Snoop Dogg
JF-Expert Member
- Jan 10, 2022
- 283
- 262
Mtu alikuwa na miaka 59 unasema alikuwa kijana.RIP Dr Mwele Malecela. Pole Mzee John Malecela na familia nzima. Pole Rais Samia na watanzania wote. Tumepoteza kijana mfano wa kuigwa. Mtanzania aliyekuwa ngazi za juu katika Umoja wa Mataifa. Hakika tumepoteza kitu cha thamani kama Taifa. Ulale salama dada.
Pascal Mayalla ni mtoto wa mjini ingawa ni msukumaWe umesoma na kila mtu
Mkuu LuisMkinga, sio tuu madogo humu wananichukulia poa, bali kiukweli mimi ni mtu mmoja poa sana.Then kuna vijana wanakuchukulia poa. Pole yetu sote.
Inaonekana hata mzigo ulishawahi kula enzi hizo za kuchezaMtu utasomaje na kila mtu?, mimi sijasoma na kila mtu, ila nimetokea kuwa na kumbukumbuku nzuri kwa niliosoma nao, au darasa moja, shule moja, au chuo kimoja, tena huwezi amini nawakumbuka kwa majina, toka niliosoma nao Kindergarten!, ila imetokea wengi niliosoma nao, tangu Primary, sekondari, A lever na Chuo, they happen to be somebodies!.
Tena huyu, sio tuu nimesoma nae, hadi kwao tumecheza!.
P
Sisi wengine nikiwemo mimi ni Wasukuma wa new generation ambao Baba ni Msukuma alitoka usukumani na ule ushamba ushamba wa Kisukuma, akao mke wa kabila jingine, watoto tukazaliwa mjini, tukakulia mjini, tukasomea mjini, hivyo ule ushamba ushamba wa Kisukuma hatuna!.Pascal Mayalla ni mtoto wa mjini ingawa ni msukuma
Duh...!. Mambo ya Kawe naomba tuyaache.Alafu wanaochukulia poa wengi ni watoto wa juzijuzi tu, ila Ungechukua jimbo la kawe ungeweka heshima mjini wangeacha kukuchulia poa
Hakika Taifa limepoteza mtu muhimu! R.I.P Dr. Mwele Malecela, Pole nyingi kwa ndugu jamaa na marafiki!Mwele Ntuli Malecela (alizaliwa tarehe 26 Machi 1963) alikuwa mkurugenzi wa taasisi ya tafiti za kiafya Tanzania (NIMRI).
Aliwania nafasi ya mgombea wa uraisi kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2015...
Inasikitisha sana, Nampa pole nyingi Mzee wetu John Cigwiyemisi Malecela na Familia nzima, kwa kweli Mzee Malecela amefikwa na misiba mingi sana, amezika mke na watoto. Mungu ampe nguvu katika huu uzee wake.Mkuu Mwaikibaki , asante kuni tag, it's so sad!.
Dr. Mwele ananihusu sana, kwanza nimesoma nae Primary, yeye alitangulia darasa moja, mimi nikisoma Class moja na mdogo wake, Mwendwa (Jaji). Kisha tukakutana Tambaza yeye
A-Level mimi O-Level, kisha mimi nikaja kuwa MC wa harusi yake!. Hivyo msiba huu umenigusa sana !.
Pole sana familia ya Mzee Malecela na mwana JF mwenzetu Mkuu william Malecela.
RIP Dr. Mwele Malecela.
P
Katika watu ninaowakubali basi nawe Pascal upo katika orodhaSisi wengine nikiwemo mimi ni Wasukuma wa new generation ambao Baba ni Msukuma alitoka usukumani na ule ushamba ushamba wa Kisukuma, akao mke wa kabila jingine, watoto tukazaliwa mjini, tukakulia mjini, tukasomea mjini, hivyo ule ushamba ushamba wa Kisukuma hatuna!.
P
Kindergarten Bongo zimeanza longi tena zilikuwa za wazungu. Mimi nimesoma St. Peters Kindergarten, Tanga, baadhi ya niliosoma nao, mpaka leo nakumbuka vizuri with their two names.Ndugu acha fix zako umesoma kindergarten? Miaka hiyo..
Asante sana kwa kunikubali na kuniaminia, I won't let you down.Katika watu ninaowakubali basi nawe Pascal upo katika orodha
Hongera ndugu kumbe umetokea familia bora sisi wengine tumesoma kwa kuunga unga kuchunga ng’ombe wiki, wiki inayofuata shule..Kindergarten Bongo zimeanza longi tena zilikuwa za wazungu. Mimi nimesoma St. Peters Kindergarten, Tanga, baadhi ya niliosoma nao, mpaka leo nakumbuka vizuri with their two names.
Nikiwa age 3, kuna vitu navikumbuka hadi leo!.
P
No please!. Kwao tulikuwa tunacheza mchezo wa kujificha tuu ila sio ule mchezo wa Baba na Mama!. Hawa niliwaheshimu, wakati huo Baba yao ni Waziri Mkuu na Makamo wa pili wa rais !.Inaonekana hata mzigo ulishawahi kula enzi hizo za kucheza
Nimetoka a modarate family ya baba na mama ni civil servants wa enzi za Nyerere, chai ta maziwa, mkate na siagi ni basics tuu!, lakini shule tunakwenda kwa TZ 11, unga wa Yanga tumekula, foleni za kupanga mawe tumepanga, shule za UPE , tumesoma, sekondari zote tumesoma za serikali.Hongera ndugu kumbe umetokea familia bora sisi wengine tumesoma kwa kuunga unga kuchunga ng’ombe wiki, wiki inayofuata shule..
Na tulivyokuwa na miili mikubwa na ndevu walimu walikuwa wanapigika hasa 😄
Vifo vinatofautiana kwa hadhiKifo ni safari ya kila binadamu.
Hakichagui maskini wala tajiri..utibiwe amana ama utibiwe majuu apollo kifo kikiamua kukubeba hutoki
Ukifika 60+ ndiyo utakuwa babu now ni mtu mzima tu kama ilivyo akina January Makamba sema watanzania wengi wamefoji umri kama akina Kabudi unaweza kuta hata ana miaka 86Mimi ni wa 60s. Mwele amenitangulia madarasa mawili, mdogo wake Mwendwa ndio age mate wangu. Mimi Babu, nina 8 kids na 5 grand childrens !.
P
Mimi ni wa 60s. Mwele amenitangulia madarasa mawili, mdogo wake Mwendwa ndio age mate wangu. Mimi Babu, nina 8 kids na 5 grand childrens !.
P
Ila back in the days ilikuwa hivyo kwa wote, shule za serikali lakini watoto wa mawaziri, wahindi(hata wanaotoka kwenye prominent businesses families), hata wale waliokuwa wanarudi kutoka 'majuu' ambao Kiswahili wanakuja kujifunza wakifika Bongo.Nimetoka a modarate family ya baba na mama ni civil servants wa enzi za Nyerere, chai ta maziwa, mkate na siagi ni basics tuu!, lakini shule tunakwenda kwa TZ 11, unga wa Yanga tumekula, foleni za kupanga mawe tumepanga, shule za UPE , tumesoma, sekondari zote tumesoma za serikali.
P
Yes 5 grand...!. Kwa lugha yetu adhimu, mimi ni baba wa watoto 8, kati ya watoto hao, kumezaliwa wajukuu 5!. Faza of 8 na Babu of 5!.5 grand chi....???