Dkt. Mpango aagiza kurejeshwa kwa fedha zilizochukuliwa na Wizara ya Fedha wakati akiwa Waziri

Dkt. Mpango aagiza kurejeshwa kwa fedha zilizochukuliwa na Wizara ya Fedha wakati akiwa Waziri

Shujaa Mwendazake

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
4,016
Reaction score
6,759
Nimsoma hili agizo la Mh Makamu wa Rais.

Inasikitisha halafu inafurahisha kwa kweli. Nadhani lengo liko palepale yaani kila Msala anatupiwa Shujaa. Hili nalo kwa lugha ya picha inaonekana hakukubaliana nalo bali Msuli wake ulikuwa Mdogo.

Sasa najiuliza kuwa Bunge la Bajeti limeshapita, Sasa hizo feha zilitengwa au Bunge limeidhinisha? na kama hazikutengwa zitatoka kwa bajeti ipi au itaandikwa kwa agizo la Makamu wa Rais?

Kwa hali ya Kiuchumi, Fedha na Mipango ya awamu iliyopita sijajua bado Dk Mpango anawekwaje pembeni na legacy.

217594571_4282510731828312_6760541043001987196_n.jpg
 
Mwendazake alikuwa anaogopwa mpaka na marafiki zake, kazi ipo, sasa sijui hizo pesa zilikuwa zimefungiwa kabatini mpaka leo au ndio VP anatafuta kick.
 
Fedha za miradi huwa hazirudishwi mwishoni mwa mwaka wa fedha husika,kana zilikuwa za 2019/20 bado zinaweza kuendelea kutumika 2020/21,2021/22 hadi mradi ukamilike
 
Ana kauli tata sana,
1.SERIKALI IMECHOSHWA NA MIGOGORO YA DINI.
2.NAAGIZA
3.SITAKI KUSIKIA
4.NAAMURU
Ni sehemu tu yamaneno amekuwa akitoa akiwa kwenye ziara
Yeye na rais wake wote wamewekwa tu, hakuna aliyechaguliwa so huenda "wanatoshana nguvu"!
 
Zirudishwe zilipelekwa wapi ? Nani Alizichukua na Kwanini ? na Je bado zipo ? na hao waliochukua warudishe tu bila kushughulikiwa ?
 
187M+??? Nilidhani ni mabilioni ya fedha! Kunawakati kwa sababu ya kutokuandikwa andikwa na kukosa ni wapi uonekane kwamba na wewe uko kazini, matokeo yake ndiyo haya!!!
 
Rais akiwa makamu alibaniwa fedha za mradi wa mazingira,mpango alikuwa waziri wa fedha.
Samia alilalamika kwenye uapisho kwa Mwigulu.
Mpango Leo anaagiza kasahau yeye alimfanyia mtima nyongo Samia
 
Nimsoma hili agizo la Mh Makamu wa Rais.

Inasikitisha halafu inafurahisha kwa kweli. Nadhani lengo liko palepale yaani kila Msala anatupiwa Shujaa. Hili nalo kwa lugha ya picha inaonekana hakukubaliana nalo bali Msuli wake ulikuwa Mdogo.

Sasa najiuliza kuwa Bunge la Bajeti limeshapita, Sasa hizo feha zilitengwa au Bunge limeidhinisha? na kama hazikutengwa zitatoka kwa bajeti ipi au itaandikwa kwa agizo la Makamu wa Rais?

Kwa hali ya Kiuchumi, Fedha na Mipango ya awamu iliyopita sijajua bado Dk Mpango anawekwaje pembeni na legacy.

View attachment 1859530
Ridiculous! Pesa hiyo ilichukuliwa vipi kutoka wizara yake bila yeye kujua? Tutasikia na kushangaa mengi.
 
Nimsoma hili agizo la Mh Makamu wa Rais.

Inasikitisha halafu inafurahisha kwa kweli. Nadhani lengo liko palepale yaani kila Msala anatupiwa Shujaa. Hili nalo kwa lugha ya picha inaonekana hakukubaliana nalo bali Msuli wake ulikuwa Mdogo.

Sasa najiuliza kuwa Bunge la Bajeti limeshapita, Sasa hizo feha zilitengwa au Bunge limeidhinisha? na kama hazikutengwa zitatoka kwa bajeti ipi au itaandikwa kwa agizo la Makamu wa Rais?

Kwa hali ya Kiuchumi, Fedha na Mipango ya awamu iliyopita sijajua bado Dk Mpango anawekwaje pembeni na legacy.

View attachment 1859530
Siamini kabisa kiongozi wa nchi wa level yake anaweza kutoa statement minor kama hii. kwasababu million 188 ni fedha ndogo sana kuizungumzia kwenye level ya maendeleo ya nchi kwa nafasi yake , hii ni fedha ndogo ya level ya mtu binafsi tena mfanyabiashara wa kawaida tu pale kariakoo. tunatakiwa kuwa na viongozi wenye vision kubwa katika kutatua matatizo ya nchi. kinachonishangaza zaidi ni kwamba huyu alikuwa waziri wa fedha na mipango sasa anakwama wapi kuiona broad picture ya ki-budget badadala yake anaongelea vijisentisenti.
 
Back
Top Bottom