Nkungulume
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 2,987
- 1,209
Ila inawezekana ikawa alikuwa usalama toka mwanzo maana wapo watu wa usalama wanaofanyakazi kwenye taasisi mbalimbaliAngesomea intelligensia,cuba,usa uingereza na israel angekuwa na mauzoefu ya mosad,fbi na cia mi 6 and mi 5,ma kgb mwanawane ningemuona willy gamba lakin hapa mmmhh
Kweli nina uhakika kwa mkwawa high schoolShule za Kigonsera, Dakawa, Kibaha, Mkwawa, imetoa wengi kweli kwenye hiyo idara
Nakashatu trace muda sana,tujidai tunamjua sana na kumjadili yeye anatuangalia tuanaweza kukutrace kupitia hiyo ID yako ndani ya sekunde tu
Yeah, Dawa ni karibia nusu ya darasa languKweli nina uhakika kwa mkwawa high school
Umeonaa eeh. Mhh basi haya!anaweza kukutrace kupitia hiyo ID yako ndani ya sekunde tu
Unajuaje kama hakuwa kwenye hayo majukumu?...TISS INA majukumu mengiNi kweli usemayo lakini kwa upeo wangu mdogo alifaa ateuliwe miongoni mwa waliokaa kwenye idara hiyo na waliokubuhu ktk masuala ya upelelezi hasa ktk nyanja za kimataifa
Ni kweli usemayo lakini kwa upeo wangu mdogo alifaa ateuliwe miongoni mwa waliokaa kwenye idara hiyo na waliokubuhu ktk masuala ya upelelezi hasa ktk nyanja za kimataifa
Cv maana yske nini kiongozi?Unajuaje kama hakuwa kwenye hayo majukumu?...TISS INA majukumu mengi
Suala siyo kusoma tu! Mwenzako anasoma tayari yuko kwenye systemkumbe swala ni kusoma tu ili nije kua usalama wa taifa acha niendelee kusoma kwa kwel
Umekaririshwa na nani kwani unafahamu nyuma ya taaluma yake ana taaluma gani nyingineMtaalamu wa Computer na mambo ya usalama wapi na wapi
Duh! Nami nisome tuu huenda nikapata fursaWASIFU MFUPI (CV) WA MKURUGENZI MKUU MPYA WA IDARA YA USALAMA WA TAIFA, TANZANIA (TISS), DKT MODESTUS KIPILIMBA
Jina kamili ni Modestus Francis Kipilimba
Dini ni Mkristo
Ni mzaliwa wa Morogoro, Tanzania
Alifunga ndoa mwaka 1988, na ana watoto watatu.
Kuanzia Januari mwaka 1973 hadi Novemba mwana 1976 amesoma Shule ya Sekondari Kingonsera iliyopo Mbinga mkoani Ruvuma. Kidato cha 5 na 6 amesoma Mkwawa High School iliyopo mkoani Iringa. Shahada ya kwanza amesoma Chuo Kikuu cha Dar es Salaam katika masuala ya Kompyuta.
Shahada ya Uzamili (Masters Degree) alisoma nchini Uingereza katika chuo Salford, Manchester ambapo alisomea masuala la Kompyuta tangu Septemba 1992 hadi Novemba 1994.
Shahada ya Uzamivu (PhD) alisoma katika chuo hicho hicho cha Salford kilichopo Manchester Uingereza, kutoka Februari 2002 hadi Septemba 2005.
Dkt. Kipilimba alikuwa Mkurugenzi wa Menejimenti ya Udhibiti (Director of Risk Management) Benki Kuu ya Tanzania (BoT). Tarehe 15 Februari, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli alimteua Dkt. Modestus Francis Kipilimba kuwa Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA).
Dkt. Kipilimba alijaza nafasi iliyoachwa wazi na Bw. Dickson Maimu ambaye uteuzi wake ulitenguliwa. Tarehe 24 Agosti, 2016 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo amemteua Dkt. Modestus Francis Kipilimba kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa.
Chanzo: Swahili Times
Pole sana.sikuhizi hayo siyo muhimu sana eti TISS sharti ujue ngumi,
wanaotakiwa kujua kareti ,mateke etc ni wale watu wa legwork a.k.a field,sasa mtu wa ofisini kungfu za nini.?
Wakisomaga hizo kozi huwa hawazitaji kwenye CV zao.Angesomea intelligensia,cuba,usa uingereza na israel angekuwa na mauzoefu ya mosad,fbi na cia mi 6 and mi 5,ma kgb mwanawane ningemuona willy gamba lakin hapa mmmhh
duh, Umeona nini mkuuTumeuona na umetulia sana
Utaambiwa alikua anataniaWataalam wa mifumo ya kompyuta kumbe wapo, kwanini rais atake kuwatumia wanyarwanda wakati tunao wetu?
Cc: Stefano Mtangoo
Mpaka kuchaguliwa ni kwamba ana mafunzo ya jwtz..jkt au kule chuoni kwao!!!Hahaha, yaani hili jukwaa burudani kwelikweli! By thevway inakuwaje bosi usalama wa taifa hana mafunzo ya kijeshi, na kiusalsma kwa ubobezi kabisa? Au kuwa na utaalamu wa usalama wa computer dystems inatosha?
Mtaalamu wa Computer na mambo ya usalama wapi na wapi