Dkt. Mollel: Watanzania wengi ni wajinga sana, wanaomshauri Rais hawana uelewa wa kutosha

Maradhi ya ujinga yanakuzwa na uchawa,na nikisababishi kiongozi cha kuwepo maadui wengine umaskini,na maradhi,🤔.
 
Mollel mwenyewe ukimwangalia anavyoongea na muonekano wa sura yake, kwa vyovyote vile anaumwa. usonji.
 
Haya majumuisho umeyafanya baada ya kuangalia familia yako? Video clip iko wapi?
 
Comment ya kwanza hapo juu ndio udhibitisho hasa wa unacho kizungumzia.

Watu wamejaa ushabiki wa kipumbavu hata kwenye mambo ya msingi.

It's really painfully.
 
Wanaccm wenzake ndiyo wajinga
 
ONGEZEKO la WAJINGA KITAIFA LINATISHA NA KUOGOPESHA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…