paul sylvester
JF-Expert Member
- Mar 18, 2020
- 3,503
- 3,499
Kitalaamu yuko sawa, kwa wapumbavu hayuko sawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yuko sahihi, kwani kuto kutanganza data hadharani pia ni mbinu mojawapo ya kupambana na matatizo ya Corona.
sio kila mtu mwenye changamoto ya upumuaji basi ana zushiwa kuwa anaumwa corona, bali matatizo ya upumuaji yanaweza pia kusababishwa na magonjwa ya moyo, pumu, nimonia, sukari, n.k.
ni vyema wagonjwa wote wenye magonjwa sugu na ambao wanapaswa kuhudhuria kliniki wafanye hivyo badala ya kubaki nyumbani.
Lengo ni kuokoa maisha ya watu wote na haswa wenye changamoto sugu za kiafya na sio kuwatisha kwa matangazo ya vifo.
Hakuna awezaye kujibu kisayansi hoja zake za kisayansi. Katumia data kuhusu matatizo ya upumuaji kuwa yapo hata kabla ya Corona na yalishika namba 2 duniani kwa kusababisha vifo.Abaki kwenye fani yake ya dentistry yawaachie md specialist wa internal medicine na nyinginezo watoe mchakato wa magonjwa.
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Nimecheka sana, ni doctor wa meno banahKwahiyo sisi wote anatuona ng'ombe tu
Kinywa na meno.Hivi huyu mwamba ni Dr wa kitu gani?
Ur too political than a scientists can you re-define yourself?... Mbowe na genge lake ndio waliosaini mkataba wa WHO.
Kansa pia inaua na takwimu zinatolewa.Statistics zinasaidia kujua ukubwa wa janga, umri gani wameathirika zaidi na walindwe vipi. Kama ugonjwa utaendelea basi litakua na ukubwa gani na watu wangapi wanakadiriwa kuupata na Serikali isaidie vipi. Hili ni janga la dunia we owe this to the world. Lazma ije isemwe this tragedy claimed how many lives, dunia ilijikingaje na inaelekea kuumaliza vipi.
Je unadhani zile chanjo za polio na kifua kikuu zinakuja kiholela? Wanakadiria nchi kwa mwaka wanazaliwa wangapi, wangapi wanakadiriwa kupata chanjo na ugonjwa umeshuka kwa kiasi gani??
Kwani statistics za waliokufa kwa malaria mamilioni kwa dunia nzima kuna mtu anaamka tu halafu anaitaja??? In general statictics zinakusaidia pia wewe na Serikali yenu mtapewa msaada wa chanjo kwa kiasi gani.
... Mbowe na genge lake ndio waliosaini mkataba wa WHO.
... Mbowe na genge lake ndio waliosaini mkataba wa WHO.
Na anawapiga rectopalpationKwahiyo sisi wote anatuona ng'ombe tu
Misplaced argument!! Magonjwa yote uliyotaja ikiwemo na corona hutolewa data. Kinachotakiwa ni kutoa hizo data kwa vyombo husika, hata kama itakuwa mara moja kwa mwezi. Kama hujui hili basi wewe ni layman - data za kila siku zinaonesha upimaji na kwa kuwa upimaji unapaswa kufanyika kila siku wanakwepa hitaji hilo. Lakini kama Dr. Mollel anasema data huwasilishwa kwa mwezi - sio vibaya. Tatizo ni kutowasilishwa kabisa ili kuleta picha kuwa vifo vyote havina uhusiano na covid-19!!Yuko sahihi, kwani kuto kutanganza data hadharani pia ni mbinu mojawapo ya kupambana na matatizo ya Corona.
Sio kila mtu mwenye changamoto ya upumuaji basi ana zushiwa kuwa anaumwa corona, bali matatizo ya upumuaji yanaweza pia kusababishwa na magonjwa ya moyo, pumu, nimonia, sukari, n.k.
ni vyema wagonjwa wote wenye magonjwa sugu na ambao wanapaswa kuhudhuria kliniki wafanye hivyo badala ya kubaki nyumbani.
Lengo ni kuokoa maisha ya watu wote na haswa wenye changamoto sugu za kiafya na sio kuwatisha kwa matangazo ya vifo.
Serikali hii ni ya vitu zaidi kulilo watu! Hauna aibu?Hakuna mpika data yoyote anayejaribu kuhadaa umma kuwa mambo ni mazuri, ambaye atakuwa tayari kutoa data za ukweli kila mara. Na isitoshe serikali hii ni ya vitu zaidi kuliko watu.
Hivyo yeye Mh.Naibu Waziri ambaye ni Dr kitaaluma hafahamu kuwa kuhuisha taarifa/takwimu katika jamii inaweza kuwasaidia wengine kuchukua tahadhari zaidi,kutathmini ukubwa wa tatizo na kusaidiana kulitokomeza!Viongozi wote hata wanataaluma wasomi wanashindwa kujisimamia kuiwezesha jamii kupata uelewa mpana wanafanya siasa nyepesi nyepesi kwenye serious issues.Naibu Waziri wa Wizara ya Afya Jinsia Wazee na Watoto amesema watu wengi wanasema Tanzania haitoi data, ambapo amesema data haina haja ya kutangazwa kila siku na Waziri, utakuwa ni ujinga mtupu.
Amesema Data huwa inataka uchakataji ili kujua tatizo ya magonjwa yanayosababisha vifo na kujua namna ya kuyakabili.
Kwa kipindi cha karibuni kumekuwa na taharuki ambayo imesababisha kila anayefariki kupakaziwa amekufa kwa #CoronaVirus hivyo inahitajika uchakataji kujua waliopakaziwa
Amesema ili kutoua watu, mtu akienda hospitali huwa wanasema ana matatizo ya kupumua ili kwanza kujua kama anashindwa kupumua kwa tatizo la presha, nimonia, sukari au bakteria.
Msikilize:
View attachment 1709630
Mitishamba!
Tutamfute mtu au kaburi la aliyetuloga tukamuombe AU tukaliombe msamaha!Naibu Waziri wa Wizara ya Afya Jinsia Wazee na Watoto amesema watu wengi wanasema Tanzania haitoi data, ambapo amesema data haina haja ya kutangazwa kila siku na Waziri, utakuwa ni ujinga mtupu.
Naibu Waziri wa Wizara ya Afya Jinsia Wazee na Watoto amesema watu wengi wanasema Tanzania haitoi data, ambapo amesema data haina haja ya kutangazwa kila siku na Waziri, utakuwa ni ujinga mtupu....