Uchaguzi 2020 Dkt. Mahera: Tume inaweza kuwafungia kufanya kampeni wagombea wa vyama wanaosambaza matusi badala ya sera

Uchaguzi 2020 Dkt. Mahera: Tume inaweza kuwafungia kufanya kampeni wagombea wa vyama wanaosambaza matusi badala ya sera

Wawachague kwa manufaa yao na "si ya watu wa nje". Hapa kuna jambo.
 
Mikwara mbuzi kama hio haijaanza leo na watu wanachanja mbuga tu.
 
Tena huyu koko lisu tutamuonesha kwanini uchaguzi huu umegharamiwa na serikali 1000000% hakuna wa kutupatia maelekezo fanyeni hivi wala vile amedanganywa huko kwamba kaanzishe vurugu naye ameamini ni mjinga hakuna wa kuingia nchi hii akamsaidia huyo mweu kupata kura .
Unahabari mpaka mda huu nchi zote zimegoma kuchapisha karatasi za kupigia kura

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Yeye mwenyewe aonyeshe mfano wa kuwajibika kwa kujiuzulu nafasi aliyonayo kutokana na matamshi yake yanayoonyesha kuegemea CCM,matamshi ambayo yamesambaa katika mitandao ya kijamii.
Mkiishiwa hoja mnabaki kushambulia watu binafsi.

Kukosa akili ni janga
 
Mahela anautani na PENTAGON.

Lissu alisema uchaguzi huu ni wa kihistoria si mwepesi kama wengi tunavyozani.

Tl
hAHAHA hata membe mlimdanya na slogan ya TWENDE NA MEMBE, mzee wa watu anaishia kupata nyomi ya level ya uchaguzi wa mtendaji wa kijiji. Hata huyu asubiri kipigo chake hataamini, ccm hoyeeeee
 
This tume has already taken sides and this means that there is no fair and transparent election but people should know that ICC is waiting for people from Tanzania in the aftermath of this election. Do not keep your knees on our necks...You have failed miserably tume ya unababaishaji.
 
Eti watu wa nje! Mjinga sana huyu!

Matusi ya JPM Hayasikii?

Huyu balaa litakalo mkuta akiharibu uchaguzi huu hatasahau hadi anaingia kaburini...
 
Mkurugenzi wa tume ya Uchaguzi usiwe msemaji wa serikali. Umesema wewe unaomba fedha za uchaguzi unapewa toka mfuko mkuu wa serikali - period, Suala la kwamba serikali imetumia fedha za ndani au imezitoa wapi - si kazi yako (I stand to be corrected)
Halafu namna ulivyoongea leo ni tofauti na siku nyingine - nilikuwa naona uko neutral lakini leo kuna mahali umepitiliza
 
Eti watu wa nje! Mjinga sana huyu!

Matusi ya JPM Hayasikii?

Huyu balaa litakalo mkuta akiharibu uchaguzi huu hatasahau hadi anaingia kaburini...
Hakuna balaa lolote litakalomkuta liwake jua inyeshe mvua sisi ndio wataalam hapati hata kula M1
 
Mkurugenzi wa Uchaguzi Dkt Charles Mahera amesema kwamba "Kama tume tunaweza kuamua kuwafungia hata kufanya kampeni, wagombea wa vyama ambao kazi yao ni kusambaza matusi na sio sera kwa kuwa sheria ipo na imetaja adhabu, tunatoa rai wabadilike na kuzingatia maadili ya uchaguzi waliyosaini"

''Kama watu walikuwa wamemchagua mtu atatangazwa kama kashinda, hatumtangazi mtu kwa shinikizo la watu, watu wauze sera zao ili wananchi wawachague kwa manufaa yao na si ya watu wa nje'

Dkt. Mahera ameyasema hayo kwenye kikao na watoa huduma ya Habari Mitandaoni leo Sep 15, 2020, ambapo pia amewataka kutumia kalamu na taaluma yao kulinda amani ya nchi kwa kufuata miongozo na taratibu za kutangaza habari za uchaguzi mkuu.

Huyu punguwani anaongelea sera zipi?
 
Mkurugenzi wa uchaguzi wa NEC amesema wagombea hawaruhusiwi kutumia majukwaa kushambulia wenzao na watakaofanya hivyo watashushwa jukwaani hadi siku ya uchaguzi.

Vyama vinatakiwa kutangaza sera na siyo kuwasimanga wagombea wa vyama vingine.

Source ITV habari

My take; Tundu Lisu awe makini mdomo uliponza kichwa.

Maendeleo hayana vyama!
 
Back
Top Bottom