Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Wewe unaweza kuinunua.?Walio weza wamewezaje!?!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe unaweza kuinunua.?Walio weza wamewezaje!?!?
Hakika kabisa mkuu,,Corona imegeuka kuwa biashara.
Uwezo wako wa kufikiria ndio umeishia hapoChanjo hizo ni za Freemason. Msikubali
Amaa watu mnajua kuchezea hela....[emoji848]Hakika kabisa mkuu,,
Jana nimepima corona amana hospital 230000 kipimo + 25000 gharama za amana hospital.
Ni noma tupu kwa sisi mabaharia.
Huyu mwamba kumbe ni DDS?Abaki kwenye fani yake ya dentistry awaachie md specialist wa internal medicine na nyinginezo watoe mchakato wa magonjwa.
Yaani ni mwendo wa kucheza kwa kufuata midundo ya ile ngoma ya chattle!Naibu Waziri wa Wizara ya Afya Jinsia Wazee na Watoto amesema watu wengi wanasema Tanzania haitoi data, ambapo amesema data haina haja ya kutangazwa kila siku na Waziri, utakuwa ni ujinga mtupu.
Amesema Data huwa inataka uchakataji ili kujua tatizo ya magonjwa yanayosababisha vifo na kujua namna ya kuyakabili.
Kwa kipindi cha karibuni kumekuwa na taharuki ambayo imesababisha kila anayefariki kupakaziwa amekufa kwa #CoronaVirus hivyo inahitajika uchakataji kujua waliopakaziwa
Amesema ili kutoua watu, mtu akienda hospitali huwa wanasema ana matatizo ya kupumua ili kwanza kujua kama anashindwa kupumua kwa tatizo la presha, nimonia, sukari au bakteria.
Msikilize:
View attachment 1709630
What strategy?! Pray do tell!we are not building castle in the air,
last year we planned and we succeeded as a nation and am sure this time we are going to succeed by using the same strategy.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanatumia kipimo gani?KILE cha zamani au hiki kipya.?Hakika kabisa mkuu,,
Jana nimepima corona amana hospital 230000 kipimo + 25000 gharama za amana hospital.
Ni noma tupu kwa sisi mabaharia.
Hapo wamekutana pipa na mfunikoComedians!View attachment 1709635
Kumbe ndiyo maana anaongea pumba sana.......Huyu ni mng'oa meno
Jozi safi ya makomediani. Huyu mama heshima yake yote aliyokuwa nayo kwishinei. Hongereni kwa kujitolea kuwa comedians. From being doctors to being comedians, very shame. From heroes to ZEROsComedians!View attachment 1709635