Dkt. Mollel: Ni ujinga Waziri kutoa Data za Walioathiriwa na Corona kila siku. Bei ya chanjo ni Tsh 400,000

Dkt. Mollel: Ni ujinga Waziri kutoa Data za Walioathiriwa na Corona kila siku. Bei ya chanjo ni Tsh 400,000

Naibu Waziri wa Wizara ya Afya Jinsia Wazee na Watoto amesema watu wengi wanasema Tanzania haitoi data, ambapo amesema data haina haja ya kutangazwa kila siku na Waziri, utakuwa ni ujinga mtupu.

Amesema Data huwa inataka uchakataji ili kujua tatizo ya magonjwa yanayosababisha vifo na kujua namna ya kuyakabili.

Kwa kipindi cha karibuni kumekuwa na taharuki ambayo imesababisha kila anayefariki kupakaziwa amekufa kwa #CoronaVirus hivyo inahitajika uchakataji kujua waliopakaziwa

Amesema ili kutoua watu, mtu akienda hospitali huwa wanasema ana matatizo ya kupumua ili kwanza kujua kama anashindwa kupumua kwa tatizo la presha, nimonia, sukari au bakteria.

Msikilize:

View attachment 1709630
sasa hivi anasemaje
 
Naibu Waziri wa Wizara ya Afya Jinsia Wazee na Watoto amesema watu wengi wanasema Tanzania haitoi data, ambapo amesema data haina haja ya kutangazwa kila siku na Waziri, utakuwa ni ujinga mtupu.

Amesema Data huwa inataka uchakataji ili kujua tatizo ya magonjwa yanayosababisha vifo na kujua namna ya kuyakabili.

Kwa kipindi cha karibuni kumekuwa na taharuki ambayo imesababisha kila anayefariki kupakaziwa amekufa kwa #CoronaVirus hivyo inahitajika uchakataji kujua waliopakaziwa

Amesema ili kutoua watu, mtu akienda hospitali huwa wanasema ana matatizo ya kupumua ili kwanza kujua kama anashindwa kupumua kwa tatizo la presha, nimonia, sukari au bakteria.

Msikilize:

View attachment 1709630

Watu hawa akiwamo Jaffo, Gwajima, Majaliwa na wa namna hiyo si wangejiuzulu tu kumpa Mama nafasi ya kuanza upya?

"Waziri Mkuu si mpishi wa rais. Waziri Mkuu ni wetu sisi wananchi. Huyu ni lazima ang'oke. Kama atakataa kujiuzulu, Rais itabidi amng'oe. Kama na Rais naye atakataa kumwondoa, hili nitalipeleka kwa wananchi." -- Mwalimu Nyerere (rip).
 
Abaki kwenye fani yake ya dentistry awaachie md specialist wa internal medicine na nyinginezo watoe mchakato wa magonjwa.
Oh!! Kumbe ni dentist!!! Nilidhani ni researcher!!!!
 
Statistics zinasaidia kujua ukubwa wa janga, umri gani wameathirika zaidi na walindwe vipi. Kama ugonjwa utaendelea basi litakua na ukubwa gani na watu wangapi wanakadiriwa kuupata na Serikali isaidie vipi. Hili ni janga la dunia we owe this to the world. Lazma ije isemwe this tragedy claimed how many lives, dunia ilijikingaje na inaelekea kuumaliza vipi.

Je unadhani zile chanjo za polio na kifua kikuu zinakuja kiholela? Wanakadiria nchi kwa mwaka wanazaliwa wangapi, wangapi wanakadiriwa kupata chanjo na ugonjwa umeshuka kwa kiasi gani??

Kwani statistics za waliokufa kwa malaria mamilioni kwa dunia nzima kuna mtu anaamka tu halafu anaitaja??? In general statictics zinakusaidia pia wewe na Serikali yenu mtapewa msaada wa chanjo kwa kiasi gani.
Anajifanya anajua statistics ni nini wakati hajui kitu. Huyu lakini siyo yule aliyekatwa mkia? lazima ajipendekeze! Mama akisema itangazwe wangapi wamekufa atasemaje!!!! Puppet tu huyo!!
 
Anajifanya anajua statistics ni nini wakati hajui kitu. Huyu lakini siyo yule aliyekatwa mkia? lazima ajipendekeze! Mama akisema itangazwe wangapi wamekufa atasemaje!!!! Puppet tu huyo!!
Kwa Jiografia ya kichwa cha Dr Mollel kilivyo ni vigumu kuwa na akili
 
Naibu Waziri wa Wizara ya Afya Jinsia Wazee na Watoto amesema watu wengi wanasema Tanzania haitoi data, ambapo amesema data haina haja ya kutangazwa kila siku na Waziri, utakuwa ni ujinga mtupu.

Amesema Data huwa inataka uchakataji ili kujua tatizo ya magonjwa yanayosababisha vifo na kujua namna ya kuyakabili.

Kwa kipindi cha karibuni kumekuwa na taharuki ambayo imesababisha kila anayefariki kupakaziwa amekufa kwa #CoronaVirus hivyo inahitajika uchakataji kujua waliopakaziwa

Amesema ili kutoua watu, mtu akienda hospitali huwa wanasema ana matatizo ya kupumua ili kwanza kujua kama anashindwa kupumua kwa tatizo la presha, nimonia, sukari au bakteria.

Msikilize:

View attachment 1709630
Mimi mpaka sasa sielewi kwa nini huyu Bwana pamoja na Boss wake bado wanaendelea kuwa Mawaziri ...... Hapo ndipo huwa nashindwa kumuelewa SSH.
 
Abaki kwenye fani yake ya dentistry awaachie md specialist wa internal medicine na nyinginezo watoe mchakato wa magonjwa.
Hii si Mara yake ya kwanza kuleta kauli za ajabu wakati mwingine - anawafanya Watanzania ni mambumbu mbumbu, mwanzo wakati wa utawala wa Rais Magufuli Mollel aliwahi kutoa kauli kama hizi hizi, Wstanzania wenye akili timamu tulijua Mollel anajipendekeza tu kwa Mkubwa hataki kusema ukweli kwamba Tanzania changa moto za covid-19 bado zipo - current President amekuwa muwazi kwa kusema ugonjwa huu bado hupo nchini na wave ya tatu imekwisha bisha hodi Nchini lakini Mollel bado yu-adamant anaendeleza stories zake za Mickey Mouse by manufacturing lame excuses, kwa taarifa yake takwimu za wagonjwa wa kovid nchi nzima zinaweza kutolewa kila siku in real time kwa kupitia kwenye mtandao unao unganisha computers zote za Govt Hospitals Nchini, ni suala la Wizara ya afya kujipanga jinsi ya kun-consolidate takwimu za wagonjwa wa kovid kila siku ya Mungu na kuzitangaza, mimi sioni kama hilo haliwezi kushindikana kutekelazwa.
 
Back
Top Bottom