Uchaguzi 2020 Dkt. Mahera: Tume inaweza kuwafungia kufanya kampeni wagombea wa vyama wanaosambaza matusi badala ya sera

Uchaguzi 2020 Dkt. Mahera: Tume inaweza kuwafungia kufanya kampeni wagombea wa vyama wanaosambaza matusi badala ya sera

Ulishawahi sikia mjinga ni tusi? Siku zote watu wanaendelea kupata ELIMU ili kupunguza ujinga walionao
Lisu anatukana hadi tume kuwa ya kijinga yenye maamuzi ya kijinga

Aliiporomoshea matusi ifakara
 
Nimemsikia mmoja anawaambia wenzie ... "WASHINDWE WALEGEE ..." na ushahidi ninao!
😅
👊 ✌️✌️✌️💥
 
Hahaha hiyo siyo kazi ya tume ya uchaguzi bali msajili wa vyama.

Wangekuwa wanayasema na hayo matusi tuyaelewe wananchi.
 
Wee wafungie kabisa kwa sababu unaona sasa!! Hivi tulivyoambiwa hakuna hospitali au mochwari ikulu ulizika wapi hilo bichwa baya!?
 
Kitu kizuri ni kuwa msimu huu wagombea wa upinzani hawatoi matusi bali wanahoji upumbavu uliofanyika.
Matusi ni subjective ujuwe. Naweza kutamka kauli isiyo kufurahisha ukaitafsiri kama tusi ujuwe.
 
Matusi kama yapi kwamfano?? Labda wanaoandika mitandaoni, lakini kama anamaanisha kauli za Lissu ni vema kubainisha waziwazi! CCM ndio hawajambo kutukana wenzao na kuwaita vimajina vya hovyo kama kibaraka wa mabeberu, alafu ukimuuliza akuthibitishie hata kwa mfano tu jinsi gani mhusika ni kibaraka wa beberu unakuta hana jibu! Tunaiomba tume ijikite kusimamia uchaguzi , tena kwa haki na wasianze kutoa matamko yatakayowafanya wagombea kupata hofu hata ya kusalimia wananchi! Kuna mgombeda kamkashifu mgombea kamkashifu mgombe mwenzake kuwa anazungumzia watu kula ubwabwa wakati hata nyumbani kwake mwenyewe ubwabwa huo hautoshi! Je aliwahifika nyumbani kwake na kukuta ubwabwa huo hautoshi? kwanza mgombe aliyetaja ubwabwa kauzungumzia kama sera ya kitaifa, Je mambo ya kitaifa yanahamishwaje kuwa masuala ya familia zetu binafsi? Vipi Tume mbona hamjalikemea hili!? Tena huenda wamejitokeza baada ya mgombea mmoja kudai kauli za wengine zinamuudhi, Je yeye hizo za kwake zitzmfurahisha nani???
Mahera nyumbani kwako siku zijazo ni Hague tunao ushahidi ukisaidia chama chako! Tunao ushahidi nassisitiza hebu leta fyoko!
 
Back
Top Bottom