Shamim kabadili akaunti ya IG nafikiri kampa mtu aindeleze inaitwa 8020medialtd sasa hiviNimestuka maana angeniita mtu mwingine nisingejali ila sio wewe hahahha,
episod za tamthilia za bongo ni zinakuaga tam jamani
Tumemaliza ya Nandy na Ruge, mala Mengina Jacky, Mala Gwajima sasa hatuna hata muda na Shamimu na mumewe
Hahaha mimi nna nini wajameni, bongo acha kabisa hyu Jack avumilie tu hizi siku chache na aombe atokee mtu wa kutupa cha kuongea....tutamsahau mazima
Kitabibu hii kukatwa utumbo imekaaje daktari? siku hizi haka katabia kanashika mzizi bongo. kwanza ni sehemu gani ya utumbo wanakataga? Au wanakatwaga tu appendix wakifika mtaani wanatuambia wamekata utumbo......Hahahahaha!
Inawezekana humtukani mtu lakini kuna mahala huenda watu hawakuelewagi nakwambia,
Jaribu kutafuta mrejesho kwa wanaokuzunguuka mara kwa mara kama hawakuogopi wako huru watakwambia ukweli!
Madhara siyo matusi tu lakini ni mengi, mwingine akivuta anakaa kimyaaaa hazungumzi chochote hata akipewa salamu na jirani njiani hajibu , sasa hiyo ni sawa?
Yani lazima kuna mahala hawakuelewi tu jaribu kutafuta mtejesho.
Ni mazingira gani yalikushawishi hadi ukaamua kuvuta bange?
Bange siyo nzuri !
Hivi walisha pelekwa kizimbani hata mara moja toka washikiliwe?Shamim kabadili akaunti ya IG nafikiri kampa mtu aindeleze inaitwa 8020medialtd sasa hivi
Bado hawajapelekwaHivi walisha pelekwa kizimbani hata mara moja toka washikiliwe?
Najua sana. Na huwa natumia code mara nyingi zaidi humu. But nafanya hivyo kulingana na ishu mkuu.
Hizi za hawa wahuni acha tuzitaje tu kama zilivyo maana wanadanganya sana mabinti wanaowatazama kama role models.
Mfano mtu kama Shamim unaweka code ya nini?
Najua ninachokifanya!
Mkuu unamkumbuka na Yule model mweusi Tii jina linaanzia F surnane I
Mbona ameshatambulishwa kwenye comments zilizopita?[emoji848] nitambulishie ata inbox tafadhali...
Aisee! Kumbe ni serious surgiary....watu wana roho ngumu sana....ogopa wanawake wa mjini.Ni kupunguza uwezo wa mfumo kubeba chakula kingi, absorptive surface ya utumbo wenyewe na pia transit time ya chakula katika mwili. Kwa hiyo unakuwa haujipi calories nyingi katika mwili.
Very serious thing.....kikubwa ni kuwa wameamua kumodify kazi ya mungu kwa matamanio ya dunia wala si kwa sababu ya health reasons.....mambo mazito haya.Wan apunguze mfumo wa tumbo hivyo ukiona kidogo tu unakuwa umeshiba.
Unajua ukijinyima kula kwa muda mrefu tumbo kinarudi lenyeweVery serious thing.....kikubwa ni kuwa wameamua kumodify kazi ya mungu kwa matamanio ya dunia wala si kwa sababu ya health reasons.....mambo mazito haya.
Mkuu wewe ushawahi kula kitu?Inawezekana humtukani mtu lakini kuna mahala huenda watu hawakuelewagi nakwambia,
Jaribu kutafuta mrejesho kwa wanaokuzunguuka mara kwa mara kama hawakuogopi wako huru watakwambia ukweli!
Madhara siyo matusi tu lakini ni mengi, mwingine akivuta anakaa kimyaaaa hazungumzi chochote hata akipewa salamu na jirani njiani hajibu , sasa hiyo ni sawa?
Yani lazima kuna mahala hawakuelewi tu jaribu kutafuta mtejesho.
Ni mazingira gani yalikushawishi hadi ukaamua kuvuta bange?
Bange siyo nzuri !
Na mama mkwe alimpatia pickup kama ya Coca-Cola mpya! Sorry nami nakuwa mbea na ushamba wanguJack alikuwa rafiki Wa madam Rita, baada ya madamu kutofautiana na mengi basi jack nae kapenya.
N.b kitu ambacho sitosahau mengi alikuwa mwanaume wa kwanza kwenda karagwe mulongo na helicopter kwa ajili ya madam.
Kaka yako hakunipenda bure 🙏🏾Asanteni sana wadau mnaoendelea kushusha nondo kwenye uzi huu.
Mmeupa uhai sana.
Sky shemeji yangu umekuwa engine hapa. Your contribution is appreciated!
Mkuu acha kujibizana ha huyu mtu, hajuhi chichote kuhusu bangi!Bado point yako ni ya kiwack
Hayo yote unayosema sio sahihi....nakula 'kitu' kwa sana tokea 2008 na sijawah kumtukana ata mbuzi.
Na usikariri kwamba 'kitu' ni kwa ajili ya vijana tu. Kwa taarifa yako hadi madingi wanakula 'kitu' na wako fresh sasa hiyo point yko sijui ina apply wapi!
Anazingua anajifanya anaijua wakat chenga tu za kusoma shulenMkuu acha kujibizana ha huyu mtu, hajuhi chichote kuhusu bangi!