Dkt. Louis Shika: Mgeni mualikwa mahafali ya chuo cha afya Kahama Shinyanga, atangaza neema

Duhhh....[emoji12] [emoji12]
Nimesha kuona mkuu.
Kumbe ndio wewe... kweli jf ni kichaka
 
dah kwa style hii ngoja namie nijitafutie umaarufu hata kumpiga busu mzee wa magogoni hadharani
Ahaaa ahaaa ahaa mkuu kuwa makin umaarufu wa shika umekuja baada ya yy kukatwa vidole zaid ya vinne...pamoja na kukatwa sikio na kukaa mahabusu zaidi ya siku tatu...so get rich or die trying...all da best
 
[emoji3][emoji3][emoji3] huyu bwana Ana cheo gani Tanzania?
alaf hajui kukataa mwaliko.
Hyu ni vyema sasa akawa na manager, itamsaidia sana ktk harakati zake na hata kujipatia kipato sahihi...kupunguza unyonyaji na kutumika sna kwa maslah yao
 
Ukicheka na ushuzi unakutoka???[emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji134] [emoji134] [emoji134] tayar
 
Uzuri ni wa "kwetu" na kaja wakati muafaka hivyo ameula, gawizaaaa
 
hii ndo nchi yangu tz
mambo ya kijinga yanapewa kiki

leo mtu aliechanganyikiwa na maisha anaenda kua mgeni rasmi chuo cha utabibu huu ni upumbavu wa kiwango cha lami

nawaza sijui atatoa speech gan kuwa encourage/motivate wasomi wa hapo

na watu wanapongeza kabsa
 
Hongera yako kwa unyapinyapi huu, Dr.Shika ndo habari ya mujini..... japo sometymz hatupend kuckia lkn hakuna namna lazma twende na beat, na shika ndo beat lenyewe[emoji12]
 
ni daktari wa kusomea boss.
 
Wivu humuua mmiliki mkuu,.
Huenda dokta hata hakujui lakini unavyomuonea wivu sasa

Mwenzio ana digrii 4 wewe una nini?? Tuanzie hapo kwanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…