Pre GE2025 Dkt. Mpango aomba apumzike kuwa Makamu Rais akimaliza muda wake, Rais Samia aridhia ombi hilo

Pre GE2025 Dkt. Mpango aomba apumzike kuwa Makamu Rais akimaliza muda wake, Rais Samia aridhia ombi hilo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kuandika barua ya kuacjia majukumu flani, na kukataliwa ni kawaida. Yaani utake, usitake (hata kama utafanya chini ya kiwango) hakuna kuondoka
 

Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango amemwandikia barua ya kuomba apumzike Umakamu wa Rais ambapo amesema baada ya kutafakari ameridhia ombi hilo.

Lakini kwa sasa Dkt. Mpango ataendelea kuwa Makamu wa Rais hadi utakapofanyika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu 2025.

Soma:Breaking News: - Uchaguzi 2025 - CCM yamchagua Balozi Dkt Emmanuel Nchimbi kuwa Mgombea Mwenza katika Uchaguzi wa Oktoba 2025

Akiongea leo January 19,2025 kwenye Mkutano Mkuu Maalum Jijini Dodoma, Rais Samia amesema

""Dkt. Philip Mpango ndiye Makamu wa Rais miezi ya karibuni hapa amekuja kuniona kuniomba apumzike, ana sababu kadhaa lakini sio za kazi, anasema yeye sasa ana miaka 68 na angependa kuishi zaidi kwahiyo naomba nipumzisheni.

Nikambishia bishia Wiki iliyopita hapa akanikabidhi barua yangu hii ( ya kujiuzulu?) na barua sikumjibu, nilipoenda kwenye Kamati Kuu nikawaeleza hiyo hali na kwa pamoja wote tukakubali tumpumzishe"
Kwa sasa CHADEMA inamuhitaji sana LISSU kuliko MBOWE a.k.a Museveni

Quote
 
Kwa kuwa makamu wameshapendekeza kutokea bara,
Je miezi 6 ni mingi sana, yakitokea ya kutokea halafu yeye akaamua asingombee kiti cha urais na yeye anatokea Zanzibar je itabidi mgombea urais atokee Zanzibar au Itabidi awe Emmanuel Nchimbi na makamu sasa apendekezwe mwingine? Au kwenye plan za Ccm mgombea urais wa JMT atakuwa Mwinyi?
 
""Dkt. Philip Mpango ndiye Makamu wa Rais miezi ya karibuni hapa amekuja kuniona kuniomba apumzike, ana sababu kadhaa lakini sio za kazi, anasema yeye sasa ana miaka 68 na angependa kuishi zaidi kwahiyo naomba nipumzisheni.

Nikambishia bishia Wiki iliyopita hapa akanikabidhi barua yangu hii ( ya kujiuzulu?) na barua sikumjibu, nilipoenda kwenye Kamati Kuu nikawaeleza hiyo hali na kwa pamoja wote tukakubali tumpumzishe"
Kwanini VIONGOZI wako wawili wajiuzulu kwenye kipindi chako?? Hakuna MTU anayeweza kujibu
 
Mimi ninaomba kwenye katiba kuwe na kipengele cha kuzuia rais au viongozi kuwa na kupendelea kwao kupeleka maendeleo kwao na haya yametokea sana kipindi cha Magufuli na Samia.
Watanganyika nendeni Zanzibar mkaone upendeleo wanaofanya kwa sasa barabara za ndani ndani hadi za vijijini (mashamba) Zanzibar zinajengwa kwa kiwango cha lami.
Na wakati hapo tu Dar mitaa mingi barabara za ndani hazina lami
 
Back
Top Bottom