Akilindogosana
JF-Expert Member
- Jan 12, 2020
- 4,303
- 12,679
Kwani ajira zenyewe zipo?Na hajui hlo bumu analotaka aongezewe litamtesa kwenye maisha yake ya ajira, asipoangalia anaweza kulipa maisha yake yote...
Na hii mitoto ya siku hz unaendeshwa na bata tu.. Badala iwaze ikimaliza itapataje ajira.. Inawaza ela nying tu
Unampenda Lissu eeh?Leo anazindua kqmpeni?
Aisee kumbe hawa washabiki wa Lisu kichwni ni ziro kabisa?
Kuna mwanafunzi mmoja kapewa nafasi ya kuongea yaani mwishoni kaomba waongezewe boom. Hajagusa kabisa suala la ajira baada ya chuo. Sasa sijui atasoma Udom maisha yake yote ?Hivyo boom ndo maisha yake yote ?
Ajira?Kazungumzia ajira?
'nilijiuliza nikiwa njiani nikasema: “Dodoma kweli imekuwa hivi? Mbona sikuikuta hivi nilivyoteuliwa kuwa Rais”Yaani Udom, St John, Benjamini Mkapa na Mipango amejenga yeye? haki mama
Kuna shida siyo bure'nilijiuliza nikiwa njiani nikasema: “Dodoma kweli imekuwa hivi? Mbona sikuikuta hivi nilivyoteuliwa kuwa Rais”
Hahah huyu mjomba hua anafurahisha sana.
Viwanda vya nguo vilikuwepo. Wao ndo waliviua."Tumechoka Taifa hili unalima pamba unaisafirisha kama malighafi, halafu wakishatengeneza nguo wanazivaa wanakuletea mitumba wakati pamba ni yako. Sisi tunataka tukilima pamba tunaichakata hapa zile nguo tunawapelekea ikiwezekana tunazivaa kwanza." -Rais
@MagufuliJP
Asubiri tu na degree yake ya Education/Sociology/uhasibu/Procurement etc ataenda kua saidia fundi kwny hosp. za kata zinazojengwa huko kijijini kwake ndipo atamuelewa vzr mtetezi wa wanyonge.Kuna mwanafunzi mmoja kapewa nafasi ya kuongea yaani mwishoni kaomba waongezewe boom. Hajagusa kabisa suala la ajira baada ya chuo. Sasa sijui atasoma Udom maisha yake yote ?Hivyo boom ndo maisha yake yote ?
Ashatuambia anataka Tanzania iwe kama ulayaAtakavyoongea aongelee jinsi ya kuwakomboa wananchi na umasikini. Jinsi ya kuboresha maslahi ya watumishi, mikopo vyuo vikuu, ajira nk. Miundo mbinu tupa kulee....aje na hoja ya maisha ya mtanzania anayekula mlo mmoja
Miaka 5 hii ameshindwa kutengeneza hizo ajira,kutoa ajira zilizo rasmi haijawahi kua kipaumbele chake na wala haitakua na kwny awamu yake vibarua/saidia fundi imekua ndio ajira rasmi sasa kwa maono yake yeye.Hukumsikiliza Magufuli kuhusu ajira?,ameliongelea namna ya kutengeneza ajira nchini ,fuatilia maelezo yake yote,utaelewa kwa nini mwanafunzi huyo hakuongelea ajira kwa sababu maelezo yalikwisha tolewa
Hahahaaaa....... Tupe tafsiri bwashee!Hovyo sana CCM
CCM imejaribu kuitafsiri kaulimbiu ya ACT wazalendo isemayo Kazi na Bata na kuwataka wananchi wawe makini na wanasiasa wajanja wajanja.
CCM imesema kwanza bata ana tabia ya uchafu na uchafuzi sasa utafanyaje naye kazi?......ameuliza Dr Bashiru
Source ITV.
My take; ACT wazalendo tupeni maana ya Kazi na Bata
Maendeleo hayana vyama!
Hivyo vitu vina tija kubwa sana...Jamaa kama nanilii vile, hana hoja zaidi ya hayo mabarabara na ma flyover na midege ambayo Mungu ameilaani.
Haijawahi kuleta tija na likorona limeyakoronoa madege yenyewe