peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Mwenye CV ya Naibu Waziri wa afya Tanzania tafadhali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah, maskini TanzaniaNaibu Waziri wa Wizara ya Afya Jinsia Wazee na Watoto amesema watu wengi wanasema Tanzania haitoi data, ambapo amesema data haina haja ya kutangazwa kila siku na Waziri, utakuwa ni ujinga mtupu.
Amesema Data huwa inataka uchakataji ili kujua tatizo ya magonjwa yanayosababisha vifo na kujua namna ya kuyakabili.
Kwa kipindi cha karibuni kumekuwa na taharuki ambayo imesababisha kila anayefariki kupakaziwa amekufa kwa #CoronaVirus hivyo inahitajika uchakataji kujua waliopakaziwa
Amesema ili kutoua watu, mtu akienda hospitali huwa wanasema ana matatizo ya kupumua ili kwanza kujua kama anashindwa kupumua kwa tatizo la presha, nimonia, sukari au bakteria.
Msikilize:
View attachment 1709630
Huhitaji CV yake jiulize tu kwa nini waliochanjwa Ulaya na Marekani nchi zao haziwaruhusu kusafiri kwenda popote duniani kama chanjo yao iko vizuri?Mwenye CV ya Naibu Waziri wa afya Tanzania tafadhali
Hivi huyu mwamba ni Dr wa kitu gani?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mitishamba!
Zendrano!! Ni kupuuzwa kwa raia wa kawaida ndio kumetufikisha hapa. Hivi kweli maneno yanayosema kuwa ugonjwa upo na wengine haupo, hauna athari zozote kwa raia wa kawaida?? Naona raia wa kawaida hapa umeitumia kama ni mwananchi mmoja hivi asiyejitambua wala kufanya maamuzi ya msingi na maamuzi yake yanaongozwa na raia wasio kuwa wa kawaida. Hivi ukisikia kuna kipindupindu mtaani kwako, na watu kadhaa wamekufa - hudhani taarifa hiyo haisaidii?? Acheni kwanza dharau kwa raia wa kawaida, ndio hao hao mnaenda kuomba ridhaa ya uongozi kwao halafu baadae mnawaona wapumbavu na wasiojitambua, wasiowaza na kufanya maamuzi yanayoathiri maisha yao!! Mimi ni raia ninayejitambua na nipewe taarifa ili nifanye chaguo. Kila uamuzi huhitaji taarifa. Ni aibu sana kwa uliyosema - afya ya jamii ni kwa kila mtu bila kujali kama ni kiongozi au la. Wakisema kula balanced diet, hawakununulii kwa sababu jukumu la kujilisha ni lako. Nikupe mfano mtu tu, raia wa kawaida. Huo ndio ushirikiano tunaohitaji!!sijasema data hazipo,
data za magonjwa yote zipo na zinatumiwa ktk mipango mingine ya kisayansi ya kukabiliana na maradhi husika.
kinacho semwa na naibu waziri ni kuwa hakuna sababu ya kuanika data kila wakati isipo kuwa kwa taasisi zinazo husiana na mambo ya afya.
sasa wewe raia wa kawaida unazitaka data ili zikusaidie nini ? !!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi huyu mwamba ni Dr wa kitu gani?
Huyu ni mng'oa meno
No wonder basi
Comedians!View attachment 1709635
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwahiyo sisi wote anatuona ng'ombe tu
Mkuu, achana na watu wa kiwango hiki. Sasa nazidi kujiridhisha uwezo wa kufikiri ndio tatizo la nchi hii!! Tuna vitu vingi vya kufikirika - tunaonewa vitu, tuko katika vita vya kiuchumi, tunachanjwa tusizae, barakoa zina vidudu (huku wakihimiza tuvae zetu wenyewe - sijui kuzuia ugonjwa gani). Sasa free mason. Tumefikia hatua ya kusikitisha sana.Uwezo wako wa kufikiria ndio umeishia hapo
Watu ambao Magufuli anawachaguaga kufanya nao kazi, ukiwaangalia vizuri ni HAMNAZO kabisa. Kwa kweli anawaokota majalalani
Data au takwimu kwa watanzania huwa ni dhambi kujulikana.Wakuu Logic behind kutoa takwimu za wagonjwa wa Corona ni ipi??
Kwamba ukitoa ndio tiba ama nini??
Kibaya zaidi kufikiri huku kipumbavu kuwaongoza na mtu ambaye ndio alifaa awe dira kwa wananchi wake.mtu mwenye PHD aliyoipata kihalali sidhaji kama anaweza kuwaza kwa style yakeMkuu, achana na watu wa kiwango hiki. Sasa nazidi kujiridhisha uwezo wa kufikiri ndio tatizo la nchi hii!! Tuna vitu vingi vya kufikirika - tunaonewa vitu, tuko katika vita vya kiuchumi, tunachanjwa tusizae, barakoa zina vidudu (huku wakihimiza tuvae zetu wenyewe - sijui kuzuia ugonjwa gani). Sasa free mason. Tumefikia hatua ya kusikitisha sana.
Kumbe ni daktari wa meno! Kapata mkate aendelee kuutetea. Kuna haja hiki cheo cha dkt kuandikwa tofauti kati ya Dkt- binadamu, Dkt - Meno. Dkt- Wanyama na Dkt - PhD.Abaki kwenye fani yake ya dentistry awaachie md specialist wa internal medicine na nyinginezo watoe mchakato wa magonjwa.
Trqined dentist anasema data ni ujinga.Naibu Waziri wa Wizara ya Afya Jinsia Wazee na Watoto amesema watu wengi wanasema Tanzania haitoi data, ambapo amesema data haina haja ya kutangazwa kila siku na Waziri, utakuwa ni ujinga mtupu.
Amesema Data huwa inataka uchakataji ili kujua tatizo ya magonjwa yanayosababisha vifo na kujua namna ya kuyakabili.
Kwa kipindi cha karibuni kumekuwa na taharuki ambayo imesababisha kila anayefariki kupakaziwa amekufa kwa #CoronaVirus hivyo inahitajika uchakataji kujua waliopakaziwa
Amesema ili kutoua watu, mtu akienda hospitali huwa wanasema ana matatizo ya kupumua ili kwanza kujua kama anashindwa kupumua kwa tatizo la presha, nimonia, sukari au bakteria.
Msikilize:
View attachment 1709630
Kwahio dunia nzima ni wajinga?
Ni ujinga na kukosa busara na hekima kuita wengine wajinga, kila mtu anafanya kila anachokiona ni sawa / kuita wengine wajinga sababu wanafanya tofauti na wewe ni ujinga. Kila mtu ana mbinu zake heshima kitu cha bure.