Dkt. Mengi alivyomchukua Jacky kwa Kinje

Dkt. Mengi alivyomchukua Jacky kwa Kinje

Nimestuka maana angeniita mtu mwingine nisingejali ila sio wewe hahahha,
episod za tamthilia za bongo ni zinakuaga tam jamani
Tumemaliza ya Nandy na Ruge, mala Mengina Jacky, Mala Gwajima sasa hatuna hata muda na Shamimu na mumewe
Shamim kabadili akaunti ya IG nafikiri kampa mtu aindeleze inaitwa 8020medialtd sasa hivi
 
Ni kupunguza uwezo wa mfumo kubeba chakula kingi, absorptive surface ya utumbo wenyewe na pia transit time ya chakula katika mwili. Kwa hiyo unakuwa haujipi calories nyingi katika mwili.
Kitabibu hii kukatwa utumbo imekaaje daktari? siku hizi haka katabia kanashika mzizi bongo. kwanza ni sehemu gani ya utumbo wanakataga? Au wanakatwaga tu appendix wakifika mtaani wanatuambia wamekata utumbo......Hahahahaha!
 
Kuhusu hili la cannabis sativa, anzisheni uzi mwingine.
Inawezekana humtukani mtu lakini kuna mahala huenda watu hawakuelewagi nakwambia,

Jaribu kutafuta mrejesho kwa wanaokuzunguuka mara kwa mara kama hawakuogopi wako huru watakwambia ukweli!
Madhara siyo matusi tu lakini ni mengi, mwingine akivuta anakaa kimyaaaa hazungumzi chochote hata akipewa salamu na jirani njiani hajibu , sasa hiyo ni sawa?
Yani lazima kuna mahala hawakuelewi tu jaribu kutafuta mtejesho.
Ni mazingira gani yalikushawishi hadi ukaamua kuvuta bange?


Bange siyo nzuri !
 
Najua sana. Na huwa natumia code mara nyingi zaidi humu. But nafanya hivyo kulingana na ishu mkuu.

Hizi za hawa wahuni acha tuzitaje tu kama zilivyo maana wanadanganya sana mabinti wanaowatazama kama role models.

Mfano mtu kama Shamim unaweka code ya nini?

Najua ninachokifanya!

Shamim ndo nani naomba kufahamu vzr...
 
Inawezekana humtukani mtu lakini kuna mahala huenda watu hawakuelewagi nakwambia,

Jaribu kutafuta mrejesho kwa wanaokuzunguuka mara kwa mara kama hawakuogopi wako huru watakwambia ukweli!
Madhara siyo matusi tu lakini ni mengi, mwingine akivuta anakaa kimyaaaa hazungumzi chochote hata akipewa salamu na jirani njiani hajibu , sasa hiyo ni sawa?
Yani lazima kuna mahala hawakuelewi tu jaribu kutafuta mtejesho.
Ni mazingira gani yalikushawishi hadi ukaamua kuvuta bange?


Bange siyo nzuri !
Mkuu wewe ushawahi kula kitu?
Kama hujawahi unaongea nini na kama uliwahi ni bora ulivyoacha mana wewe haikufai na huiwezi kwa kichwa chako hiki.
Bhange ni starehe na hazingui mtu.
 
Asanteni sana wadau mnaoendelea kushusha nondo kwenye uzi huu.

Mmeupa uhai sana.

Sky shemeji yangu umekuwa engine hapa. Your contribution is appreciated!
 
Bado point yako ni ya kiwack
Hayo yote unayosema sio sahihi....nakula 'kitu' kwa sana tokea 2008 na sijawah kumtukana ata mbuzi.
Na usikariri kwamba 'kitu' ni kwa ajili ya vijana tu. Kwa taarifa yako hadi madingi wanakula 'kitu' na wako fresh sasa hiyo point yko sijui ina apply wapi!
Mkuu acha kujibizana ha huyu mtu, hajuhi chichote kuhusu bangi!
 
Back
Top Bottom