Dkt. Modestus Francis Kipilimba: Wasifu wake

Angesomea intelligensia,cuba,usa uingereza na israel angekuwa na mauzoefu ya mosad,fbi na cia mi 6 and mi 5,ma kgb mwanawane ningemuona willy gamba lakin hapa mmmhh
Ila inawezekana ikawa alikuwa usalama toka mwanzo maana wapo watu wa usalama wanaofanyakazi kwenye taasisi mbalimbali
 
Nahisi uyu mkuu mpya nimemuona kwenye ile video ya kutangaza nia walikuwa wanaongelea mambo madini
 
Ni kweli usemayo lakini kwa upeo wangu mdogo alifaa ateuliwe miongoni mwa waliokaa kwenye idara hiyo na waliokubuhu ktk masuala ya upelelezi hasa ktk nyanja za kimataifa
Unajuaje kama hakuwa kwenye hayo majukumu?...TISS INA majukumu mengi
Ni kweli usemayo lakini kwa upeo wangu mdogo alifaa ateuliwe miongoni mwa waliokaa kwenye idara hiyo na waliokubuhu ktk masuala ya upelelezi hasa ktk nyanja za kimataifa
 
Duh! Nami nisome tuu huenda nikapata fursa
 
Hahaha, yaani hili jukwaa burudani kwelikweli! By thevway inakuwaje bosi usalama wa taifa hana mafunzo ya kijeshi, na kiusalsma kwa ubobezi kabisa? Au kuwa na utaalamu wa usalama wa computer dystems inatosha?
Mpaka kuchaguliwa ni kwamba ana mafunzo ya jwtz..jkt au kule chuoni kwao!!!
Na mengine yanafichwa kwa ethics za kazi yao!!!

Kwa nafasi kama iyo huwezi pewa tu...unapoongelea TISS ni zaid ya polis au jwtz!!!! Na inasemekana huyu jamaa ni pastor
Mtaalamu wa Computer na mambo ya usalama wapi na wapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…