MACHONDELA
JF-Expert Member
- May 7, 2018
- 940
- 1,573
Mkuu hv huyo marehemu na Lemutuz nan mkubwaMkuu Mwaikibaki , asante kuni tag, it's so sad!.
Dr. Mwele ananihusu sana, kwanza nimesoma nae Primary, yeye alitangulia darasa moja, mimi nikisoma Class moja na mdogo wake, Mwendwa (Jaji)...
Mimi nilikuwa naishi Houston, Texas miaka kama 10 imepita. Kuna Dr mmoja wa Pharmacy nilikuwa nacheza naye Tennis alikuwa ametokea Nigeria.Halafu enzi Ile akiwa MEWATA yeye ndio alikuwa msimamizi wa Ile kampeni ya kupima kansa ya matiti. Kweli mganga hajigangi.
Sanaa,huwa nasikia vibaya Sana kuona mtu anafariki anaacha mzazi wake Kama alivyo mzee malecela...inaumiza Sana,,Ni vile tu kazi ya Mola Haina MakosaAmemaliza mwendo mwili wangu umesisimka alionekana ana nguvu bado, watoto wanaondoka wanaacha wazazi inauma
Le mutuz ni mtoto wa kambo mkuu.. mzee malecela alimzaa kwa kuchepuka na mwanamke mwingine...Le mutuz ana 68, ni mkubwa kuliko dada yake marehemu.
Mwaka juzi niliumwa sana Baba yangu alilia na kuomba sana akisema nakuombea sana upone, ili wewe uje unizike miye. Huwezi amini nilipona na yeye alitwaliwa na muumba mwaka jana.Sanaa,huwa nasikia vibaya Sana kuona mtu anafariki anaacha mzazi wake Kama alivyo mzee malecela...inaumiza Sana,,Ni vile tu kazi ya Mola Haina Makosa
Umevipiga vita vilivyo vizuri, mwendo umeumaliza, Imani umeilinda.
Kwa wasio mfahamu Dr. Mwele, alikuwa ni Mkurugenzi wa Taasisi ya Tafiti ya kiafya Tanzania (NIMRI) Kabla Ya Kuondoshwa Kazini Rais Magufuli alipotangaza Kupatikana Kwa Visa Vya Ugonjwa Wa "Zika'' Hapa Nchini Tanzania...
Huyu ni mamake wa kufikia... alikua mke wa kimambi so ni mama wa kambo...Naomba kujuzwa, huyu ndiye Mama Mzazi wa Mange na mke wa Mzee Kimambi?
We umesoma na kila mtuMkuu Mwaikibaki , asante kuni tag, it's so sad!.
Dr. Mwele ananihusu sana, kwanza nimesoma nae Primary, yeye alitangulia darasa moja, mimi nikisoma Class moja na mdogo wake, Mwendwa (Jaji)...
Pasco wa Iliboru wewe na yule mtoto wa Malechela Senyagwa (rip)aliyepata ajali akiendesha benzi pale Mbuyuni kati yenu nani alikuwa amemzidi mwenzie umri?Mkuu Mwaikibaki , asante kuni tag, it's so sad!.
Dr. Mwele ananihusu sana, kwanza nimesoma nae Primary, yeye alitangulia darasa moja, mimi nikisoma Class moja na mdogo wake, Mwendwa (Jaji)...
Mtu utasomaje na kila mtu?, mimi sijasoma na kila mtu, ila nimetokea kuwa na kumbukumbuku nzuri kwa niliosoma nao, au darasa moja, shule moja, au chuo kimoja, tena huwezi amini nawakumbuka kwa majina, toka niliosoma nao Kindergarten!, ila imetokea wengi niliosoma nao, tangu Primary, sekondari, A lever na Chuo, they happen to be somebodies!.We umesoma na kila mtu
Senyagwa ndio wa kwanza kwao, Mwele ni wa pili, Mwendwa ni wa tatu, mwendwa ndio darasa moja na mimi, Ippy ni wa mwisho. Tukiwa primary alitutangulia, Mimi nimejiunga Tambaza form 1, Senyagwa yuko form V - PCM. Nikiwa form III, Mwele akaja Tambaza PCB.Pasco wa Iliboru wewe na yule mtoto wa Malechela Senyagwa (rip)aliyepata ajali akiendesha benzi pale Mbuyuni kati yenu nani alikuwa amemzidi mwenzie umri?
Le Mutuz ni kaka yake mkubwa.Mkuu hv huyo marehemu na Lemutuz nan mkubwa
Sikujua Tambaza ilikuwa shule ya wasichana in the 70'sMkuu Mwaikibaki
Dr. Mwele ananihusu sana, kwanza nimesoma nae Primary, yeye alitangulia darasa moja, mimi nikisoma Class moja na mdogo wake, Mwendwa (Jaji). Kisha tukakutana Tambaza yeye
A-Level mimi O-Level