Dkt. Mollel: CHADEMA walipanga njama za kumpiga risasi Lissu

Dkt. Mollel: CHADEMA walipanga njama za kumpiga risasi Lissu

Hivi jeshi letu LA polisi na vyombo vya usalama vinasubiria nini mpaka sasa?Kwanini wasimuhoji Mollel kuhusu hili swala LA Lissu ?eti mpaka ufafanuzi wa ruzuku!!,hivi kwanini watu vichaa kama hawa wanaichezea serekali?na hajuii madhara ya maneno aliyotoa?.


Sasa kwavile serekali inahangaika sana kujisafisha na kujitetea kwa swala LA Lissu,nadhani huu ndio wakati pekee wakujisafisha kwa kumuhoji na kuchukua taarifa za Mollel ili tuwajue hao chadema walio andaa mikakati yakumuua Lissu.Lasivyo bado lawama niupande wenu serekali ya ccm,mulikuwa mukililia Lissu arudi ahojiwe,lakini bahati nzuri amejitokeza Mollel nadhani ndie wakuanza nae.Tunaomba mujisafishe kwakumuhoji Mollel

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanasiasa wachache sana wanaamini uwepo wa Mungu na wanamuamini Mungu kisawa sawa wengi wao huamini katika waganga wa kienyeji ili ku set mambo yao sawa kwahyo usihadaike na majina sijui John,Job,bashe etc na kaa ukitambua kuwa sio kila aingiae kanisa ama msikitini ni mcha Mungu kuna wengine ni wanga,wachawi,etc kwahyo sasa huo uongo unaosema wewe dhambi wenzio wanaona ni kawaida, ila ipo siku tena ile siku ambayo roho itaachana na kiwili wili ndipo watakapo tambua ukuu wa Mungu lakini ndo itakuwa too late.
Hv hawa wanasiasa wanaabudu Mungu gani? Hv wana dini hawa wanasiasa? Wanaamn kua Mungu yupo? Maana wanausema uwongo hadharani ilihali wakijua ni uongo. Hawajui km kusema uongo ni dhambi? Wanajua kua kuna kufa??? Mungu awafungue na waone madudu yao. Hv kweli Chadema wangekua wamehusika na shambulio la Lisu na ushahidi upo,c wangeshaumbuliwa mchana kweupe? Muogopeni Mungu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani ni vema tukawa tunajadili kauli za watu ambao wana akili timamu.

Mole sidhani kama ni mzima. Mtu yeyote anayeweza kukubali kununuliwa lazima awe na upunguani wa aina fulani. Huyu definately ni punguani.

Hata serikali yenyewe inajua kuwa kauli hii imetoka kwa punguani ndiyo maana hakuna atakayeifanyia kazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aliyekuwa mbunge wa Chadema kutoka jimbo la Siha jana ametema nyongo bungeni baada ya kuelezea namna viongozi wa Chadema walivyopanga njama za kumuuwa Lisu kwa kumpiga risasi na amesema kama Chadema wanabisha siku ikifika ataweka ushahidi wote hadharani!

Report ya Dkt Mollel sasa inaweza kujibu swali la kwa nini pamoja na kufyatuliwa risasi nyingi lakini hamna hata moja iliyompata dereva wa Lisu kwa sababu alikuwa anajua mchongo mzima na namna gani ya kujificha wakati risasi zikimiminwa.

Mbunge wa Siha, Dkt. Godwin Mollel (CCM) Adai Mpango wa Tundu Lissu Kupigwa Risasi Uliratibiwa na CHADEMA Wenyewe. | MPEKUZI

Sent using Jamii Forums mobile app
Wa Tznia hawata nunua hiyo stori sio mazezeta kwa kiasi hicho

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aliyekuwa mbunge wa Chadema kutoka jimbo la Siha jana ametema nyongo bungeni baada ya kuelezea namna viongozi wa Chadema walivyopanga njama za kumuuwa Lisu kwa kumpiga risasi na amesema kama Chadema wanabisha siku ikifika ataweka ushahidi wote hadharani!

Report ya Dkt Mollel sasa inaweza kujibu swali la kwa nini pamoja na kufyatuliwa risasi nyingi lakini hamna hata moja iliyompata dereva wa Lisu kwa sababu alikuwa anajua mchongo mzima na namna gani ya kujificha wakati risasi zikimiminwa.

Mbunge wa Siha, Dkt. Godwin Mollel (CCM) Adai Mpango wa Tundu Lissu Kupigwa Risasi Uliratibiwa na CHADEMA Wenyewe. | MPEKUZI

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe na yeye wote waongo
Next...
 
Nadhani ni vema tukawa tunajadili kauli za watu ambao wana akili timamu.

Mole sidhani kama ni mzima. Mtu yeyote anayeweza kukubali kununuliwa lazima awe na upunguani wa aina fulani. Huyu definately ni punguani.

Hata serikali yenyewe inajua kuwa kauli hii imetoka kwa punguani ndiyo maana hakuna atakayeifanyia kazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Naunga mkono hoja. Kama kuna mtu anabisha aombe picha ya huyo Mollel amuangalie vizuri.
 
Basi jamani utata umeisha,bwana mollel unaambiwa anao ushahid wooooteeeeee, ila atautoa tu pale chadema itakapoeleza matumizi ya ruzuku
Kwa hiyo tusubiri jeshi la polisi waongee na msajili wa vyama na CAG kuhusu ruzuku ili kumlainisha bwana mollel atoe ushahidi wake huo
**Halii hii inaonyesha wazi kwamba ukihama cdm kwenda ccm akili zako zinaongezeka sana, Dr Mollel katisha vibaya mno.


View attachment 1017124
Muongo
Kwa nini aseme leo
Hizi sifa za kipumbavu
Hivi hawa watu wana familia kweli?
 
Aliyekuwa mbunge wa Chadema kutoka jimbo la Siha jana ametema nyongo bungeni baada ya kuelezea namna viongozi wa Chadema walivyopanga njama za kumuuwa Lisu kwa kumpiga risasi na amesema kama Chadema wanabisha siku ikifika ataweka ushahidi wote hadharani!

Report ya Dkt Mollel sasa inaweza kujibu swali la kwa nini pamoja na kufyatuliwa risasi nyingi lakini hamna hata moja iliyompata dereva wa Lisu kwa sababu alikuwa anajua mchongo mzima na namna gani ya kujificha wakati risasi zikimiminwa.

Mbunge wa Siha, Dkt. Godwin Mollel (CCM) Adai Mpango wa Tundu Lissu Kupigwa Risasi Uliratibiwa na CHADEMA Wenyewe. | MPEKUZI

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji445][emoji445]Buku 7 tetema, ohh mama tetema
[emoji445][emoji445]tipwatipwa tetema, ohhh mama tetema [emoji445][emoji445]
tapatalk_1549643510442.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama wazazi wenye watoto waliouwawa kikatili huko Njombe tayari wameshachukuliwq na POLISI,vipi huyu mwenye ushahidi wa suala la siku nyingi tena linaloichafua taswira ya serikali anayoitumikia badi yupo mtaani na ushahidi wake??!!

Au anasubiri siku akihitajika aje na maneno kuwa ma**** wa Chadema wameshampora ushahidi huo??

Naipenda nchi yangu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani ni vema tukawa tunajadili kauli za watu ambao wana akili timamu.

Mole sidhani kama ni mzima. Mtu yeyote anayeweza kukubali kununuliwa lazima awe na upunguani wa aina fulani. Huyu definately ni punguani.

Hata serikali yenyewe inajua kuwa kauli hii imetoka kwa punguani ndiyo maana hakuna atakayeifanyia kazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama Mbowe alivyonunuliwa na Lowasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dunia kosa yote ila usikose AKILI. Hii ni kitu watu wengi ccm hawana na ndio maana mawazo kama haya yanakuja hata huku JF.
Kinachoniuma zaidi, wote kama nchi kwa pamoja tunabeba lawama hizi kuwa HATUNA AKILI maana ndivyo dunia inatuona.
 
Wanasiasa wachache sana wanaamini uwepo wa Mungu na wanamuamini Mungu kisawa sawa wengi wao huamini katika waganga wa kienyeji ili ku set mambo yao sawa kwahyo usihadaike na majina sijui John,Job,bashe etc na kaa ukitambua kuwa sio kila aingiae kanisa ama msikitini ni mcha Mungu kuna wengine ni wanga,wachawi,etc kwahyo sasa huo uongo unaosema wewe dhambi wenzio wanaona ni kawaida, ila ipo siku tena ile siku ambayo roho itaachana na kiwili wili ndipo watakapo tambua ukuu wa Mungu lakini ndo itakuwa too late.

Sent using Jamii Forums mobile app

True na ndumba zimewapofusha maana Kazi ya ndumba ni kupunguza uwezo wa kufikiri Kwa 67% thus MTU anaacha kutumia akili yake ya kawaida na kuendeshwa na MTU mwingine. Huwa wanaelewa wakiwa washachelewa.
 
Hivi jeshi letu LA polisi na vyombo vya usalama vinasubiria nini mpaka sasa?Kwanini wasimuhoji Mollel kuhusu hili swala LA Lissu ?eti mpaka ufafanuzi wa ruzuku!!,hivi kwanini watu vichaa kama hawa wanaichezea serekali?na hajuii madhara ya maneno aliyotoa?.


Sasa kwavile serekali inahangaika sana kujisafisha na kujitetea kwa swala LA Lissu,nadhani huu ndio wakati pekee wakujisafisha kwa kumuhoji na kuchukua taarifa za Mollel ili tuwajue hao chadema walio andaa mikakati yakumuua Lissu.Lasivyo bado lawama niupande wenu serekali ya ccm,mulikuwa mukililia Lissu arudi ahojiwe,lakini bahati nzuri amejitokeza Mollel nadhani ndie wakuanza nae.Tunaomba mujisafishe kwakumuhoji Mollel

Sent using Jamii Forums mobile app

Serikali yeyeto dhaifu duniani utumia nguvu zaidi ya hoja,pia ni rahisi kuchezewa na watu kama hao wanaopewa teuzi kama fadhila baada ya kutukana upinzani. MTU atangulizaye tumbo kwanza hawezi kuwa timamu nje ya tumbo.
 
Back
Top Bottom