Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli achukua fomu ya kuwania nafasi ya Urais wa Tanzania Ofisi za NEC

Kwaiyo unataka kuwaaminisha watu kuwa icho kitabu kimejaa miradi peke yake?.
 
Ajira?

Yeye anajua mambo ya ujenzi tu.

Yeye ajira hua anaona vijana waliosoma wakiwa vibarua/saidia fundi huko kwny ujenzi wa shule,zahanati,barabara inatosha kabisa.
Wewe ni jinga
 
hana jipya subiri kampeni zianze aone watu walivyomchoka
 
Mungu tu ampe stahiki yake! Maana kama Mungu wetu mwema ataamua, huyu jamaa hawezi baki salama! Kaumiza wengi mno kwa roho yake mbaya zaidi ya mnyama!
 
Achukue tu ila kama atasoma hii post yangu atambue kuwa sisi watumishi wa umma hatumpendi.

Wafanyabiashara nao hawampendi, Wakulima wachache about 30 ndio wanampenda.

Kwahiyo akishinda basi ajue kuwa anawaongoza watu wasiompenda.
Wewe utaenda mbinguni ni mtanzania wa kwanza kuwa mkweli. Basi tuungane nchi nzima tuwashawishi wake/waume zetu na marafiki na ndugu tuondoe dhulma hii na ukabila nchini
 

Sio watu wafe utakuwa unakosea, watakuwa wanaomba kuwa yeye afe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…