Nsoji go Nvaa
JF-Expert Member
- Oct 15, 2019
- 999
- 1,948
Jiwe kaona huyu kichaa anaenda kupingwa chini na mwanri kaamua kumuokoa dk ya 89 Sasa mwanri ndo atajua unafki wa jiweSema mgonjwa wa akili wa jimbo la Siha apata unaibu waziri.
Kule Siha ndivyo anavofahamika hivyo.
Kwani yeye ni mwanachama wa Chama gani?Hivi wana CCM wanajiskiaje huyo jamaa kuteuliwa 🤣🤣🤣🤣
Utakuwa una hamu tu wewe!Pumba tu afu unajiita mwanaume umeleta thread.
Ndo kusema vyombo vya usalama wanashikiwa akili na Mbowe kwa kutomhoji mtu mwenye ushahidi wa muhimu hivyo? Labda kwa kuwa sasa ni waziri atasilizwa fasta, ili walio mfyatulia ‘raisi’ Lisu risasi wakamatwe?!!Ishu kama hii uifanyie porojo? Na alisema yupo tayari kuhojiwa!
naona zaidi ni hapa, mpira ulishaisha bado dk 1 Bunge livunjwe warudi kwenye Majimbo yao kujipangaJiwe kaona huyu kichaa anaenda kupingwa chini na mwanri kaamua kumuokoa dk ya 89 Sasa mwanri ndo atajua unafki wa jiwe
Mh Godwin Mollel humsikii anachosema? Matusi hayasaidii kamanda.
Mwanri kaigeuza Tabora imekuwa Toronto. Acha awe hapo alipo.Jiwe
Jiwe kaona huyu kichaa anaenda kupingwa chini na mwanri kaamua kumuokoa dk ya 89 Sasa mwanri ndo atajua unafki wa jiwe
Ndio kusema mnakimbilia matusi? Badala ya kujibu hoja?Narudia tena acha siasa za kipuuzi, usije kuanza kulilia kuwa unatukanwa hapa jukwaani.
Pale unapoona uzi unawachangiaji wawili chagu was malunde na Bia yetu[emoji23], basi ujue ni utopolo
M.D alafu awe zuzu? Ukweli unauma bwashee.
Sawa kamanda.
atakoseaje na yeye ni kiongozi wa malaika walioko mbinguni
Sent from my iPhone using JamiiForums
Ndio kusema mnakimbilia matusi? Badala ya kujibu hoja?
Sindano ikiumiza kalio lazima usikia maumivu. Jana Manyere Jacton na Mwenzake mmeponda kwa kusema ukweli. Nyie ndivyo mlivyo.Exactly, huu n usajili mbovu wa timu buku 7 ambao Slowslow amewahi kuufanya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtoa uzi umelogwa na lumumba wewe...!Huyu si mwingine bali ni Dk Godwin Mollel ni mtu pekee ambae alionyesha ushujaa wa hali ya juu kwa kusema ukweli juu ya watu waliompiga risasi mwanasheria nguli, Tundu Lissu.
Ni Daktari wa binadamu na ameshawahi kuwa mtumishinwa serikali kama kwa muda mrefu, na akaamua kujiunga na Chadema. Baada ya kuona ni chama kisichofaa baada ya kupanga njama za kumpiga risasi Lissu aliamua kurudi Ccm.
Dk Mollel alifichua njama zote zilizopangwa na Chadema ili kumuua Lissu sababu Lissu alionekana kupata umaarufu kwa muda mfupi. Pia Dk Mollel alidai Chadema wana kikundi cha magaidi ambacho huwa kinatumika kufanya ghasia na ugaidi. Mfano ni lile bomu walilolipua kwenye mkutano wa kampeni mjini Arusha ambapo watu walikufa na kujeruhiwa.
Ni Daktari mbobezi hivyo anaenda kufanya kazi kama alivyotumwa na mkuu wake. Ila wazalendo wanampongeza kwa kusema ukweli juu ya wasiojulikana ambao ni Chadema.
@Bia yetu [emoji41]Huu uzi ni mujaarabu sana kwa ndugu BIA YETU
Sent from my iPhone using JamiiForums