Dkt. Mpango awataka watumishi fedha kujihadhari na Corona

Dkt. Mpango awataka watumishi fedha kujihadhari na Corona

Mabeberu wanataka kutuharibia sekta yetu ya utalii Zanzibar ambapo mambo yanakwenda sawa kwa wageni kufurika kwa mamia wakishuka na ndege kubwa toka moja kwa moja Moscow, Minski, Warsaw, USA, Uingereza kufaidi raha za fukwe safi, hewa safi, urojo safi, utalii uvuvi ktk bahari ya buluu n.k
 
alafu we jamaa akili zako hovyo. sasa kama nchi zingine za jirani kuna covd19 kwanini hapa tusichukue tahadhari
Kwani yale maombi yaliyozuia hii ya hapa nchini hayawezi kuzuia hiyo ya mpakani?
 
Yani unachukua tahadhari kwa kitu ambacho hakipo.
Aongee tu ukwel asijikanyake
 
Waziri wa Fedha na Mipango Dk Philip Mpango, amewataka watumishi wa wizara hiyo kuchukua tahadhari zote kuhusu ugonjwa wa corona, licha ya kukiri kuwa Tanzania haina maambukizi ya virusi hivyo kwa sasa.

Dk Mpango alitoa kauli hiyo jana wakati akifungua mkutano wa baraza la wafanyakazi wa Wizara ya Fedha na Mipango.

Mkutano huo ulifanyika jana katika ukumbi wa Kambarage uliopo jijini Dodoma.

Waziri Mpango alisema ugonjwa huo haupo nchini, lakini umeendelea kuitikisa dunia na kuyumbisha uchumi wa nchi nyingi.

“Tumshukuru Mungu ugonjwa huu umetupisha mbali hapa nchini kwetu, lakini niwasihi watumishi tuendelee kuchukua tahadhari zote kama tunavyoelekezwa na wataalamu wetu wa Wizara ya afya,” alisema.

Awafunda wafanyakazi

Aidha, Dk Mpango aliwagiza viongozi wa baraza hilo kufikisha ujumbe kwa wanaowaongoza, watende kazi kwa kufuata miongozo na kutotoa siri za Serikali.

Alisema watashughulika na watendaji watakaobainika kuvujisha siri za Serikali.

Katika hatua nyingine Dk Mpango aliwaagiza watumishi katika wizara hiyo kutobweteka kutokana na Tanzania kuingia katika uchumi wa kati.

Alisema wanapaswa kutambua kuwa bado wana safari ndefu ya kuipeleka nchi katika mafanikio zaidi.

‘‘ Hakuna maana kwa wizara kuwa na msururu wa wafanyakazi ambao hawatimizi wajibu wao bali kila mmoja ajione kuwa na thamani mahali pake na watenge muda wa kusikiliza matatizo ya walio chini yao,’’ alisema.

Kwa upande wake, mwenyekiti wa baraza hilo ambaye pia ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango, Dotto James, alitaja lengo la mkutano huo ni kuchagua viongozi na kujadili namna ya kuboresha utendaji kazi.

James alisema maboresho ya mazingira ya watumishi yataendana na kuboresha mazingira ya kazi ili kufanya watu wawe na afya njema na kuendelea kuchapa kazi inavyotakiwa.

Akitoa neno la shukrani, Naibu Katibu Mkuu wa wizara hiyo Mary Maganga aliahidi kuwa maagizo ya Waziri yatazingatiwa na kwamba watayashusha kwa watendaji wa ngazi ya chini ili utekelezaji uanze mara moja.

Source Mwananchi
View attachment 1686739

Muda utaongea tu

Hiiii bagosha.

We can't breathe.

Tunashindwa kupumua.

Nduhu u kweshema!
 
Waziri wa Fedha na Mipango Dk Philip Mpango, amewataka watumishi wa wizara hiyo kuchukua tahadhari zote kuhusu ugonjwa wa corona, licha ya kukiri kuwa Tanzania haina maambukizi ya virusi hivyo kwa sasa.

Dk Mpango alitoa kauli hiyo jana wakati akifungua mkutano wa baraza la wafanyakazi wa Wizara ya Fedha na Mipango.

Mkutano huo ulifanyika jana katika ukumbi wa Kambarage uliopo jijini Dodoma.

Waziri Mpango alisema ugonjwa huo haupo nchini, lakini umeendelea kuitikisa dunia na kuyumbisha uchumi wa nchi nyingi.

“Tumshukuru Mungu ugonjwa huu umetupisha mbali hapa nchini kwetu, lakini niwasihi watumishi tuendelee kuchukua tahadhari zote kama tunavyoelekezwa na wataalamu wetu wa Wizara ya afya,” alisema.

Awafunda wafanyakazi

Aidha, Dk Mpango aliwagiza viongozi wa baraza hilo kufikisha ujumbe kwa wanaowaongoza, watende kazi kwa kufuata miongozo na kutotoa siri za Serikali.

Alisema watashughulika na watendaji watakaobainika kuvujisha siri za Serikali.

Katika hatua nyingine Dk Mpango aliwaagiza watumishi katika wizara hiyo kutobweteka kutokana na Tanzania kuingia katika uchumi wa kati.

Alisema wanapaswa kutambua kuwa bado wana safari ndefu ya kuipeleka nchi katika mafanikio zaidi.

‘‘ Hakuna maana kwa wizara kuwa na msururu wa wafanyakazi ambao hawatimizi wajibu wao bali kila mmoja ajione kuwa na thamani mahali pake na watenge muda wa kusikiliza matatizo ya walio chini yao,’’ alisema.

Kwa upande wake, mwenyekiti wa baraza hilo ambaye pia ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango, Dotto James, alitaja lengo la mkutano huo ni kuchagua viongozi na kujadili namna ya kuboresha utendaji kazi.

James alisema maboresho ya mazingira ya watumishi yataendana na kuboresha mazingira ya kazi ili kufanya watu wawe na afya njema na kuendelea kuchapa kazi inavyotakiwa.

Akitoa neno la shukrani, Naibu Katibu Mkuu wa wizara hiyo Mary Maganga aliahidi kuwa maagizo ya Waziri yatazingatiwa na kwamba watayashusha kwa watendaji wa ngazi ya chini ili utekelezaji uanze mara moja.

Source Mwananchi
View attachment 1686739

Muda utaongea tu
Ni Msimu wa Vumbi na Mafua makali.

Wear Mask.

Sanitize often.

Practice Social Distancing.

It helps a lot!

Achana na viporojo vya jonijo.
 
Mwezi wa 12 Ndege zimeleta wageni wengi Tanzania tokea Nchi zenye maambukizi makubwa ndiyo maana corona imepamba moto zaidi mpaka mtukufu akaamua kukimbilia chato kujificha huko
Tuendelee kufanya maombi ili corona imfuate huko huko alikojificha.
 
Tuseme waheshimiwa wameona hatari kubwa hata kwao eeeh,maana wanainteraction kubwa na wageni........

NB:Mpaka sasa ni Mawaziri 10 wamefariki kwa Corona SADC
 
Waziri wa Fedha na Mipango Dk Philip Mpango, amewataka watumishi wa wizara hiyo kuchukua tahadhari zote kuhusu ugonjwa wa corona, licha ya kukiri kuwa Tanzania haina maambukizi ya virusi hivyo kwa sasa.

Dk Mpango alitoa kauli hiyo jana wakati akifungua mkutano wa baraza la wafanyakazi wa Wizara ya Fedha na Mipango.

Mkutano huo ulifanyika jana katika ukumbi wa Kambarage uliopo jijini Dodoma.

Waziri Mpango alisema ugonjwa huo haupo nchini, lakini umeendelea kuitikisa dunia na kuyumbisha uchumi wa nchi nyingi.

“Tumshukuru Mungu ugonjwa huu umetupisha mbali hapa nchini kwetu, lakini niwasihi watumishi tuendelee kuchukua tahadhari zote kama tunavyoelekezwa na wataalamu wetu wa Wizara ya afya,” alisema.

Awafunda wafanyakazi

Aidha, Dk Mpango aliwagiza viongozi wa baraza hilo kufikisha ujumbe kwa wanaowaongoza, watende kazi kwa kufuata miongozo na kutotoa siri za Serikali.

Alisema watashughulika na watendaji watakaobainika kuvujisha siri za Serikali.

Katika hatua nyingine Dk Mpango aliwaagiza watumishi katika wizara hiyo kutobweteka kutokana na Tanzania kuingia katika uchumi wa kati.

Alisema wanapaswa kutambua kuwa bado wana safari ndefu ya kuipeleka nchi katika mafanikio zaidi.

‘‘ Hakuna maana kwa wizara kuwa na msururu wa wafanyakazi ambao hawatimizi wajibu wao bali kila mmoja ajione kuwa na thamani mahali pake na watenge muda wa kusikiliza matatizo ya walio chini yao,’’ alisema.

Kwa upande wake, mwenyekiti wa baraza hilo ambaye pia ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango, Dotto James, alitaja lengo la mkutano huo ni kuchagua viongozi na kujadili namna ya kuboresha utendaji kazi.

James alisema maboresho ya mazingira ya watumishi yataendana na kuboresha mazingira ya kazi ili kufanya watu wawe na afya njema na kuendelea kuchapa kazi inavyotakiwa.

Akitoa neno la shukrani, Naibu Katibu Mkuu wa wizara hiyo Mary Maganga aliahidi kuwa maagizo ya Waziri yatazingatiwa na kwamba watayashusha kwa watendaji wa ngazi ya chini ili utekelezaji uanze mara moja.

Source Mwananchi
View attachment 1686739

Muda utaongea tu
Ukiishi kijiji kisichokuwa na barabara tafadhali usithubutu kununua gari.
 
Waziri wa Fedha na Mipango Dk Philip Mpango, amewataka watumishi wa wizara hiyo kuchukua tahadhari zote kuhusu ugonjwa wa corona, licha ya kukiri kuwa Tanzania haina maambukizi ya virusi hivyo kwa sasa.

Dk Mpango alitoa kauli hiyo jana wakati akifungua mkutano wa baraza la wafanyakazi wa Wizara ya Fedha na Mipango.

Mkutano huo ulifanyika jana katika ukumbi wa Kambarage uliopo jijini Dodoma.

Waziri Mpango alisema ugonjwa huo haupo nchini, lakini umeendelea kuitikisa dunia na kuyumbisha uchumi wa nchi nyingi.

“Tumshukuru Mungu ugonjwa huu umetupisha mbali hapa nchini kwetu, lakini niwasihi watumishi tuendelee kuchukua tahadhari zote kama tunavyoelekezwa na wataalamu wetu wa Wizara ya afya,” alisema.

Awafunda wafanyakazi

Aidha, Dk Mpango aliwagiza viongozi wa baraza hilo kufikisha ujumbe kwa wanaowaongoza, watende kazi kwa kufuata miongozo na kutotoa siri za Serikali.

Alisema watashughulika na watendaji watakaobainika kuvujisha siri za Serikali.

Katika hatua nyingine Dk Mpango aliwaagiza watumishi katika wizara hiyo kutobweteka kutokana na Tanzania kuingia katika uchumi wa kati.

Alisema wanapaswa kutambua kuwa bado wana safari ndefu ya kuipeleka nchi katika mafanikio zaidi.

‘‘ Hakuna maana kwa wizara kuwa na msururu wa wafanyakazi ambao hawatimizi wajibu wao bali kila mmoja ajione kuwa na thamani mahali pake na watenge muda wa kusikiliza matatizo ya walio chini yao,’’ alisema.

Kwa upande wake, mwenyekiti wa baraza hilo ambaye pia ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango, Dotto James, alitaja lengo la mkutano huo ni kuchagua viongozi na kujadili namna ya kuboresha utendaji kazi.

James alisema maboresho ya mazingira ya watumishi yataendana na kuboresha mazingira ya kazi ili kufanya watu wawe na afya njema na kuendelea kuchapa kazi inavyotakiwa.

Akitoa neno la shukrani, Naibu Katibu Mkuu wa wizara hiyo Mary Maganga aliahidi kuwa maagizo ya Waziri yatazingatiwa na kwamba watayashusha kwa watendaji wa ngazi ya chini ili utekelezaji uanze mara moja.

Source Mwananchi
View attachment 1686739

Muda utaongea tu

MBONA HAKUONESHA MFANO KWA KUVAA BARAKOA? ANAMUOGOPA JIWE? HAWA WANAFIKI MBELE YA BOSS WAO HAWATHUBUTU KUSEMA UKWELI WANAISHIA KUBABAISHA TU!
 
Waziri wa Fedha na Mipango Dk Philip Mpango, amewataka watumishi wa wizara hiyo kuchukua tahadhari zote kuhusu ugonjwa wa corona, licha ya kukiri kuwa Tanzania haina maambukizi ya virusi hivyo kwa sasa.

Dk Mpango alitoa kauli hiyo jana wakati akifungua mkutano wa baraza la wafanyakazi wa Wizara ya Fedha na Mipango.

Mkutano huo ulifanyika jana katika ukumbi wa Kambarage uliopo jijini Dodoma.

Waziri Mpango alisema ugonjwa huo haupo nchini, lakini umeendelea kuitikisa dunia na kuyumbisha uchumi wa nchi nyingi.

“Tumshukuru Mungu ugonjwa huu umetupisha mbali hapa nchini kwetu, lakini niwasihi watumishi tuendelee kuchukua tahadhari zote kama tunavyoelekezwa na wataalamu wetu wa Wizara ya afya,” alisema.

Awafunda wafanyakazi

Aidha, Dk Mpango aliwagiza viongozi wa baraza hilo kufikisha ujumbe kwa wanaowaongoza, watende kazi kwa kufuata miongozo na kutotoa siri za Serikali.

Alisema watashughulika na watendaji watakaobainika kuvujisha siri za Serikali.

Katika hatua nyingine Dk Mpango aliwaagiza watumishi katika wizara hiyo kutobweteka kutokana na Tanzania kuingia katika uchumi wa kati.

Alisema wanapaswa kutambua kuwa bado wana safari ndefu ya kuipeleka nchi katika mafanikio zaidi.

‘‘ Hakuna maana kwa wizara kuwa na msururu wa wafanyakazi ambao hawatimizi wajibu wao bali kila mmoja ajione kuwa na thamani mahali pake na watenge muda wa kusikiliza matatizo ya walio chini yao,’’ alisema.

Kwa upande wake, mwenyekiti wa baraza hilo ambaye pia ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango, Dotto James, alitaja lengo la mkutano huo ni kuchagua viongozi na kujadili namna ya kuboresha utendaji kazi.

James alisema maboresho ya mazingira ya watumishi yataendana na kuboresha mazingira ya kazi ili kufanya watu wawe na afya njema na kuendelea kuchapa kazi inavyotakiwa.

Akitoa neno la shukrani, Naibu Katibu Mkuu wa wizara hiyo Mary Maganga aliahidi kuwa maagizo ya Waziri yatazingatiwa na kwamba watayashusha kwa watendaji wa ngazi ya chini ili utekelezaji uanze mara moja.

Source Mwananchi
View attachment 1686739

Muda utaongea tu
Hapa wezi hakuna lakini marufuku kulala mlango wazi🤣🤣
 
Waziri zungumza moja, corona ipo au haipo usiwe vuguvugu.
" Huu si msimu wa baridi, ila toka na koti na ulivae" mtu akikupa hayo maelekezo utamuelewa?
 
Back
Top Bottom