Dkt. Mollel: Ni ujinga Waziri kutoa Data za Walioathiriwa na Corona kila siku. Bei ya chanjo ni Tsh 400,000

Dkt. Mollel: Ni ujinga Waziri kutoa Data za Walioathiriwa na Corona kila siku. Bei ya chanjo ni Tsh 400,000

Naibu Waziri wa Wizara ya Afya Jinsia Wazee na Watoto amesema watu wengi wanasema Tanzania haitoi data, ambapo amesema data haina haja ya kutangazwa kila siku na Waziri, utakuwa ni ujinga mtupu.

Amesema Data huwa inataka uchakataji ili kujua tatizo ya magonjwa yanayosababisha vifo na kujua namna ya kuyakabili.

Kwa kipindi cha karibuni kumekuwa na taharuki ambayo imesababisha kila anayefariki kupakaziwa amekufa kwa #CoronaVirus hivyo inahitajika uchakataji kujua waliopakaziwa

Amesema ili kutoua watu, mtu akienda hospitali huwa wanasema ana matatizo ya kupumua ili kwanza kujua kama anashindwa kupumua kwa tatizo la presha, nimonia, sukari au bakteria.

Msikilize:

View attachment 1709630

Chanjo anayo iongelea ni ipi kumekuwa na utamaduni wa kuongezea na kutisha watu sasa kuna chanjo ya $5 na $20 hiyo ni laki 4 au wameanza kutumia kwa biashara
 
Ungekaa kimya @TUJITEGEMEE pengine ungeficha UPUMBAVU wako tukujue. Wewe unaniambia Mimi nawaza kusaidiwa, kwani kuficha data kuna uhusiano gani na kupata msaada?

Hata hiyo propaganda yenu ya kujifanya eti Tanzania nchi tajiri IMEBUMA. Last week Palamgamba Kabudi alikuwa kuomba huko France. Last two weeks Doto James amesaini mkopo wa EU wa Euro zaidi ya 300 Milioni.
Teh teh teh heee! Ha ha haaa! Ulikuwa gizani limekupata la utosini! Jiwe hilo!!! Ha ha haa uuuuwiiii!!!
====
Yaani kwa akili zako kubwa kabisa kabisa, wewe upo tayari kumkopesha masikini hoehae asiye jua kesho atapata wapi kitafunwa achana na mlo wa mchana, mamilioni ya shilingi ukiwa na nia nzuri kabisa na uaminifu kuwa masikini huyo atakulipa mkopo wako kwa wakati? Kama upo tayari basi utakuwa unavizia figo, maini, moyo na viungo vingine vya masikini huyo kwa nia ovu!
 
Viongozi wenda Kuna mahali hukosea,kwenye kuzungumza, ukipata ofisi iwe ya uma au mashirika binafsi, kupekua baadhi ya mafaili kujua huendeshaji wake ni muhim

Tz mpaka leo yapo majanga mengi Kama taifa tumepitia,iwe ni njaa, maradhi mbali mbali, nk so mfumo wa kuyakabi au yamekua yakikabiliwa vipi upo,
Wizara ya afya na takwim ni Kama chakula Cha kila siku hakiepukiki, katika utendaji wa kila siku, that's Kuna report za kila wakati, na uptodated kabisa,

So mtendaji wa wizara hii kutoa takwim za tatizo flani kila wakati,saa, dakika, haliwezi kuwa Jambo geni, au Jambo lenye mtazamo hasi ,labda tu Kama anayakimbia majukum yake KWA mgongo wa nyuma,
 
Chanjo 400k bei ya V8 ni 400 M kwamba watu wafe tu ila kuishi kifahari kuendelee ! Kweli ujinga bado uko Africa kwa kiasi kikubwa!
 
Huyu ni mng'oa meno
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Utaratibu ktk nchi nyingine ukoje? Maelekezo ya WHO, shirika ambalo Tz nmwanchama yanasemaje?
Naibu Waziri wa Wizara ya Afya Jinsia Wazee na Watoto amesema watu wengi wanasema Tanzania haitoi data, ambapo amesema data haina haja ya kutangazwa kila siku na Waziri, utakuwa ni ujinga mtupu.

Amesema Data huwa inataka uchakataji ili kujua tatizo ya magonjwa yanayosababisha vifo na kujua namna ya kuyakabili.

Kwa kipindi cha karibuni kumekuwa na taharuki ambayo imesababisha kila anayefariki kupakaziwa amekufa kwa #CoronaVirus hivyo inahitajika uchakataji kujua waliopakaziwa

Amesema ili kutoua watu, mtu akienda hospitali huwa wanasema ana matatizo ya kupumua ili kwanza kujua kama anashindwa kupumua kwa tatizo la presha, nimonia, sukari au bakteria.

Msikilize:

View attachment 1709630
Utaratibu ktk nchi nyingine ukoje? Maelekezo ya WHO, shirika ambalo Tz ni mwanchama yanasemaje?
Chanjo anayo iongelea ni ipi kumekuwa na utamaduni wa kuongezea na kutisha watu sasa kuna chanjo ya $5 na $20 hiyo ni laki 4 au wameanza kutumia kwa biashara
Something fishy there!
 
sijasema data hazipo,
data za magonjwa yote zipo na zinatumiwa ktk mipango mingine ya kisayansi ya kukabiliana na maradhi husika.
kinacho semwa na naibu waziri ni kuwa hakuna sababu ya kuanika data kila wakati isipo kuwa kwa taasisi zinazo husiana na mambo ya afya.
sasa wewe raia wa kawaida unazitaka data ili zikusaidie nini ? !!

Sent using Jamii Forums mobile app
WHO wanapozihitaji ni raia wa kawaida.
Kutetea mambo yasiyo kwenye utaratibu ni shida zaidi.
Unahitaji akili zaidi kusema uongo kuliko kusema ukweli, hilo mlitambue.
 
Naibu Waziri wa Wizara ya Afya Jinsia Wazee na Watoto amesema watu wengi wanasema Tanzania haitoi data, ambapo amesema data haina haja ya kutangazwa kila siku na Waziri, utakuwa ni ujinga mtupu.

Amesema Data huwa inataka uchakataji ili kujua tatizo ya magonjwa yanayosababisha vifo na kujua namna ya kuyakabili.

Kwa kipindi cha karibuni kumekuwa na taharuki ambayo imesababisha kila anayefariki kupakaziwa amekufa kwa #CoronaVirus hivyo inahitajika uchakataji kujua waliopakaziwa

Amesema ili kutoua watu, mtu akienda hospitali huwa wanasema ana matatizo ya kupumua ili kwanza kujua kama anashindwa kupumua kwa tatizo la presha, nimonia, sukari au bakteria.

Msikilize:

View attachment 1709630
Hawa ndiyo viongozi waliopatikana baada ya mchujo mkali sanaaa
 
Hakuna awezaye kujibu kisayansi hoja zake za kisayansi. Katumia data kuhusu matatizo ya upumuaji kuwa yapo hata kabla ya Corona na yalishika namba 2 duniani kwa kusababisha vifo.
Hii ni pandemic, siyo mafua yale tuliyozoea. Mafua haya mageni yanahitaji mitungi ya gesi, yakikupata kapuku na hela ya jews human unakufilia mbali. Wenye nazo unasikia wanasoma, nimeletwa nlikuwa nimwekewa hewa yangu nyumbani.
 
Statistics zinasaidia kujua ukubwa wa janga, umri gani wameathirika zaidi na walindwe vipi. Kama ugonjwa utaendelea basi litakua na ukubwa gani na watu wangapi wanakadiriwa kuupata na Serikali isaidie vipi. Hili ni janga la dunia we owe this to the world. Lazma ije isemwe this tragedy claimed how many lives, dunia ilijikingaje na inaelekea kuumaliza vipi.

Je unadhani zile chanjo za polio na kifua kikuu zinakuja kiholela? Wanakadiria nchi kwa mwaka wanazaliwa wangapi, wangapi wanakadiriwa kupata chanjo na ugonjwa umeshuka kwa kiasi gani??

Kwani statistics za waliokufa kwa malaria mamilioni kwa dunia nzima kuna mtu anaamka tu halafu anaitaja??? In general statictics zinakusaidia pia wewe na Serikali yenu mtapewa msaada wa chanjo kwa kiasi gani.
Unaandika kama msomi lkn ni msomi usiyeijua dunia inatoka wap na inaenda wap halafu ukiwa unafanya kitu fanya kitu kwa faida yakoo yn faida km inchi na jinsi unavyoona itakusaidia ww unazani hz takwimu zinasaidia nn mm rafiki yangu alipona corona baada ya watu wa afya kumdanganya anaumwa nimonia lkn yy mwenyewee anasema angejua anaumwa corona bc asingepon kutokana na hofu na sio siri wengi wanakufa kwa hofu na sio corona ndio maan watuwazim hs wenye mapresha yn presh + corona jibu ni kifo
 
Back
Top Bottom