Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli akiwa Misungwi; Nimebaki mimi tu kwa sababu hamnipendi, hamjanipitisha bila kupingwa

Psychopath.....kichaa chake hakiponi.

Ewe Mwenye Enzi Mungu twakuomba hili dubwana usilipe nafasi ya kutwaa tena madaraka..Mimi huyu bwana nimemkataa na kamwe hatoweza pata kura yangu.

Mtu mzima akiwa MUONGO haipendizi,huyu mzee angekuwa uswahili wangewita mtu mzima hovyo.
 
Mbunge na Diwani hapo misungwi hawajapita kupingwa, wamepingwa sana tena mno hakuna mfano, huu utamaduni wa kishetani wa kupita bila kupingwa kwa njia haramu za hovyo ndiyo huzalisha wabunge wa CCM wagonga meza wa ndiyoo ndiyo kupitisha miswada ya hovyo, Sheria mbovu, mikataba ya hovyo hovyo kwa wingi wao Bungeni.
 
Hatumtaki Rais anayetegemea kupewa huruma kwa kuwa kapigwa risasi atauza nchi maana keshapata advance ili auze nchi
Hajakuomba huruma kwani hakukutuma ukampige risasi ukizani atakufa kisha urejeshe mfumo wa chama kimoja, CCM wakienda ulaya kuomba omba misaada kwa wazungu huwaita wafadhili wahisani lakini hao hao wazungu wakikataa upumbavu wao hugeuka na kuwaita wanaume wenzenu mabeberu utazani nyinyi CCM ni mbuzi jike.
 
Replica, Magufuli anajua pa kuanzia kampeni zake mfano katika miradi mikubwa aliyotekeleza na maendeleo kwa ujumla Sasa sijui wenzetu huwa wanaanzia wapi manake hawana reference.
Walipa kodi ndiyo reference yenyewe kama ulikuwa hujui kwani wapinzani na wananchi wasio na vyama ndiyo walipa kodi wazuri, wanaccm siyo walipa kodi bali wapo ni wafujaji wa pesa za walipa kodi, kuchukua pesa za viwanda kwenda kujenga chato Airport kienyeji pasipo idhini ya bunge ni mojawapo ya matumizi mabaya ya kodi za wananchi.
 
Nchi ina miaka 59 haina maendeleo licha ya kuwa na rasilimali nyingi kuliko mataifa mengi Duniani, pesa nyingi inapotelea kwenye kudidimiza demokrasia kuwabambikia kesi kuwapiga risasi kuwapora ushindi wapinzani na sasa kituko kipya cha kupita bila kupingwa ili wapate wabunge wengi waende kubadili katiba warejeshe mfumo wa chama kimoja ili mwenyekiti wa CCM atawale milele, CCM ya kishetani imejaa mbinu haramu zisizo na tija kwa Taifa, kuwapeleka wabunge huko Bungeni huku ukijua siyo chaguo la wapiga kura ni ushetani ulioje, mungu hapendi mtu akajiite ajibatize ni mwakilishi wa jimbo wakati hana ridhaa wala baraka za wapiga kura, tunaenda kuwa na wabunge wa ajabu Duniani ni vigumu kupiga hatua kimaendeleo katika mfumo huo haramu
 
Watumishi wapo na Lissu ataelewa tu.Na kuna watu wengi nyuma yao
 
Huyu Baba la Baba kachanganyikiwa.
Juzi jumapili kawafokea watu kwamba wakichagua upinzani watakoma. Hadi kabadilisha lugha ili wamuelewe.
Leo ana sema tusibaguane. Huyu mzee ana ndimi ngapi? Ni mtu wa kumuogopa sana
Laana ya uonevu kwa wapinzani inamtafuna ndiyo maana kapagawa
 
Wanaccm siyo walipa kodi bali wao ni wafujaji wa pesa za walipa kodi inayolipwa na wapinzani na watanzania wasio na vyama
 
Kampeni zimemuelemea, ifahamike hata alipokuwa mbunge alikuwa anapita bila kupingwa, hivyo hana uzoefu wa kushindana.
Nilijisikia hasira siku ile nimemsikia akiwatishia wapigakura kwamba wakichagua mpinzani watakiona, nilijiuliza hivi ni akina nani waliompigia yeye mpaka akawa rais 2015 ?, huyu jamaa hajui kabisa kuongea na hana sifa za kuwa kiongozi wa watu, kwa sababu uongozi wa watu unapaswa kureflect discipline na Utu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…