Ivi nyie mbwea mnataka mtu afanyaje???kipindi kile mlimsakama dokta Gharibu bilali kuwa anatembea na mkasi wakuzindua vijimiradi, Haya leo Vice president anatoa matamko ya kimamlaka pia mnakosoa mapimbi nyinyi,Ajabu sana.
Sijawahi kuona makamu wa Rais ana matamko kama huyu
Anajisahau sana aisee,hajui kazi zake kubwa ni kufungua miradi na kukate utepe.Ajabu sana.
Sijawahi kuona makamu wa Rais ana matamko kama huyu
Alitakiwa aseme "nitamshauri rais aagize pesa zirejeshwe"
Cc. mwendazakeAna kauli tata sana,
1.SERIKALI IMECHOSHWA NA MIGOGORO YA DINI.
2.NAAGIZA
3.SITAKI KUSIKIA
4.NAAMURU
Ni sehemu tu yamaneno amekuwa akitoa akiwa kwenye ziara
Ivi nyie mbwea mnataka mtu afanyaje???kipindi kile mlimsakama dokta Gharibu bilali kuwa anatembea na mkasi wakuzindua vijimiradi, Haya leo Vice president anatoa matamko ya kimamlaka pia mnakosoa mapimbi nyinyi,
Huyo ni msaidizi mkuu wa rais na kuna kipindi anakuwa ndiye rais mwenyewe.Ana kauli tata sana,
1.SERIKALI IMECHOSHWA NA MIGOGORO YA DINI.
2.NAAGIZA
3.SITAKI KUSIKIA
4.NAAMURU
Ni sehemu tu yamaneno amekuwa akitoa akiwa kwenye ziara