Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uhai wa mtu unathamani kwa wenzetu...haijalishi nafasi yako au cheo chako..Norway walituma ndege Kenya kumchukuwa raia wao tena ni msomali ilimradi tu ana passport yao. Sisi kazi kupenda viongozi wetu na wao hawatupendi wanapenda familia zao.Yaani hao Jamaa wameleta Ndege kuchukua raia mmoja?
Hii Corona lazima itaondoka na mtu hivi karibuni .....Kama hakuna tahadhari ya nini?
Ila ujue Mh naye ni bindamu, kama wewe ni mwenzetu utakiri kusikia kuwa mama yake yu mahututi@leastmpaka mtukufu akaamua kukimbilia chato kujificha
Wengine wanasema ilipungua yani iliamua tu kupungua yenyewe, ila wabongo wanafurahisha sana.Corona ipi tena na tumeipiga na maombi ikaondoka?
Unajua hii nchi basi tu. Peoples are so funny.. yaani watumishi wajihadhari na corona halaf hapo hapo nchi haina maambukizi.Kama hakuna tahadhari ya nini?
Yeah right... said conspiracy guy with no evidenceHakuna cha Corona. A hoax disease.
Janja janja sana yule mtu, corona haipoKaikimbia Nimonia mpya
Chagua wa kumuamini mwanasiasa au mtaalamuUnajua hii nchi basi tu. Peoples are so funny.. yaani watumishi wajihadhari na corona halaf hapo hapo nchi haina maambukizi.
Something is wrong somewhere
Mfano hai ni huu kuwa Covid-19 imeingia tena awamu ya pili kivingine, kuficha na kuhadaa watu ni jambo baya.
Oh i know nani wa kumwamini but that my secretChagua wa kumuamini mwanasiasa au mtaalamu