bulicheka 4
JF-Expert Member
- Mar 22, 2020
- 915
- 1,019
Yule lopopo alie kuja na bajajiDr Mahera akinisha hayo matusi yanayotolewa na vyama vya upinzani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yule lopopo alie kuja na bajajiDr Mahera akinisha hayo matusi yanayotolewa na vyama vya upinzani.
Lopolopo aliyekuja na bajajiAtwambie mfano ni tusi gani
Kwanini hakukemea kisukuma kwenye mkutano wa chama chako?!Tatizo la makamanda ndio hili hamtaki kuambiwa ukweli.
Lisu anatukana hadi tume kuwa ya kijinga yenye maamuzi ya kijinga
Aliiporomoshea matusi ifakara
Hiyo kauli yenyewe aliyoitoa ni kama vile anawaandaa wapinzani wajiandae na matokeo yatakayotangazwa baada ya uchaguzi.CCM wamezoea kutawala kwa kauli za Wolga na vitsho.
Matusi ni subjective ujuwe. Naweza kutamka kauli isiyo kufurahisha ukaitafsiri kama tusi ujuwe.Kitu kizuri ni kuwa msimu huu wagombea wa upinzani hawatoi matusi bali wanahoji upumbavu uliofanyika.
Yap;; na ukifuatilia anaweza kuwa uncleHuyu mahera ni product ya kanda pendwa au?
Mahera nyumbani kwako siku zijazo ni Hague tunao ushahidi ukisaidia chama chako! Tunao ushahidi nassisitiza hebu leta fyoko!Matusi kama yapi kwamfano?? Labda wanaoandika mitandaoni, lakini kama anamaanisha kauli za Lissu ni vema kubainisha waziwazi! CCM ndio hawajambo kutukana wenzao na kuwaita vimajina vya hovyo kama kibaraka wa mabeberu, alafu ukimuuliza akuthibitishie hata kwa mfano tu jinsi gani mhusika ni kibaraka wa beberu unakuta hana jibu! Tunaiomba tume ijikite kusimamia uchaguzi , tena kwa haki na wasianze kutoa matamko yatakayowafanya wagombea kupata hofu hata ya kusalimia wananchi! Kuna mgombeda kamkashifu mgombea kamkashifu mgombe mwenzake kuwa anazungumzia watu kula ubwabwa wakati hata nyumbani kwake mwenyewe ubwabwa huo hautoshi! Je aliwahifika nyumbani kwake na kukuta ubwabwa huo hautoshi? kwanza mgombe aliyetaja ubwabwa kauzungumzia kama sera ya kitaifa, Je mambo ya kitaifa yanahamishwaje kuwa masuala ya familia zetu binafsi? Vipi Tume mbona hamjalikemea hili!? Tena huenda wamejitokeza baada ya mgombea mmoja kudai kauli za wengine zinamuudhi, Je yeye hizo za kwake zitzmfurahisha nani???
Kamanda mwenzangu kuwa na hekima.Kwanini hakukemea kisukuma kwenye mkutano wa chama chako?!
Mahela unachokitafuta utakipata .
Kutukanatukana ndio kuwashika watu vibaya?Lissu kawashika watu vibaya mara hii
Aiseee!!Huyu hapa akiwa na wana CCM wenzie ktk mikakati ,je hapa pana Haki itakayo tolewa bila ya upendeleo kweli !?..
Ni kukumbushana kufuata taratibu na kuzingatia sheria ya uchaguzi. Vitisho viko wapi comrade?Aisee, mwaka huu hakuna uchaguzi kwa vitisho kama hivi
Nashukuru kwa ushauri, hekima Hapa nini, ili niiweke?Kamanda mwenzangu kuwa na hekima.