TANZIA Dkt. Mwele Ntuli Malecela afariki Dunia, aligombea Urais wa JMT 2015

Yet huteuliwi popote pamoja na kusoma na wateule hii inaonyesha una kasoro.
 
Kwenye cv yake inaonyesha kasoma weruweru na kilakala, na hizo ni shule za wasichana tu. Wewe unaitwa paskali, mbona nashindwa kuelewa? Au wewe ni ke?
 
Mkuu ina maana wewe umepisha miaka mi5 na Mama SAMIA?? Aiseee
 
Then kuna vijana wanakuchukulia poa. Pole yetu sote. Sisi waosha magari hapa kijiweni tunamkumbuka alikuwa zaidi ya boss
 
Mkuu kumbe tuanze kukuamkia asee maana Mwele ana 59, but hongera sn
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…