Dkt. Mpango awataka watumishi fedha kujihadhari na Corona

Dkt. Mpango awataka watumishi fedha kujihadhari na Corona

Kama hakuna tahadhari ya nini?
Hawa wana siasa wamesha ona na kuamini Watanzania ni wajinga. Kama hakuna corona Jiwe ana fanya no ini kwao? Upuuzi mtupu.

Nadhani ifike mahali wanasiasa wa awamu ya tano wote kwa ujumla wao washtakiwe kwa kosa la mauaji ya kukusudia.

Wakiongozwa na Jiwe kama mtuhumiwa namba moja.
 
Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Mpango amewataka watumishi wa Wizara ya hiyo kuchukua tahadhari za ugonjwa wa korona, licha ya kukiri kuwa Tanzania haina maambukizi ya virusi hivyo kwa sasa.

View attachment 1686394
1611647942240.png
 
Kwa hiyo ni wao tu ndio Wajihadhari na Sisi wengine vipi?.

Yaani awamu hii inathamini Wakusanyaji wa Mapato tu.
 
Yaani hao Jamaa wameleta Ndege kuchukua raia mmoja?
 
Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Mpango amewataka watumishi wa Wizara ya hiyo kuchukua tahadhari za ugonjwa wa korona, licha ya kukiri kuwa Tanzania haina maambukizi ya virusi hivyo kwa sasa.

View attachment 1686394
Hivi huyu ni mzalendo kweli anazungumzia makorona hapa nchini kwetu?
 
Hii corona mbona ilikuwa imesahaulika kabisa toka may 2020 ni kipi kimeiibua kwa speed kiasi hiki au kuna aina mpya ya kirus imetua bongo.

Ngoja tusubiri tuone kama Jiwe atakaa Chato miezi miwili kama kipindi kile cha mpaka papai lina Corona aah kaka tuchati
Kwamba mkatorick wa CHATO dua zake zinapokelewa haraka kuliko wa Roma huko Italian?
Kwamba nyumgu inasaidia kuliko barakoa???
IPO WAPI DAWA YA MADAGASCAR???
 
Atumbuliwe haraka sana amelichafua Taifa. Sisi tuna nimonia hatuna korona.
 
Mie Niko tofauti na wengine.

Why watumishi Wa fedhaa pekee INA mana ndo anaowapenda Sie tusio watumishi Wa fedha inakuwa je ivi,tusio na ajira tumekaa tu home ni kuchati inakuwa je ivi.
Haya labda wao ndo wako covid prone alone
 
Hii iwe mwisho ule upuuzi wa kuulizia Chadema kwenye mijadala ya Corona.
 
Mie Niko tofauti na wengine.

Why watumishi Wa fedhaa pekee INA mana ndo anaowapenda Sie tusio watumishi Wa fedha inakuwa je ivi,tusio na ajira tumekaa tu home ni kuchati inakuwa je ivi.
Haya labda wao ndo wako covid prone alone
Babu zakuambiwa changanya na zako
We jiongeze tu .....
Kuna watu sahv kutwa wanakuambia sjui kna tamasha la wasf mara nndy ana shw mahali fulani,sjui kna lion cup,mikusanyiko ambayo haina ulazima we ichunieeee

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
alafu we jamaa akili zako hovyo. sasa kama nchi zingine za jirani kuna covd19 kwanini hapa tusichukue tahadhari
Rais keshatuambia korona haipo, tumeishinda cha msingi tulime ili tusaidie mataifa ambayo bado yanaendelea kupambana na corona.

Mojawapo ya tahadhari dhidi ya korona ni kuvaa barakoa na kuepuka mikusanyiko, ila Rais ameonekana kufurahia pale ambapo anakutana na msongamano mkubwa wa watu ambao hawajavaa barakoa au pale wageni wanapomtembelea wanapoamua kutokuvaa barakoa, huwasifu na kusema hicho ni kielelezo tosha kuwa corona haipo nchini.

Sasa huyo waziri anaposema tuchukue tahadhari anamaanisha ni tahadhari zipi ?

Kiufupi anachanganya baadhi ya watu.
 
Back
Top Bottom