MACHONDELA
JF-Expert Member
- May 7, 2018
- 940
- 1,573
Mkuu hv huyo marehemu na Lemutuz nan mkubwaMkuu Mwaikibaki , asante kuni tag, it's so sad!.
Dr. Mwele ananihusu sana, kwanza nimesoma nae Primary, yeye alitangulia darasa moja, mimi nikisoma Class moja na mdogo wake, Mwendwa (Jaji)...