Dkt. Mollel: CHADEMA walipanga njama za kumpiga risasi Lissu

Dkt. Mollel: CHADEMA walipanga njama za kumpiga risasi Lissu

WAMKAMATE mzalendo wa ccm?sanasana itabidi wambembeleze maana katoa hadi masharti ya kuachia huo ushahidi wake
Aisee huyu ni wakukamata kabisa. Hii ni dharau kubwa kwa serikali tukufu na jeshi letu imara la Polisi. Yaana Jeshi lenye vifaa,askari wa kutosha, wanalipwa vzr. Wamepata mafunzo ila mpaka Leo bado wanachunguza tukio la Lisu hawajawafahamu wahusika. Alafu Leo huyu Mollel mmoja tu hana mafunzo wala vifaa halipwi hata kwa kazi hyo anasema amewapata wahusika? Kwa hiyo ni mpelelezi mzuri kuliko polisi wetu? Hii ni dharau aisee hata kama ni kweli, huyu akamatwe kwa kudhalilisha vyombo vyetu vya ulinzi na usalama. Haiwezekani aweze kilichowashinda wanausalama wa nchi.
 
Inaonekana Area D paliendelea vizuri sana maana miaka 2012 au13s hivi hapakuwa na cctv kamera kuna wakati block moja liliwaka moto pia ulinzi ulikuwepo main gate wa walinzi local( hizi kampuni za ulinzi tu) maaskari walijuwa wanakuja kuanzia saa 12 jioni tena kipindi cha bunge.
Kwa kuwa inasemwa huenda hayo yapo mi niko outdated [emoji41] nifua jana kama mtu anapovu lisiwe jingi boxer tu ndio sikufua

Sent using Jamii Forums mobile app
Unazungumzia 2012-2013, tukio ni la 2017 ndugu huoni tofauti ya muda ama?
 
Basi jamani utata umeisha,bwana mollel unaambiwa anao ushahid wooooteeeeee, ila atautoa tu pale chadema itakapoeleza matumizi ya ruzuku
Kwa hiyo tusubiri jeshi la polisi waongee na msajili wa vyama na CAG kuhusu ruzuku ili kumlainisha bwana mollel atoe ushahidi wake huo
**Halii hii inaonyesha wazi kwamba ukihama cdm kwenda ccm akili zako zinaongezeka sana, Dr Mollel katisha vibaya mno.


View attachment 1017124
Siku zote alikuwa wapi?Baada ya kutia nia basi anaushahidi labda atuambie hata yeye alihusika tutamwamini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe yeye mwenyewe mwizi! Anaiba mpaka sampuli! Kweli ukizoea wizi ni shida tupu.
 
kweli kabisa sasa inakuwaje tena ushahidi kauwekea masharti? si ndo nafasi ya kuaiabisha chadema? kambembelezeni basi? HALAFU JAMAA ATAKUWA JEMBE SANA HUYU ANAFAA U WAZIRI HUYU
😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Ama kweli kick zitatafutwa sana mwaka huu. Alikuwa wapi kuleta ushahidi huu muda wote. Azipeleke kwa vyombo husika ili hatua zichukuliwe. Kinyume cha hapo huo ni usanii mtupu.
 
CCM Mungu anawaona, hivi mnawapa nini hawa watu mpaka wanakuwa vichaa kichwani ilhali wanavaa suti mwilini?
Je, zile CCTV cameras ziliondolewa na wanachadema?
Serikali au CHADEMA ndiyo iliyomnyima fefha ya matibabu ili afe?
Aliyetaka Lisu afe ni yule aliyemshambulia kwa risasi na kumnyima fedha za matibabu ili abaki Dodoma wammalizie kiulaini.
Mungu na ahukumu sasa kwa kumnyima uhai yule aliyehusika
 
Basi jamani utata umeisha,bwana mollel unaambiwa anao ushahid wooooteeeeee, ila atautoa tu pale chadema itakapoeleza matumizi ya ruzuku
Kwa hiyo tusubiri jeshi la polisi waongee na msajili wa vyama na CAG kuhusu ruzuku ili kumlainisha bwana mollel atoe ushahidi wake huo
**Halii hii inaonyesha wazi kwamba ukihama cdm kwenda ccm akili zako zinaongezeka sana, Dr Mollel katisha vibaya mno.


View attachment 1017124
kwa hiyo cdm ndio walioondoa cctv na walinzi na mbona cdm wapo hapa hapa tz wafungulieni mastaka, au ndio yale Yale mmeanzisha mahakama ya mafisadi na fisadi mnayemwita lowasa yupo ila mnaishia kumualika ikulu. CCM =SHETANI
 
Basi jamani utata umeisha,bwana mollel unaambiwa anao ushahid wooooteeeeee, ila atautoa tu pale chadema itakapoeleza matumizi ya ruzuku
Kwa hiyo tusubiri jeshi la polisi waongee na msajili wa vyama na CAG kuhusu ruzuku ili kumlainisha bwana mollel atoe ushahidi wake huo
**Halii hii inaonyesha wazi kwamba ukihama cdm kwenda ccm akili zako zinaongezeka sana, Dr Mollel katisha vibaya mno.


View attachment 1017124
Huyu alitakiwa awe polisi kulisaidia jeshi la polisi kama kweli kasema anaushahidi. Huwezi kuwa na ushahidi wa attempt ya mauaji kwa mtu kumiminiwa risasi 16 halafu wewe uutangazie umma kuwa unawajua wahusika halafu jeshi la polisi likakuangalia tu bila hata kukuhoji. Na kama anaushahidi na alikaa nao muda wote huu huyu anatakiwa akamatwe na kufunguliwa mashita he is a complicit of madder attempt
 
Yaani akili za Mollel ni kama za Omary Mahita kipindi amejidai kukamata container ati limejaa visu vya CUF kisha akashindwa kuwapeleka watu mahakamani wakati vidhibitisho alikuwa navyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa kwa nini Serikali iendelee kuumbuka kupitia TL wakati kila kitu mnacho na mmeficha!? Utakapoweka hadharani ushahidi huo, TL hawez wala hata kua na ujanja wa uendelea na ziara zake kwenye Media.
Wewe uliyebaki na ushahidi ndie unaeiangamiza serikali yako na chama chako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nijuavyo mimi hata wabunge, Sayd Kubenea (Ubungo) pamoja na Anthony Bahati Calyst Komu (Moshi Vijini) wanajua/wana ushahidi japo wa mazingira, kuhusiana na tukio la Tundu Lissu kupigwa risasi. Tusubiri kuche.
 
Sasa kwa nini Serikali iendelee kuumbuka kupitia TL wakati kila kitu mnacho na mmeficha!? Utakapoweka hadharani ushahidi huo, TL hawez wala hata kua na ujanja wa uendelea na ziara zake kwenye Media.
Wewe uliyebaki na ushahidi ndie unaeiangamiza serikali yako na chama chako.

Sent using Jamii Forums mobile app
Lisu huko aliko awaambie tayari kuna Mbunge ana Ushahidi pasipo shaka, ahojiwe haraka.
 
Back
Top Bottom