Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,942
- 18,669
Tatizo sio kutangaza dada tatizo ni kutokuchukua data na kuzifikisha katika sehem sahihi hasa WHO.
Huwezi kufanya maamuzi huna data. Unaanalyse data ndyo unafanya maamuzi.
So serikali ingekuwa inatunza hizi data, ingesaidia hata kujua mapema ukubwa wa tatizo na nini kifanyike kuliko kuchukulia poa.
Huwezi kufanya maamuzi huna data. Unaanalyse data ndyo unafanya maamuzi.
So serikali ingekuwa inatunza hizi data, ingesaidia hata kujua mapema ukubwa wa tatizo na nini kifanyike kuliko kuchukulia poa.