Hajielewi huyu maana hata taarifa sahihi juu ya chuo hana.Acha uzee weewe ukitaka aitwe nani ili uone kama wako serious.? Umeshazoea maafari kuhudhuriwa na wanasiasa. Mr.Shika Lous ni Doctor by professional si mchimba chumvi hata kidogo
Mkuu una uhakika ulisemalo au?Habari zenu wapendwa?
Naomba niende moja kwa moja kwenye maada husika.
Tangu kuibuka kwa mtu anayejiita Dr.L.Shika na kujinadi kuwa yeye ni bilionea ameweza kuwateka watu na pengine kuwaamisha kuwa yeye ni bilionea
Ukweli ni kwamba mtu huyo hana lolote Bali ni mtu aliyesongwa na dhiki pamoja na msongo wa mawazo ambao umepelekea kurukwa akili
Kwa mtu aliyesoma japo ka sehemu kadogo tu ka saikolojia hawezi amini kuwa ndugu yetu shika ni mzima
Kwa waliokuwepo Leo kwenye mahafali ya chuo cha tiba kahama wataamini kuwa jamaa yetu dishi limeyumba kwani baada ya kupewa muda wa kutoa nasaha kwa wahitimu jamaa alienda nje ya maada mpaka MC akaingilia kati na kumnyanganya mic
Wito wangu kwa jeshi la polisi naomba wamkamate mkuu wa chuo kwa kuiaibisha taaluma ya utabibu kwa kualika mtu mwemye matatizo ya akili ambapo mtu huyo ameshindwa kufanya lolote na kupelekea kuanza maigizo mbele ya mkuu wa wilaya
Ratiba iko tight balaaRatiba ya Dr Shika:
23-11-2017- atakuwa Shinyanga kikazi lakini amegoma kuonana na family ndugu zake.
26-11-2017- atakuwa Mwanza kikazi kuzindua miradi mbalimbali na matangazo ya makampuni mbalimbali
30-11-2017- atakuwa Dsm kwa ajiri ya matangazo ya vodacom
6-12-2017- atakuwa na Erick Shigongo kwenye Global Publishers kwa kusaini mikataba mbalimbali.
15-12-2017- atakuwa Nairobi kwa ajiri ya matangazo ya bia ya Tusker
20-20-2017- atarudi Dsm kwa ajiri ya kuendesha arambee ktk kanisa flani..
Mtajua maana ya udaktari wake.
INAPENDEZA
Duh hiyo in karibu na bilioni 2.5 Tsh, kweli kaahidi hiyo
Alialikwa kama mtanzania wa kawaida lakini kubwa analoweza kukuzidi yeye pasi na shaka ni msomi wa juu kabisa.Weka hiyo video, na mlimualika kutoa nasaha yeye akiwa kama nani? Kwani mlikuwa mnafanya tangazo la biashara?
Mkuu najua umechukua clip na phone ako kwa mbele apo.Mkuu una uhakika ulisemalo au?
Ulikuwepo eneo la tukio?
Unazo clip za video na sauti ututhibitishie hilo?
Mkuu wa wilaya, afisa usalama wa wilaya walikuwepo pale na baada ya mahafali waliendelea na mazungumzo ulikuwepo?
Tupatie ushahidi wa uyasemayo ili tuchangie hoja kwa misingi ya haki ...
Michezo ya kitengo hii ndugu. Embu jaribu wewe kufanya anayofanya then utupe mrejesho uone.Uyu dokta kuna kitu anakitafuta