Dkt. Mwigulu asema Nchi haiwezi kupigwa Tsh. 30 Trilioni wakati Bajeti yetu haivuki Tsh. Trilioni 50, Mpina asema Waziri hajui lolote

Naona wewe ndiye huna mwelekeo kabisa kwa haya unayoyawasilisha hapa. Inaonyesha wazi wewe ni kundi la hao majizi anao waongelea Luhaga Mpina.
 
Kwani ni mwaka gani Wavuvi wa nchii hii walikuwa Matajiri? Uvuvi wa kutumia Ngalawa na Majahazi ndiyo wawe Matajiri!!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Unaweza kuitenganisha sekta binafsi ya Tanzania na Makada wa CCM!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Kwa hiyo upigaji upo au hakuna??
 
Unaweza kuwa na hoja ila kauli zako zikakufanya udharaulike
 
Na katika huo umaskini wao ukiwachomea nyavu unatarajia nini? Acha kutetea upumbavu wa Mpina
Mpina kachoma nyavu Jana? Mlikuwa wapi kumwambia hadi alipomsema Mwigulu kuhusika ktk wizi? Sasa imeshaonekana wazi kuwa Mwigulu awaliwalipa hili mshambulie wanaomkosoa. Hii haina afya kwake.
 
Mpina kachoma nyavu Jana? Mlikuwa wapi kumwambia hadi alipomsema Mwigulu kuhusika ktk wizi? Sasa imeshaonekana wazi kuwa Mwigulu awaliwalipa hili mshambulie wanaomkosoa. Hii haina afya kwake.
Enzi za mwendakuzimu kuna mtu alikuwa anathubutu kusema chochote?
 
ongea kwa hoja, usiongee kwa ghadhabu kama mmechukuliana mwanamke. hapa wewe ndio umeonekana mjinga kuliko wote kwasababu unaongea kwa hisia sio hoja.
 
Yale maagizo ya kula kwa urefu wa kamba yameitikiwa vizuri
 
Yale maagizo ya kula kwa urefu wa kamba yameitikiwa vizuri
 
Hatutaki unafiki wenu kama alishasemaga ripoti za CAG ni za kumchafua JPM basi aendelee kuamini hivyo sio kisa kakosa uwaziri ndio anajifanya kumtambua CAG
Hoja yake haina maana?

Kwanini siku hizi usichukue tu kadi ya ccm ili umuungr mokono vizuri huyu Samia wako.?
 

Na wizi mkubwa ambao CAG huwa anaugundua ni wa nchi gani?
 
Yale maagizo ya kula kwa urefu wa kamba yameitikiwa vizuri
 
V
Vipi mbona jazba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…