Toa sababu basi za kila mmoja wao kilichokufanya ufikirie Hivyo. Maana wabongo tunapenda Sana kuropoka bila ya kuwa na ushahidi[emoji16][emoji16]Mbarawa, Makamba, Mwigulu, Aweso, Nape, Ummy, Bashe, Kijachu, Jafo na Masauni hawafai kuwa kwenye ofisi za umma wanatakiwa magereza haraka sn
Hoja ipi kama sio unafiki tu wa kuumia kwamba yeye sio sehemu ya mgao huo!!Hoja yake haina maana?
Kwanini siku hizi usichukue tu kadi ya ccm ili umuungr mokono vizuri huyu Samia wako.?
Tulia dada angu haya mambo ni makubwa huwezi kuelewa weweToa sababu basi za kila mmoja wao kilichokufanya ufikirie Hivyo. Maana wabongo tunapenda Sana kuropoka bila ya kuwa na ushahidi[emoji16][emoji16]
Sawa mama kitobo, nimekuelewa[emoji16][emoji16]Tulia dada angu haya mambo ni makubwa huwezi kuelewa wewe
Umekasirika sana!Hakuna jitu jinga kama Mpina, lenyewe ndio halijui kitu. Namfahamu tangia kaiwa Mzumbe huwezi kwa namna yoyte kumlimganisha hata kwa tone na Mwigulu.
Huwa linaongeaga kwa jazba kukosa uwaziri, shida ni kwamba halina impact ktk nchi hii. Amesharudisha yale mashamba alowadhulumu wananchi kule Morogoro?
Mhhh,mbona joto hasira?Hakuna jitu jinga kama Mpina, lenyewe ndio halijui kitu. Namfahamu tangia kaiwa Mzumbe huwezi kwa namna yoyte kumlimganisha hata kwa tone na Mwigulu.
Huwa linaongeaga kwa jazba kukosa uwaziri, shida ni kwamba halina impact ktk nchi hii. Amesharudisha yale mashamba alowadhulumu wananchi kule Morogoro?
Hakuna jitu jinga kama Mpina, lenyewe ndio halijui kitu. Namfahamu tangia kaiwa Mzumbe huwezi kwa namna yoyte kumlimganisha hata kwa tone na Mwigulu.
Huwa linaongeaga kwa jazba kukosa uwaziri, shida ni kwamba halina impact ktk nchi hii. Amesharudisha yale mashamba alowadhulumu wananchi kule Morogoro?
Katupiga wavuvi pesa naviungo kunawatu wanamaumivu hadileo ziwatanganyika huku kunauvuvi unaitwa kipe hufanyika kwa leseni pia niuvuvi salama tu huvuliwa kwenye kinakirefu chamaji lakini jamaa nawahuni wenzake alisema hatauwe navigezo waowanataka pesa kama hutoipesa vifaa vyako wanachoma nakuteka malizingine mfano engine nakweli walitekeleza ubabe huo ndio maana mpina simpendiKakuibia nini hebu fafanua weka na ushahidi?.