Dkt. Louis Shika: Mgeni mualikwa mahafali ya chuo cha afya Kahama Shinyanga, atangaza neema

Dkt. Louis Shika: Mgeni mualikwa mahafali ya chuo cha afya Kahama Shinyanga, atangaza neema

Acha uzee weewe ukitaka aitwe nani ili uone kama wako serious.? Umeshazoea maafari kuhudhuriwa na wanasiasa. Mr.Shika Lous ni Doctor by professional si mchimba chumvi hata kidogo
Hajielewi huyu maana hata taarifa sahihi juu ya chuo hana.
Chuo hakitoi kozi ya unesi hilo hajui...halafu kuna njia rahisi siku hizi kupata taarifa sahihi kama nacte na TCU angejiridhisha kabla hajaropoka ...
 
DR. Shika umeahidi $1m... kwa wanafunzi Kahama na mkuu wa Wilaya kakufagilia kweli.... huu si wakati wa masihara tena, mzaa Ukiendelea utakuja kuharibu.... ni maombi yangu uwe na hekima, maana ukitoa ahadi tena za kiswahili sasa utakuwa tapeli wa ukweli... usiichezee hii fursa mzee#
 
Habari zenu wapendwa?

Naomba niende moja kwa moja kwenye maada husika.

Tangu kuibuka kwa mtu anayejiita Dr.L.Shika na kujinadi kuwa yeye ni bilionea ameweza kuwateka watu na pengine kuwaamisha kuwa yeye ni bilionea

Ukweli ni kwamba mtu huyo hana lolote Bali ni mtu aliyesongwa na dhiki pamoja na msongo wa mawazo ambao umepelekea kurukwa akili

Kwa mtu aliyesoma japo ka sehemu kadogo tu ka saikolojia hawezi amini kuwa ndugu yetu shika ni mzima

Kwa waliokuwepo Leo kwenye mahafali ya chuo cha tiba kahama wataamini kuwa jamaa yetu dishi limeyumba kwani baada ya kupewa muda wa kutoa nasaha kwa wahitimu jamaa alienda nje ya maada mpaka MC akaingilia kati na kumnyanganya mic

Wito wangu kwa jeshi la polisi naomba wamkamate mkuu wa chuo kwa kuiaibisha taaluma ya utabibu kwa kualika mtu mwemye matatizo ya akili ambapo mtu huyo ameshindwa kufanya lolote na kupelekea kuanza maigizo mbele ya mkuu wa wilaya


Mkuu una uhakika ulisemalo au?
Ulikuwepo eneo la tukio?
Unazo clip za video na sauti ututhibitishie hilo?
Mkuu wa wilaya, afisa usalama wa wilaya walikuwepo pale na baada ya mahafali waliendelea na mazungumzo ulikuwepo?
Tupatie ushahidi wa uyasemayo ili tuchangie hoja kwa misingi ya haki ...
 
Kweli duniani kuna mambo, kwani huyu mshikaji mbona ni mtu wa watu siku zote alikuwa wapi? Basi na iwe hivyo anavyo sema osiishie mitandaoni nimemkubali "Dr Shija niseme tu ulipo nipo" wahenga walinena hayo.
 
Ratiba ya Dr Shika:

23-11-2017- atakuwa Shinyanga kikazi lakini amegoma kuonana na family ndugu zake.

26-11-2017- atakuwa Mwanza kikazi kuzindua miradi mbalimbali na matangazo ya makampuni mbalimbali

30-11-2017- atakuwa Dsm kwa ajiri ya matangazo ya vodacom

6-12-2017- atakuwa na Erick Shigongo kwenye Global Publishers kwa kusaini mikataba mbalimbali.

15-12-2017- atakuwa Nairobi kwa ajiri ya matangazo ya bia ya Tusker

20-20-2017- atarudi Dsm kwa ajiri ya kuendesha arambee ktk kanisa flani..

Mtajua maana ya udaktari wake.

INAPENDEZA
Ratiba iko tight balaa
 
Hizi kamba za CCM wajinga ndio waliwao....atapotea kama babu wa Loliondo tu.......
 
This man yupo kwenye mission fulani..its divertion....
 
Weka hiyo video, na mlimualika kutoa nasaha yeye akiwa kama nani? Kwani mlikuwa mnafanya tangazo la biashara?
Alialikwa kama mtanzania wa kawaida lakini kubwa analoweza kukuzidi yeye pasi na shaka ni msomi wa juu kabisa.
Na ametimiza jukumu lake kama alivotakiwa.
 
Michezo ya Kijitonyama wachache wataijua kama waliokimbizwa loliondo kunywa kikombe
 
Mkuu una uhakika ulisemalo au?
Ulikuwepo eneo la tukio?
Unazo clip za video na sauti ututhibitishie hilo?
Mkuu wa wilaya, afisa usalama wa wilaya walikuwepo pale na baada ya mahafali waliendelea na mazungumzo ulikuwepo?
Tupatie ushahidi wa uyasemayo ili tuchangie hoja kwa misingi ya haki ...
Mkuu najua umechukua clip na phone ako kwa mbele apo.
Naomba ntumie hotuba ake PM
 
Back
Top Bottom