Kumbe mke alidinywa nje? Mwache aipatw pate kwanzaYa ndani mkuu yanawahusu wao. Ila kwenye dini Dk anafanya makosa huyo mwanamke kama anfanya zinaa ni makosa ya Mwaka kutompa talaka kutomuacha huru wakati yeye ana mke mwingine.
Kuna vitu mnatakiwa kujua hukmu yake kabla hajatoa ushauri wa nini kifanyike.Mkishafika hapa haijalishi nani mkosaji the only solution ni talaka tu,
Mwaka ampe mkewe talaka mana hapa ameshasema hata hizo mali hataki tena anataka tu amani ya moyo na watoto wake!
Mimi nashangaa sana watu wanaosema huenda huyo mwanamke anajiliza tu, awe anasema ukweli au uongo the fact that ameomba apewe tu talaka na mali ataziacha zote that speaks volume about Dr. Mwaka!
Mwaka amwache huyo mama aende jamani, au mpaka tusikie mtu amecommit suicide?
Amani ya moyo ni kila kitu humu duniani!
Yaani mke umgharamie wee, ajiamulie kuliwe kuliwa nje na aombe talaka kirahisi tu?Ya ndani mkuu yanawahusu wao. Ila kwenye dini Dk anafanya makosa huyo mwanamke kama anfanya zinaa ni makosa ya Mwaka kutompa talaka kutomuacha huru wakati yeye ana mke mwingine.
Wanasema usimwamini mbwa anayechechema au mwanamke anaelialia.....…#Usimwonee huruma mwanamke. (Kauli mbiu ya mdau flan humu JF).....Kila jambo lina pande 2. Machozi ya mwanamke si ya kuamini sana.
Umenena vyema.Sio mwanamke tu, hata mwanaume hafai kufanya adui yako.
Yani nyie mguswe na situation ya familia yake, then mumpatie laana? Hakuna kitu kama hicho.
Halafu mkuu, ugomvi unaohusu mahusiano ya kimapenzi sio wa kuuingilia kichwa kichwa. Achana na haya wanayosema hadharani, kunakuwaga na mengi sana behind the scene. Watu ambao walikuwa wanalala uchi pamoja, kwa muda mrefu, leo wanageuka maadui, halafu wewe mtu Baki unakuja na simple explanation.? Acha kuweka conclusion kwenye kitu ambacho hujui mwanzo ni upi.
Pa1 na hyo assessment yako Mr. Mshana, story ya upande wa pili (wa dr. Mwaka ni.muhimu sana).....wanaume ktk ndoa au mahusiano na maisha kwa ujumla huwa tunabeba mengi sana kwnye vfua vyetu[emoji848]Kuna vitu vitatu muhimu sana kwenye hili sakata
1. Mwanamke ndio anataka talaka
2. Hataki kudhalilishana kwenye mitandao ya kijamii( hili nimempa big up sana)
3. Hataki kugombea mali anataka amani ya moyo aachwe alee wanae!
Kwa hizo point tatu unaweza kuona wazi tatizo liko upande gani
Hayo ya kukataa mali na kila kitu .....yamekuja jana (Jahaz)Mkishafika hapa haijalishi nani mkosaji the only solution ni talaka tu,
Mwaka ampe mkewe talaka mana hapa ameshasema hata hizo mali hataki tena anataka tu amani ya moyo na watoto wake!
Mimi nashangaa sana watu wanaosema huenda huyo mwanamke anajiliza tu, awe anasema ukweli au uongo the fact that ameomba apewe tu talaka na mali ataziacha zote that speaks volume about Dr. Mwaka!
Mwaka amwache huyo mama aende jamani, au mpaka tusikie mtu amecommit suicide?
Amani ya moyo ni kila kitu humu duniani!
POINT....[emoji847]Mbona inajulikana huyu bi mkubwa amepata bwana wa kumuoa ndio maana anaforce talaka unajua sababu iliyomfanya yule shekh mkuu kutenguliwa wadhifa wake?
Anajifanya hataki mali anataka amani ya moyo wake na talaka...ila akishapewa talaka ataanza kusumbua kutaka mali
Kwelii kabsaaaAngekuwa na hekima angeomba watu wenye hekima kukutanishwa na mumewe ampigie magoti.
Hii ni sanaa kutaka huruma za watu tu.
Dah!!!kumbe hekima ni kumpigia magoti mtuAngekuwa na hekima angeomba watu wenye hekima kukutanishwa na mumewe ampigie magoti.
Hii ni sanaa kutaka huruma za watu tu.
Bado analipa lakini na umri unamruhusu [emoji23]Mbona inajulikana huyu bi mkubwa amepata bwana wa kumuoa ndio maana anaforce talaka unajua sababu iliyomfanya yule shekh mkuu kutenguliwa wadhifa wake?
Anajifanya hataki mali anataka amani ya moyo wake na talaka...ila akishapewa talaka ataanza kusumbua kutaka mali
Hao wenye hekima nao siku hizi ni mafisimaji tuuAngekuwa na hekima angeomba watu wenye hekima kukutanishwa na mumewe ampigie magoti.
Hii ni sanaa kutaka huruma za watu tu.
Duh mbona hufananii sasa [emoji23]Sana sana Ana kautulivu
Yaani hiyo show ingekua yangu nadhani tungekuwa na msiba Saa hizi
Nasikia wake wenza ulogana Sana kumfukuza mwenzake ulingoniBado analipa lakini na umri unamruhusu [emoji23]
mganga hajigangi.Nasikia mganga wa nguvu za kiume jogoo hapandi mtungi ndio sababu ya kuachwa.
Ndio maana tukaaswa tuishi nao kwa akiliPa1 na hyo assessment yako Mr. Mshana, story ya upande wa pili (wa dr. Mwaka ni.muhimu sana).....wanaume ktk ndoa au mahusiano na maisha kwa ujumla huwa tunabeba mengi sana kwnye vfua vyetu[emoji848]
Ni upumbavu kumkomoa mzazi mwenza wako.mna watoto chukua begi lako tu unasepaMama alikuwa anataka abaki na nyumba alelee watoto kaamua kuiachia,
We Mwaka chukua manyumba yako na magari yako, toa talaka.