Vick nae an gundu yule! Stuka mrudie Mungu wako!
 
Aliyekuwa katibu mkuu wa wizara ya fedha Dr. Likwelile muda wowote kuanzia sasa atapandishwa mahakamani Kisutu kujibu mashitaka ya ubadhirifu, matumizi mabaya ya madaraka, na kusaidia ukwapuaji wa fedha katika dili mbalimbali.

Taarifa nyeti zinasema tayari uchunguzi ushakamilika na muda si mrefu atapandishwa Kisutu na TAKUKURU. Kumbuka Dr. Likwelile alitenguliwa katika nafasi yake na Rais mzalendo Dr. John Pombe Magufuli..

Mytake: Kama aliiba na apandishwe tu, manake hakuna namna sasa!
hapo hazina ndio alikua anachota na kuwachotea hela watu kama hela zake. tra wanahimizwa na kusifiwa kuongeza mapato na wao kuongeza kuzichota kwa kadri zinavyo ongezeka.
 
Kama ni kweli mi napongeza, hata kama atafungwa kifungo cha nje kama wale wawili, but it's better than nothing

hapo tusubirie nole prosecu au wananchi waombwe kupeleka ushahidi wakati serikali imeajiri watu wakutafuta ushahidi na inawalipa.
 
Ile mahakama ya aliyoanzisha Mtukufu Rais Magufuli hivi ishapata shauri? Naona ni vyema ikaanza na huyu muheshimiwa. Haiwezekani majengo na miundombinu iwe tayari lakini mpaka sasa haijaanza kutumika. Bora majengo wayafanye Hostel za wanafunzi wa Law school.
hivi exactly hii mahakama ya mafisadi/ ccm iko wapi ama pale katikati ya bahari ya hindi?
 
Aliyekuwa katibu mkuu wa wizara ya fedha Dr. Likwelile muda wowote kuanzia sasa atapandishwa mahakamani Kisutu kujibu mashitaka ya ubadhirifu, matumizi mabaya ya madaraka, na kusaidia ukwapuaji wa fedha katika dili mbalimbali.

Taarifa nyeti zinasema tayari uchunguzi ushakamilika na muda si mrefu atapandishwa Kisutu na TAKUKURU. Kumbuka Dr. Likwelile alitenguliwa katika nafasi yake na Rais mzalendo Dr. John Pombe Magufuli..

Mytake: Kama aliiba na apandishwe tu, manake hakuna namna sasa!


hawa wengine walikuwaje? una ulazima wa kutumia haya maneno hapo niliyoyapigia mstari?
 
Ila shida ya hizi kesi mawakili wa serikali hua wanaishia kuonekana vilaza.
 
Vicky kamata hana bahati ya ndoa aisee, kama jamaa akithibitika na tuhuma basi gereza litawatenganisha.
wazee wa zamani walikuwa wanakuita wanakuelekeza familia ya kuoa,nahisi huyu mh kuna jambo lamuandama,haiwezekani vidume vipite tu au vipate majanga

halafu mwandishi acha uongo,mbona jamaa yupo tu na mimi nimemuona leo
 
Back
Top Bottom