Ukwelimtupu00
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 289
- 416
Huyu nae awe makini na pension hii ndio ya mwisho, harudi bungeni.
Naibu Waziri wa Afya na Mbunge wa Jimbo la Siha, Dkt. Godwin Mollel akizungumza wakati akiwa katika kampeni za Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuhamasisha Wananchi wa jimbo hilo kuhusu umuhimu wa kuchagua wagombea wa nafasi za uenyekiti wa mitaa kupitia chama hicho.
Ni chizi lakini eti ni Naibu WaziriHuyu mollel hana tofauti na matapeli
Kwanza wanaompigia kura hawana akili timamuNchi ya wajinga na mambo ya kijinga.
Imagin huyu ni Naibu Waziri lakini hana akili timamuUjinga + upumbavu ni mzigo kweli
Mpumbavu kweli huyu mtuMjinga akipewa mamlaka, werevu wote nao wanakuwa wajinga.
Hawa wameshatuona sisi ni mazezeta, wanatupeleka peleka tu.
Duh dentist anapewa wizaraDentist huyu
Lawama zote kwa aliyemteuaImagin huyu ni Naibu Waziri lakini hana akili timamu
Waziri wake ni mwalimu😂Duh dentist anapewa wizara
Secretary 😄Lawama zote kwa aliyemteua
Ndiyo mjue tunaongozwa na majitu majinga haswaLawama zote kwa aliyemteua
Sahivi wameiba hela ya kununua pikipiki nchi nzima kwa makada waoKama chama kina hela ya nini kuwa na mlundikano wa kodi?
Kumbe ni mbunge pia..yan dentist anapewa wizara na ni mbunge..au ubunge ndio zile.walipewa zawadi na jpmHizi ni dharau kabisa kwa wananchi na huyu ndio anaitwa mbunge, takataka