Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weka hayo matusi tusomeSera za Lisu in kutukana
Jiwe ana dhambi sana,hadi hashim rungwe anamuwekea bifu masikini ya MunguKuna yule aliiyeponda ubwabwa wa mwenzake tume mnalizungumziaje hili
Kwahiyo kutaja uwanja wa ndege chato ndio tusi??Sera za Lisu in kutukana
Ha ha ha wafuasi wake wengi wanatabia kama zake.Sera za Lisu in kutukana
Awamu ya wauza ndizi hii.Alyesema atampa mwenzake kazi ndogondogo je
Huyo ni kada mtiifu, kama ni mechi ya simba na yanga Huyo refarii atokaye yanga kwa mfano•Lakini ni waongo na waache uongo… hata sasa unaweza kuja hapa jengo la Mwalimu Nyerere Dar es Salaam, tuko kwenye kikao tunaendelea kupitia hizo rufaa•
•Waache kutusumbua, sasa wao wanapiga kelele tungetoa hizo rufaa haraka hata hao wabunge wao wasingerudi, waache uzandiki, upuuzi na uongo•View attachment 1570397