Dkt. Mpango awataka watumishi fedha kujihadhari na Corona

Kama hakuna tahadhari ya nini?
Kila mmoja anajua hupo, pia hayuko alie tayari kubainisha uwepo wa Covid-19, woga, kutojihamini, hivyo wanasema kimtindo, ila waziri wa fedha aruhuwi kuzungumzia Covid-19!
 
Ukitaka kujua umuhimu wa kuvaa barakoa, nunua Juis au matunda, kesho upite ward 3 na 4 pale Mwaisela Muhimbili. Walinzi wakikuuliza waambie Kuna mgonjwa unampelekea chakula. Trust me utamuelewa Dr Mpango na utazingatia ushauri wa Baraza la Maaskofu katoliki.
R.I.P Paroko wa Mwananyamala.
 
Umepiga mule mule Mkuu.
Mwezi wa 12 Ndege zimeleta wageni wengi Tanzania tokea Nchi zenye maambukizi makubwa ndiyo maana corona imepamba moto zaidi mpaka mtukufu akaamua kukimbilia chato kujificha huko
 
....., licha ya kukiri kuwa Tanzania haina maambukizi ya virusi hivyo kwa sasa....

Hawa watu ni waongo Mpka shetani (Lucifer) anawashangaa.
 
Yaani hao Jamaa wameleta Ndege kuchukua raia mmoja?
Wanajali uhai kuliko mali. Sisi tunajali mali kuliko uhai, ndio maana tunasisitizwa kuchapa kazi hata kama tupo kwenye lindi la maambukizi.
 

Inasikitisha Phd holder anapoongea upumbavu
 
Mie Niko tofauti na wengine.

Why watumishi Wa fedhaa pekee INA mana ndo anaowapenda Sie tusio watumishi Wa fedha inakuwa je ivi,tusio na ajira tumekaa tu home ni kuchati inakuwa je ivi.
Haya labda wao ndo wako covid prone alone
Jiongeze hapo sio kila kitu uambiwe!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…