Dkt. Mollel: CHADEMA walipanga njama za kumpiga risasi Lissu

Dkt. Mollel: CHADEMA walipanga njama za kumpiga risasi Lissu

Huenda molel na selasini walihusika kwenye mipanga ya kumuua Lissu

Dah kumbe selasini siyo MTU mzuri, nilikuwa namwamini sana
 
Wabunge waliounga juhudi nao walihusika na mipango ovu ya kutoa uhai was raisi wetu ajaye
 

Attachments

  • IMG_20200409_204452.jpg
    IMG_20200409_204452.jpg
    46 KB · Views: 3
Aliyekuwa mbunge wa Chadema kutoka jimbo la Siha jana ametema nyongo bungeni baada ya kuelezea namna viongozi wa Chadema walivyopanga njama za kumuuwa Lisu kwa kumpiga risasi na amesema kama Chadema wanabisha siku ikifika ataweka ushahidi wote hadharani!

Report ya Dkt Mollel sasa inaweza kujibu swali la kwa nini pamoja na kufyatuliwa risasi nyingi lakini hamna hata moja iliyompata dereva wa Lisu kwa sababu alikuwa anajua mchongo mzima na namna gani ya kujificha wakati risasi zikimiminwa.

Chanzo: Mpekuzi

========

Mbunge Dkt. Mollel akiwa Bungeni amesema fedha zinazopatikana kwenye rasilimali ambazo si endelevu(Mf. Madini) zinapaswa kuwekezwa kwenye maeneo ambayo yataendelea kulipa taifa pato hata zikiisha.

Nayo ni

1. Rasilimali watu
2. Miundombinu
3. Ugunduzi na Teknolojia

Pia ameeleza kuwa wakati sisi tunawekeza huko, kuna baadhi ya nchi ambazo rasilimali zao zimekwisha hivyo wanatafuta maeneo katika nchi zetu ili waweze kuwekeza kwenye rasilimali zetu na kuzipa nchi zao nguvu.

Katika kutoa mfano wa hilo, Dkt. Mollel anadai kuwa akiwa CHADEMA chini ya Mbunge Selasini, walikuwa wakipanga mikakati ya kuzuia Serikali isiwekeze maeneo hayo.

Katika mkakati huo ikaonekana kuwa Tundu Lissu anajipatia umaarufu binafsi hivyo wakampiga risasi na kumuumiza.

Anasema mkakati huo ndio unaendelea hadi sasa Ulaya ukifadhiliwa na watu wachafu wenye nia ya kuiba rasilimali za Watanzania. Anasema suala la Lissu liko wazi sababu hata Chacha Wangwe alipotaka Uenyekiti nini kilimpata?

Mabomu ya Arusha

Akizidi kukandamizia point yake, Mollel amesema alikuwa Daktari mwakilishi wa CHADEMA kipindi cha Mabomu ya Arusha na alipotoka kwenye chumba cha uchunguzi(post mortem) aliwaeleza viongozi wake kuwa ameiba vitu kadhaa toka kwenye chumba hicho hivyo wavipeleke Afrika ya Kusini kwa ajili ya uchunguzi lakini walikataa licha ya kuwa na Ruzuku.

Sent using Jamii Forums mobile app
'Ukweli ukidhihiri uongo hujitenga'
 
Aliyekuwa mbunge wa Chadema kutoka jimbo la Siha jana ametema nyongo bungeni baada ya kuelezea namna viongozi wa Chadema walivyopanga njama za kumuuwa Lisu kwa kumpiga risasi na amesema kama Chadema wanabisha siku ikifika ataweka ushahidi wote hadharani!

Report ya Dkt Mollel sasa inaweza kujibu swali la kwa nini pamoja na kufyatuliwa risasi nyingi lakini hamna hata moja iliyompata dereva wa Lisu kwa sababu alikuwa anajua mchongo mzima na namna gani ya kujificha wakati risasi zikimiminwa.

Chanzo: Mpekuzi

========

Mbunge Dkt. Mollel akiwa Bungeni amesema fedha zinazopatikana kwenye rasilimali ambazo si endelevu(Mf. Madini) zinapaswa kuwekezwa kwenye maeneo ambayo yataendelea kulipa taifa pato hata zikiisha.

Nayo ni

1. Rasilimali watu
2. Miundombinu
3. Ugunduzi na Teknolojia

Pia ameeleza kuwa wakati sisi tunawekeza huko, kuna baadhi ya nchi ambazo rasilimali zao zimekwisha hivyo wanatafuta maeneo katika nchi zetu ili waweze kuwekeza kwenye rasilimali zetu na kuzipa nchi zao nguvu.

Katika kutoa mfano wa hilo, Dkt. Mollel anadai kuwa akiwa CHADEMA chini ya Mbunge Selasini, walikuwa wakipanga mikakati ya kuzuia Serikali isiwekeze maeneo hayo.

Katika mkakati huo ikaonekana kuwa Tundu Lissu anajipatia umaarufu binafsi hivyo wakampiga risasi na kumuumiza.

Anasema mkakati huo ndio unaendelea hadi sasa Ulaya ukifadhiliwa na watu wachafu wenye nia ya kuiba rasilimali za Watanzania. Anasema suala la Lissu liko wazi sababu hata Chacha Wangwe alipotaka Uenyekiti nini kilimpata?

Mabomu ya Arusha

Akizidi kukandamizia point yake, Mollel amesema alikuwa Daktari mwakilishi wa CHADEMA kipindi cha Mabomu ya Arusha na alipotoka kwenye chumba cha uchunguzi(post mortem) aliwaeleza viongozi wake kuwa ameiba vitu kadhaa toka kwenye chumba hicho hivyo wavipeleke Afrika ya Kusini kwa ajili ya uchunguzi lakini walikataa licha ya kuwa na Ruzuku.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kuna taarifa hata ukiikuta mahali haupaswi kunakili, unaipuuza ili kujisitiri.Kwani wewe akili zako unazitumia kwenye mambo gani?

Kikwetu Etwege inamaanisha mpumbavu.
 
Huo ushahidi ameupata baada ya kuhama Chama!? Poor Dr.
 
Hakuna serikali ya ovyo kama hii kuhawi kutokea ktk nchi hii. Yani Chadema wapange kuua mtu halafu waachwe tu. Kenge kabisa hao.
 
Aliyekuwa mbunge wa Chadema kutoka jimbo la Siha jana ametema nyongo bungeni baada ya kuelezea namna viongozi wa Chadema walivyopanga njama za kumuuwa Lisu kwa kumpiga risasi na amesema kama Chadema wanabisha siku ikifika ataweka ushahidi wote hadharani!

Report ya Dkt Mollel sasa inaweza kujibu swali la kwa nini pamoja na kufyatuliwa risasi nyingi lakini hamna hata moja iliyompata dereva wa Lisu kwa sababu alikuwa anajua mchongo mzima na namna gani ya kujificha wakati risasi zikimiminwa.

Chanzo: Mpekuzi

========

Mbunge Dkt. Mollel akiwa Bungeni amesema fedha zinazopatikana kwenye rasilimali ambazo si endelevu(Mf. Madini) zinapaswa kuwekezwa kwenye maeneo ambayo yataendelea kulipa taifa pato hata zikiisha.

Nayo ni

1. Rasilimali watu
2. Miundombinu
3. Ugunduzi na Teknolojia

Pia ameeleza kuwa wakati sisi tunawekeza huko, kuna baadhi ya nchi ambazo rasilimali zao zimekwisha hivyo wanatafuta maeneo katika nchi zetu ili waweze kuwekeza kwenye rasilimali zetu na kuzipa nchi zao nguvu.

Katika kutoa mfano wa hilo, Dkt. Mollel anadai kuwa akiwa CHADEMA chini ya Mbunge Selasini, walikuwa wakipanga mikakati ya kuzuia Serikali isiwekeze maeneo hayo.

Katika mkakati huo ikaonekana kuwa Tundu Lissu anajipatia umaarufu binafsi hivyo wakampiga risasi na kumuumiza.

Anasema mkakati huo ndio unaendelea hadi sasa Ulaya ukifadhiliwa na watu wachafu wenye nia ya kuiba rasilimali za Watanzania. Anasema suala la Lissu liko wazi sababu hata Chacha Wangwe alipotaka Uenyekiti nini kilimpata?

Mabomu ya Arusha

Akizidi kukandamizia point yake, Mollel amesema alikuwa Daktari mwakilishi wa CHADEMA kipindi cha Mabomu ya Arusha na alipotoka kwenye chumba cha uchunguzi(post mortem) aliwaeleza viongozi wake kuwa ameiba vitu kadhaa toka kwenye chumba hicho hivyo wavipeleke Afrika ya Kusini kwa ajili ya uchunguzi lakini walikataa licha ya kuwa na Ruzuku.

Sent using Jamii Forums mobile app
mbona Chadema hawajakamatwa pamoja na hii damning evidence ya Mollel?

au wakamataji wamegundua kuwa Mollel ni chini?
 
Sasa kwann hamuwakamati wahusika? Mana waachia tu huru. Kutwa mnaimba ni wauawaji.. jmn fungueni kesi? Mbona ni ishu rais sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa wale wanaofuatilia utendaji wa Mungu muumba wa mbingu na nchi sasa siyo wakati wa kushindana tena na utawala huu wa CCM.
Kipigo kimeanza kutoka kwa Muumba na hakuna wa kuzuia hadi wajitokeze watubu.
Farao yaani jiwe ameanza kuonyesha shingo ngumu yaani ujiwe! wake.
--Amekataa kabisa kuzuia maambukizi ya korona yasiingie nchini. Wakati wenzake wanafunga mipaka ya nchi zao yeye akafungulia watalii kutoka kwenye kiini cha korona.
-- Wakati wenzake wakijaribu kudhibiti "community infection yeye yuko busy kuruhusu Dar kitovu cha korona kwa tanzania iendelee kusambaza nchi nzima.
-- Wakati wenzie wakihimiza kuvaa barakoa yeye ndio mwanzo analeta mambo ya kijinga eti barakoa zina korona.
--Wakati wenzake wakitambua korona ni ugonjwa na siyo mapepo yanayotolewa kwa maombezi ndiyo kwanza anahimiza mikusanyiko kwa kisingizio cha maombezi.

Sasa ameanza kupigwa wabunge wake wawili wagonjwa mmoja amepiga teke juzi na anazikwa na watu kumi. Yule wa kinondoni aliyesababisha watu wakapigwa na mwanafunzi akauawa yuko njiani kwenda kuzimu.
Sasa atapigwa systematically hadi ndani kwake trust me. Ni lazima atubu na kuwaachia wana wa Mungu huru ama sivyo kipigo ni lazima.
Kuwaachia watu wa MUngu huru ni kuruhusu
---Utawala wa sheria
---Tume huru ya uchaguzi
---Kuchunguza vifo na utekaji tatanishi tanzania

Bila hivyo bahari ya Sham itawameza wote na majeshi yake kama alivyozika watu bahari ya hindi kwenye viroba..

Siku, saa, sekunde zinahesabika

Nasema wewe unayejiita shingo ngumu aka Jiwe Tubu ama sivyo you will perish!!
 
Huyu si mwingine bali ni Dk Godwin Mollel ni mtu pekee ambae alionyesha ushujaa wa hali ya juu kwa kusema ukweli juu ya watu waliompiga risasi mwanasheria nguli, Tundu Lissu.

Ni Daktari wa binadamu na ameshawahi kuwa mtumishi wa serikali kama kwa muda mrefu, na akaamua kujiunga na CHADEMA. Baada ya kuona ni chama kisichofaa baada ya kupanga njama za kumpiga risasi Lissu aliamua kurudi CCM.

Dkt. Mollel alifichua njama zote zilizopangwa na Chadema ili kumuua Lissu sababu Lissu alionekana kupata umaarufu kwa muda mfupi. Pia Dk Mollel alidai CHADEMA wana kikundi cha magaidi ambacho huwa kinatumika kufanya ghasia na ugaidi. Mfano ni lile bomu walilolipua kwenye mkutano wa kampeni mjini Arusha ambapo watu walikufa na kujeruhiwa.

Ni Daktari mbobezi hivyo anaenda kufanya kazi kama alivyotumwa na mkuu wake. Ila wazalendo wanampongeza kwa kusema ukweli juu ya wasiojulikana ambao ni CHADEMA.
 

Attachments

Kuna mahali (x) pakubwa pia panapwaya sana, nahisi tunaweza kupata interim baada ya bunge kuvunjwa kuelekea uchaguzi wa October.
 
Back
Top Bottom