Dkt. Mollel: Ni ujinga Waziri kutoa Data za Walioathiriwa na Corona kila siku. Bei ya chanjo ni Tsh 400,000

Dkt. Mollel: Ni ujinga Waziri kutoa Data za Walioathiriwa na Corona kila siku. Bei ya chanjo ni Tsh 400,000

Tatizo sio kutangaza dada tatizo ni kutokuchukua data na kuzifikisha katika sehem sahihi hasa WHO.

Huwezi kufanya maamuzi huna data. Unaanalyse data ndyo unafanya maamuzi.

So serikali ingekuwa inatunza hizi data, ingesaidia hata kujua mapema ukubwa wa tatizo na nini kifanyike kuliko kuchukulia poa.
 
Misplaced argument!! Magonjwa yote uliyotaja ikiwemo na corona hutolewa data. Kinachotakiwa ni kutoa hizo data kwa vyombo husika, hata kama itakuwa mara moja kwa mwezi. Kama hujui hili basi wewe ni layman - data za kila siku zinaonesha upimaji na kwa kuwa upimaji unapaswa kufanyika kila siku wanakwepa hitaji hilo. Lakini kama Dr. Mollel anasema data huwasilishwa kwa mwezi - sio vibaya. Tatizo ni kutowasilishwa kabisa ili kuleta picha kuwa vifo vyote havina uhusiano na covid-19!!
Wajibu hoja zake! Si kila mwenye changamoto ya kupumua Ni corona! Vifo vilivyotokana na matatizo ya upumuaji vilikuwepo hata kabla ya Corona na matatizo ya upumuaji yalIshika nafasi ya pili duniani kwa kusababisha vifo hata kabla ya Corona. Kwa nini Leo wanalazimisha kila anayefariki kutokana na tatizo la upumuaji kuwa amekufa kwa corona?? Hiyo hoja Ni mfupa na hskuna wa kuijibu!!
 
Tatizo sio kutangaza dada tatizo ni kutokuchukua data na kuzifikisha katika sehem sahihi hasa WHO.

Huwezi kufanya maamuzi huna data. Unaanalyse data ndyo unafanya maamuzi.

So serikali ingekuwa inatunza hizi data, ingesaidia hata kujua mapema ukubwa wa tatizo na nini kifanyike kuliko kuchukulia poa.
WHO si sehemu sahihi kwa Sasa maana wanaziweka hadharani na kusababisha hofu na taharuki kwa watu!!! Hofu inaua kuliko korona! Hofu inashusha Kinga ya mwil!! Hatutaki full stop. We are the sovereign state!! Wasijifanye wanatuhurumia sana!!!
 
Huhitaji CV yake jiulize tu kwa nini waliochanjwa Ulaya na Marekani nchi zao haziwaruhusu kusafiri kwenda popote duniani kama chanjo yao iko vizuri?
Vibaraka wa mabeberu hawawezi kukuelewa!! Kwanza hata hao waliochanjwa hakuna uhakika Kama hiyo chanjo haitamgeuka kuwa balaa mbele ya Safari maana haijafanyiwa utafiti wa kutosha kuhusu usalama wake!! Chanjo huchukua miaka 10 kuthibitika kuwa salama!! Hii ya Sasa Ni ya voda fasta, imetengenezwa kwa miezi 10 tu!! Hapa Ni biashara kwa kwenda mbele!! Mtajijua mbele kwa mbele! Sasa sisi hilo tumelikataa!! Huwezi kuweka rehani maisha ya watu kwa kiasi hicho!!.
Lakini pia chanjo utakayoletewa wewe si hii wanayopeana wao!! Itachakachuliwa - kalagabaho!! Walioifuata huko wamerudi na korona ya ajabu ajabu, saa hii wanajuta lakini majuto ni mjukuu!!!
 
Naibu Waziri anapotosha au hajui. Data si mchakato pekee. Data ni taarifa zote husika. Pili, aliyeng'ang'ania kuuita ugonjwa huu kuwa wa kutopumua ni yeye na wenzake, pengine kwa makusudi ili wawambie watu 'the obvious' kuwa magonjwa ya kutopumua ni mengi. Ugonjwa wa covid hauitwi ugonjwa wa kutopumua. Una dalili zinazofanana na za magonjwa mengine, km kutopumua. Hata hivyo kutopumua kwake ni tofauti/specific. Kisha una dalili zingine ambazo ni 'exclusive' kwake tu zinazoonekana kabla na baada ya vipimo. Mwisho, ugonjwa huu hupimwa na kuonekana wazi wazi kwa mashine maalum ya kupimia iliyoko kwenye senta moja kubwa ya kupimia. Huyu Naibu Waziri ashauriwe kuwa wako Watanzania wengi kibao walio na utaalamu na uelewa wa magonjwa. Si watoto au mbumbumbu! Ajipange na aheshimu uelewa wao kabla ya kusema anachofikiria tu.
Huelewi chochote wewe!! Hata hivyo haujazuiwa kujilockdown na familia yako au kufuata chanjo ya korona popote ilipo. Medical data is for medical consumption not for public consumption as you want it to be the case!!
WHO are now abusing for making medical data public and hence triggering fear which is even more deadly than covid 19 itself!!
Matukio ya kujiua yameongezeka Sana Marekani na ulaya kwa ajili ya hofu na kukata tamaa!!
 
Viongozi wenda Kuna mahali hukosea,kwenye kuzungumza, ukipata ofisi iwe ya uma au mashirika binafsi, kupekua baadhi ya mafaili kujua huendeshaji wake ni muhim

Tz mpaka leo yapo majanga mengi Kama taifa tumepitia,iwe ni njaa, maradhi mbali mbali, nk so mfumo wa kuyakabi au yamekua yakikabiliwa vipi upo,
Wizara ya afya na takwim ni Kama chakula Cha kila siku hakiepukiki, katika utendaji wa kila siku, that's Kuna report za kila wakati, na uptodated kabisa,

So mtendaji wa wizara hii kutoa takwim za tatizo flani kila wakati,saa, dakika, haliwezi kuwa Jambo geni, au Jambo lenye mtazamo hasi ,labda tu Kama anayakimbia majukum yake KWA mgongo wa nyuma,
Hajasema kuwa hawachukui takwimu, alichosema Ni kuwa takwimu si kwa ajili ya kuziweka hadharani kama unavyotaka Bali Ni kwa ajili ya kuchakata nla kutumiwa katika maamuzi, mipango, nk kwa watu wanaohusika!! Zinaweza kusaidia katika utungaji wa sera na mambo Kama hayo. Si kwa ajili ya kuanika hadharani na kusababisha hofu isiyokuwa na msingi.
WHO wamemsikia mh Mollel na hoja zake ni water tight na hakuna awezaye kuzijibu!!
 
Naibu Waziri wa Wizara ya Afya Jinsia Wazee na Watoto amesema watu wengi wanasema Tanzania haitoi data, ambapo amesema data haina haja ya kutangazwa kila siku na Waziri, utakuwa ni ujinga mtupu.

Amesema Data huwa inataka uchakataji ili kujua tatizo ya magonjwa yanayosababisha vifo na kujua namna ya kuyakabili.

Kwa kipindi cha karibuni kumekuwa na taharuki ambayo imesababisha kila anayefariki kupakaziwa amekufa kwa #CoronaVirus hivyo inahitajika uchakataji kujua waliopakaziwa

Amesema ili kutoua watu, mtu akienda hospitali huwa wanasema ana matatizo ya kupumua ili kwanza kujua kama anashindwa kupumua kwa tatizo la presha, nimonia, sukari au bakteria.

Msikilize:

View attachment 1709630
Ili ujue mtu kafa na ugonjwa gani ni lazima Madaktari na maabara wafanye uchunguzi wa kina na watoe majibu sahihi, sio kutoa majibu ya jumla jumla. Watu wengi wanapenda kupata majibu ya haraka na mepesi kwenye utaalamu sio hivyo. Wataalamu wafanye kazi yao kwa umakini waepuke mihemko na uvivu, watoe majibu sahihi.
 
Mtu anayemuombea bosi wake apewe Corona ni wa kupuuzwa tu
 
Unaandika kama msomi lkn ni msomi usiyeijua dunia inatoka wap na inaenda wap halafu ukiwa unafanya kitu fanya kitu kwa faida yakoo yn faida km inchi na jinsi unavyoona itakusaidia ww unazani hz takwimu zinasaidia nn mm rafiki yangu alipona corona baada ya watu wa afya kumdanganya anaumwa nimonia lkn yy mwenyewee anasema angejua anaumwa corona bc asingepon kutokana na hofu na sio siri wengi wanakufa kwa hofu na sio corona ndio maan watuwazim hs wenye mapresha yn presh + corona jibu ni kifo
Upumbavu ni mzigo usiobeeka.
 
Yuko sahihi, kwani kuto kutanganza data hadharani pia ni mbinu mojawapo ya kupambana na matatizo ya Corona.

sio kila mtu mwenye changamoto ya upumuaji basi ana zushiwa kuwa anaumwa corona, bali matatizo ya upumuaji yanaweza pia kusababishwa na magonjwa ya moyo, pumu, nimonia, sukari, n.k.
ni vyema wagonjwa wote wenye magonjwa sugu na ambao wanapaswa kuhudhuria kliniki wafanye hivyo badala ya kubaki nyumbani.

Lengo ni kuokoa maisha ya watu wote na haswa wenye changamoto sugu za kiafya na sio kuwatisha kwa matangazo ya vifo.
We're just building the castle in the air.
we are not building castle in the air,
last year we planned and we succeeded as a nation and am sure this time we are going to succeed by using the same strategy.

Sent using Jamii Forums mobile app
Let's hope so.
 
Hajasema kuwa hawachukui takwimu, alichosema Ni kuwa takwimu si kwa ajili ya kuziweka hadharani kama unavyotaka Bali Ni kwa ajili ya kuchakata nla kutumiwa katika maamuzi, mipango, nk kwa watu wanaohusika!! Zinaweza kusaidia katika utungaji wa sera na mambo Kama hayo. Si kwa ajili ya kuanika hadharani na kusababisha hofu isiyokuwa na msingi.
WHO wamemsikia mh Mollel na hoja zake ni water tight na hakuna awezaye kuzijibu!!
Unakataa vipi weka wazi takwimu za ugonjwa ambao umekumba dunia mkuu, KWA hili nini special,
 
Naibu Waziri wa Wizara ya Afya Jinsia Wazee na Watoto amesema watu wengi wanasema Tanzania haitoi data, ambapo amesema data haina haja ya kutangazwa kila siku na Waziri, utakuwa ni ujinga mtupu.

Amesema Data huwa inataka uchakataji ili kujua tatizo ya magonjwa yanayosababisha vifo na kujua namna ya kuyakabili.

Kwa kipindi cha karibuni kumekuwa na taharuki ambayo imesababisha kila anayefariki kupakaziwa amekufa kwa #CoronaVirus hivyo inahitajika uchakataji kujua waliopakaziwa

Amesema ili kutoua watu, mtu akienda hospitali huwa wanasema ana matatizo ya kupumua ili kwanza kujua kama anashindwa kupumua kwa tatizo la presha, nimonia, sukari au bakteria.

Msikilize:

View attachment 1709630
Nobody, mimi naona bora watangaze vifo vya malaria, na ujambazi, na COVID, na makanasi, na wezi wa ng'ombe, na janga wa mafuriko
 
wanapimaje au ndo ile wanakuingizia kafimbo puani?
Hiyo hyo,,unaingizwa kijiti puani na.mdomoni,

Tatizo ni gharama za hospital,

Zamani ilikuwa tunapima moja kwa moja Maabara ya taifa kule mabibo.

Sasa wamebadilisha tunapima hospitals za serikali au maalum zilizothibitishwa.

Halafu vipimo vinakwenda Maabara ya taifa,,

na wao wanatuma majibu kwenye simu.

Sasa lazima ulipe gharama za hospitals husika.

Mfano,,, aghakhan utatozwa 130000 ,,za hospital na utatoa 230000 ,

Amana unatoa 230000 za kupima corona,,
na 25000 za kwao hospital kama gharama zao.

Mbaya zaidi watu wanachelewa ndege,,wengine hawapewi majibu kwa wakati.
 
Yuko sahihi, kwani kuto kutanganza data hadharani pia ni mbinu mojawapo ya kupambana na matatizo ya Corona.

Sio kila mtu mwenye changamoto ya upumuaji basi ana zushiwa kuwa anaumwa corona, bali matatizo ya upumuaji yanaweza pia kusababishwa na magonjwa ya moyo, pumu, nimonia, sukari, n.k.

ni vyema wagonjwa wote wenye magonjwa sugu na ambao wanapaswa kuhudhuria kliniki wafanye hivyo badala ya kubaki nyumbani.

Lengo ni kuokoa maisha ya watu wote na haswa wenye changamoto sugu za kiafya na sio kuwatisha kwa matangazo ya vifo.
Ila sidhani kinachosemwa ni kuzitangaza hadharani, ni kwamba Tanzania imeacha ule utaratibu kuziwasilisha hizo data WHO kwa muda sasa,sidhani hata majirani zetu bado wanaendelea kutangaza hadharani lkn WHO wana current Data za COVID kwa nchi zao. Ingawa kwa upande mwingine uwa najiuliza unapo declare kwamba huna wagonjwa bado unatakiwa uendelee kutoa hizo Data mpk lini?

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
Hiyo hyo,,unaingizwa kijiti puani na.mdomoni,

Tatizo ni gharama za hospital,

Zamani ilikuwa tunapima moja kwa moja Maabara ya taifa kule mabibo.

Sasa wamebadilisha tunapima hospitals za serikali au maalum zilizothibitishwa.

Halafu vipimo vinakwenda Maabara ya taifa,,

na wao wanatuma majibu kwenye simu.

Sasa lazima ulipe gharama za hospitals husika.

Mfano,,, aghakhan utatozwa 130000 ,,za hospital na utatoa 230000 ,

Amana unatoa 230000 za kupima corona,,
na 25000 za kwao hospital kama gharama zao.

Mbaya zaidi watu wanachelewa ndege,,wengine hawapewi majibu kwa wakati.
vipi mzee unaenda kwa kaburu nini
 
Wajibu hoja zake! Si kila mwenye changamoto ya kupumua Ni corona! Vifo vilivyotokana na matatizo ya upumuaji vilikuwepo hata kabla ya Corona na matatizo ya upumuaji yalIshika nafasi ya pili duniani kwa kusababisha vifo hata kabla ya Corona. Kwa nini Leo wanalazimisha kila anayefariki kutokana na tatizo la upumuaji kuwa amekufa kwa corona?? Hiyo hoja Ni mfupa na hskuna wa kuijibu!!
Mkuu, sijaelewa point yako kwa sababu hata mimi sijasema kila anayekufa kwa changamoto ya kupumua ni corona. Lakini utakubaliana nami kuwa kila kifo kina sababu ya kisayansi - ndio hapo tunajua ukimwi, kifua kikuu, dondakoo, unyafuzi, utapia mlo vinaua wangapi kwa mwaka. Ungekuwa unajua kidogo hata mambo ya afya ya jamii (public health) ungejua huwa tunaambiwa "kupunguza vifo katika uzazi au vya watoto chini ya miaka mitano kutoka 25 hadi 20 katika kila wajawazito/watoto 100,000)". Hujawahi kusikia hilo?? Chimbuko lake ni taarifa, data!!!! Hakuna anayetaka waseme wote wamekufa kwa corona. Wengi tunapenda hata kusikia wote waliokufa sababu za vifo hazijahusiana na corona. Hivo basi, watoe taarifa ya "sifuri". Sio hakuna taarifa. Umengekuwa unajua unachozungumza, ungejua "0" ni taarifa na "-" sio taarifa.
 
Back
Top Bottom