Dkt. Mollel: CHADEMA walipanga njama za kumpiga risasi Lissu

Alikuwa akisaka teuzi keshapata, chochote negative kuhusu cdm au upinzani teuz zitakufata tu
 
Mhubiri 2:24
[24]Mwanadamu hapati jema kupita kula na kunywa, na kuiburudisha roho yake kwa mema katika kazi yake. Hayo nayo naliona ya kwamba hutoka mkononi mwa Mungu.
 
Mleteni dereva aseme ,CCTV camera ziko wapi
Kama MLIPOMUUWA AQUILINA
MKAMSHITAKI MBOWE. Leo kwa Lisu mjifanye dereva ahojiwe. Si yule aliyepata u doctor kwa kuonga makalio kasema ana ushahidi mnasubiri nini kuwakamata chadema.
 
Baada ya Dk Mollel kutaka kuweka hadharani mbinu zote ambazo chadema walipanga kumshambulia Lisu ili kumzuia asigombee uenyekiti wa chama naona Mbowe anajihami kwa kutuletea igizo la kushambuliwa!!!
 
Baada ya Dk Mollel kutaka kuweka hadharani mbinu zote ambazo chadema walipanga kumshambulia Lisu ili kumzuia asigombee uenyekiti wa chama naona Mbowe anajihami kwa kutuletea igizo la kushambuliwa!!!
Anadai amekanyagwa kanyagwa na kuvunjwa miguu na mikono.
 
hapa naweza sema ni uongo mtupu kwa sababu gani shambulio la lisu liliichafua Tanzania kimataifa kwa nn serikali isimshike huyu mbuge akaisaidia serikali katika uchunguz ili kujisafisha kwa lawama hizi
 
Naibu waziri wa afya na ccm yake wanatapatapa. Anawezaje kukiri kuhusika na njama za mauaji kirahisi hivyo? Yuko juu ya sheria?
Vyombo vya dola vimesikia. Waziri ana vielelezo. Asipochukuliwa hatua za kisheria utakuwa ni ushahidi tosha kuwa madai ya mollel ni uzushi uliolenga kusambatisha CHADEMA.
Anasemaje kuhusu kushambuliwa na watu wasiojulikana kwa Freeman Mbowe, mwenyekiti wa CDM, ambaye ni muhimili mkuu wa chama chake?
Ndio mkakati wa kuua upinzani kabla ya uchaguzi mkuu uliokuwepo kwa muda mrefu?
Rais alimwambia Mambosasa kuwa Watanzania si wajinga.
 
Usisahau Chadema ndiyo walioficha dereva wa Lisu
Kwani dereva wa Lissu ndio alikuwa na silaha yeyote?Mnaacha kuwatafuta wenye silaha mnahangaika na dereva.
Sasa kaja Lissu mwenyewe,aliyetizamana na mfyatua risasi.
Kazi kwenu!!
 
Kweli kabisa ndiyo maana hata leo dereva wa Lisu hajarudi nyumbani
weka akiba ya maneno, ni wapi hukumuona dereva wa Lissu akirejea Tanzania?
At Brussels Zaventem National Airport for the flight home. Escorted by my wife Alicia, my driver Adam Bakari Mohamed and Ms Hortensia May Lyatuu." Hon. Tundu Lissu
 
Polisi anzeni na huyu mkoma
 
Ameshalipwa na Wajumbe, malipo hapa hapa duniani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…