Dkt. Mollel: CHADEMA walipanga njama za kumpiga risasi Lissu

Huu ujinga ni mtu asiye na Akili timamu pekee anaweza kukaa akauamini na wengi wajinga ndiyo wataushabikia sana, kwa Akili za kawaida tu hivi chadema ndiyo waling’oa cctv camera? Chadema ndiyo waliwatoa walinzi wa getini? Dereva kunusurika kwenye Tukio vina uhusiano gani na tukio zima kwani kunusurika si hutokea hata Ndege zikianguka pia, Dr molel siyo mungu siyo malaika kuwa anachokisema kimetoka mbinguni kwa mungu ni kiumbe fulani kaamua kujitoa ufahahamu kwa sababu ya njaa zake, watanzania siyo wajinga kiasi hicho wanajua CCM ya sasa wapo busy kuudhofisha chadema kwa kila mbinu na hiyo ni mbinu mojawapo ingawa watafeli sana.
 
Dr molel ni kiumbe aliyeamua kuijiaibisha kwa njia za kishamba sana kajitoa fahamu akizani watanzania wamelala ni wajinga kama yeye binafsi, aendelee kuendekeza njaa zake lakini ajue mungu anamuona na mungu anajua Daud Bashite alivyosafiri toka Dsm na kundi lake na akina nyaulingo kwenda kufanya hilo shambulio kwa Tundu lisu, huyo Dr molel kaja kishamba sana anazani watanzania ni mbumbumbu kiasi hicho?
 
Ni kweli kwa utawala huu unavyoichukia chadema lazima week ile ile mtu angefungwa na kunyongwa juu, Dr molel kaja na sinema za kishamba sana kasahau kuwa watanzania wa sasa wameamka wapo makini wanajua kila kitu wanafahamu waliomshambulia Tundu lisu akina Le mutuz walishatoa siri zote hakuna siri tena, huyo sasa siyo Doctor’ ni Molel darasa la nne kichwani hana kitu tena haiwezekani kwa mtu kujiita Doctor kisha kuja na sinema za kishamba kiasi hicho, hiyo ni dharau kwa watanzania.
 
Dr molel tafuta wapumbavu wenzako uwaelezee huo ujinga wako lakini watanzania wa sasa wameamka wanajua kuchanganua kila neno hawawezi kukaa kuamini sinema yako ya kutengeneza kishamba hivyo.
 
Hii kitu ina ukweli na Dk Mollel anajua ukweli. Chadema ipo siku wataumbuka. Na jinai haina mwisho nia yao ni kuichafua Ccm.
 
Dr molel tafuta wapumbavu wenzako uwaelezee huo ujinga wako lakini watanzania wa sasa wameamka wanajua kuchanganua kila neno hawawezi kukaa kuamini sinema yako ya kutengeneza kishamba hivyo.
Wewe mwenye akili ndogo ndio huwezi kuamini haya. Lakini wanaojua umafia wa Chadema wanakaa kimya.
 
Dr molel njaa ndizo zimemfanya ajitoe fahamu na njia pekee ya kumuonyesha kuwa anafanya ujinga ni Tundu lisu kumfungulia kesi kwenye mahakama ya uhalifu wa kimataifa The Hague akaeleze vizuri huo ujinga wake, kule hawana ujinga watazitaka cctv camera watawahitaji walinzi wa getini watasaka ushahidi wote.
 
Wewe mwenye akili ndogo ndio huwezi kuamini haya. Lakini wanaojua umafia wa Chadema wanakaa kimya.
Wewe ndiyo punguani unaamini kifala fala hakuna umafia chadema huo uzushi wako bakia nao huko gheto mnakovuta Bangi na kukariri ujinga, watanzania siyo wajinga kama wewe hawawezi kuamini propaganda za CCM kishamba shamba hivyo.
 
CCM tafuteni watetezi wapya mitandaoni hawa mnaowatumia kwa sasa uwezo wao wa kufikiri ulishafika mwisho kwani wengi hushinda gheto kwa cyprian Musiba na Le mutuz kubwa jinga wakivuta Bangi ndiyo maana utetezi wao mitandaoni unafanana sana baada ya kukuririshwa kila kitu, CCM ni chama kikubwa tafuteni watu makini waje na hoja za msingi acheni kuwatumia wavuta Bangi wanakiabisha chama cha CCM
 
Huyu Dr Mollel ana ROHO MBAYA sana. Uzuri namfahamu vizuri - mambo yake haya ya roho mbaya yatamfikisha tu mahali atakwama!
 
Huyu Dr Mollel ana ROHO MBAYA sana. Uzuri namfahamu vizuri - mambo yake haya ya roho mbaya yatamfikisha tu mahali atakwama!
Njia ya kumpa somo ni Tundu lisu kumshitaki kwenye mahakama ya uhalifu wa kimataifa The Hague
 
Kama lissu anatoka mishipa ya shingo kwa kuiaminisha dunia kuwa rais hajawai kutoa tamko lolote kufuatia ye kushambuliwa wala kiongozi yoyote wa serikali kumtembelea, kwa nini tusimuamini mollel?

Sent using Jamii Forums mobile app
Muamini peke yako lakini wengi wanamuona molel kachanganyikiwa sasa
 
Zile nguo za kijani sijui waliweka vitu gani maana mwenye password ya akili alikuwa na password yake.Tumbo ndo ugeuka akili.Wanajali tumbo kuliko hali halisi
Ha ha haaaa
 
Sio nyie mnayemuona hivyo ndio mmechanganyikiwa.?Mjitathmini tena mtajigundua tu.
Wewe ukijigundua kwanza mapungufu yako ndipo tutaamini unachotaka kutengeneza ingawa unajua kuwa ni vigumu kikubalike kwa watanzania wa sasa ambao wameamka kwa kiwango kikubwa
 
Wewe ukijigundua kwanza mapungufu yako ndipo tutaamini unachotaka kutengeneza ingawa unajua kuwa ni vigumu kikubalike kwa watanzania wa sasa ambao wameamka kwa kiwango kikubwa
Hivi we katika walioamka unathubutu kabisa kujiona walioamka. Duh ufipa bado mna safari ndefu sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…