msindikizaji
JF-Expert Member
- Aug 29, 2010
- 1,763
- 2,888
Beyond their scope...[emoji23][emoji23][emoji23] yaaani am sure hawana hata idea waanzie wapi na hakuna hata aliyewaza even for a second laba hata wajaribu kukisoma kirusi ndani ya maabara.Hvi NIMRI wanafanya nn au nao wanajifukiza? Kwa nn maghufuli asiifute NIMR na kuwafukuza wote kazi ...mpak sa hv hawajaonyesha effort yyte ya wao nao kutafta chanjo ...wamekaa tu kusikiliza matamko ya Wana siasa
Mwambie Mwigulu kuwa kinachoangaliwa ni aina ya virus na chanjo yake.Akizungumza katika kipindi cha Clouds 360, Waziri Dkt. Mwigulu Nchemba amesema watanzania wanapaswa kujiuliza chanjo za watu wa nchi zenye baridi zinawezaje kuwasaidia watu wa Dar es Salaam kwenye joto.
Mwigulu amesema ndio maana watu waliotoroka wakaenda kuchanja kimya kimya zinawaletea matatizo.
Chanzo: Clouds 360
Maendeleo hayana vyama!
Wadudu wa maradhi hutegemea hali ya nchi mfano Ulaya na marekani wadudu wa malaria hawawezi ku survive sababu ya baridi kali wanastawi maeneo ya ki tropic kwenye joto kali.Waziri yuko sahihi utafiti wameufanya kwenye maeneo yenye baridi kali ya ulaya na marekaniJoto la binadamu ni 36.9oC bila kujali yupo wapi.
Aibu naona mimi....ukute tunadeal na kiongozi ambae haelewi chochote kuhusu ugonjwa matokeo anaropoka tu. [emoji57][emoji57][emoji57]Anaongea kama mtoto mdogo alievaa pampasi ambae hajui la kufanya!Kwa hiyo kwa akili yake anafikiri kuwa wanasayansi wanaweza kutengeneza chanjo ambayo haifanyi kazi katika mazingira ya joto halafu wakurupuke na kusema kuwa hiyo chanjo ipelekwe Afrika?Hiyo ndiyo maana ya sayansi?
Yeye kikubwa alipaswa aongelee suala la tatizo la COVID-19 virus variants ambalo tayari wanasayansi wa chanjo wanalijua vizuri sana na wanajua namna ya kupambana nalo.He is a creepy asshole fool ambae anaongea kama mtoto mdogo mwenye elimu ya chekechea.Halafu hawa ndiyo viongozi tunaotegemea watuvushe?Mimi huwa najiuliza sana,how possible Taifa lenye watu zaidi ya million hamsini tunaishia kupata viongozi vichaa kila kona kuanzia pale top?!
Yumo humu amekusikia!Mwambie Mwigulu kuwa kinachoangaliwa ni aina ya virus na chanjo yake.
kumbuka hii ni corona(homa ya mapafu) sio kisonono.Nchi za baridi lakini binadam ni yule yule body temp ni 37°C
Kwani ni dawa gani hazijaanzia kwenye nchi za baridi.. tuache ujuaji
Halafu ni PhD holder!!!Aibu naona mimi....ukute tunadeal na kiongozi ambae haelewi chochote kuhusu ugonjwa matokeo anaropoka tu. [emoji57][emoji57][emoji57]
na zote hufanyia kazi kwenye baridi pia.Anajua factor zinazo tumika wakati wa majaribio au ana ongea tuu maadam yuko mbele ya kamera?
Kuna mambo mengine wana siasa mnatakiwa kukaa kimya.
By the way hakuna chanjo inayo hifadhiwa kwenye moto. Zote huhifadhiwa kwenye fridge..
Kuna point ya msingi hapaNchi za baridi lakini binadam ni yule yule body temp ni 37°C
Kwani ni dawa gani hazijaanzia kwenye nchi za baridi.. tuache ujuaji
Kwenye hizo nchi za baridi binadamu joto la mwili ni 30'? Chanjo ya kifua kikuu imetengenezwa Tanga?Akizungumza katika kipindi cha Clouds 360, Waziri Dkt. Mwigulu Nchemba amesema watanzania wanapaswa kujiuliza chanjo za watu wa nchi zenye baridi zinawezaje kuwasaidia watu wa Dar es Salaam kwenye joto.
Mwigulu amesema ndio maana watu waliotoroka wakaenda kuchanja kimya kimya zinawaletea matatizo.
Chanzo: Clouds 360
Maendeleo hayana vyama!
Kwa kweli inasikitisha! Wazungu walikufa sana na Polio hadi walipogundua chanjo ambayo imetumika hadi wakati huku. Hii ilikuwa ni Marekani 1955. Labda wakati huo nchi za wazungu zilikuwa hazijaanza kuwa na baridi!Shida kubwa ya nchi zetu ni pale wanasiasa wanapoamua kujifanya ni wataalam wa kila kitu na kuwapuuza wataalam, huku wataalam nao wakiamua kujitoa ufahamu kulinda ulaji wao.
Mambo mengine ni aibu kabisa kila mtu sasa anajifanya daktari ilimradi apate la kuongea kumuunga mkono JPM.
Bahati mbaya virus wa corona yupo katika nchi za joto na Baridi, tofauti na virus wa malaria.Wadudu wa maradhi hutegemea hali ya nchi mfano Ulaya na marekani wadudu wa malaria hawawezi ku survive sababu ya baridi kali wanastawi maeneo ya ki tropic kwenye joto kali.Waziri yuko sahihi utafiti wameufanya kwenye maeneo yenye baridi kali ya ulaya na marekani
Nyie mnaotangaza watu kufa na corona wakati sio madakitalihuwa mmepewa idhini na nani?Kwenye hil la Corona kila mtu kageuka Daktari, hili ndilo linatuponza Watanzania.
Anayemuhoji mwenyewe anavizia udc,udas na uded...Hii ni chanjo ya kwanza kujaribiwa eneo lenye baridi?
Anayemhoji ameuliza hili swali au la?
sasa mbona sehemu za baridi ndio wanaongoza kufa kwa Corona kuliko sehemu za joto?Bahati mbaya virus wa corona yupo katika nchi za joto na Baridi, tofauti na virus wa malaria.
Aache ukilaza huyo Zinjanthropus. Awe anauliza wanaojua kabla hajahorojoka. Aibu nimeona mimi sasa dah!Akizungumza katika kipindi cha Clouds 360, Waziri Dkt. Mwigulu Nchemba amesema watanzania wanapaswa kujiuliza chanjo za watu wa nchi zenye baridi zinawezaje kuwasaidia watu wa Dar es Salaam kwenye joto.
Mwigulu amesema ndio maana watu waliotoroka wakaenda kuchanja kimya kimya zinawaletea matatizo.
Chanzo: Clouds 360
Maendeleo hayana vyama!
Unajuaje kama yeye kapewa taarifa na madakitari ndo maana kaongea, au ndio mnaitwa wa kukurupuka?Shida kubwa ya nchi zetu ni pale wanasiasa wanapoamua kujifanya ni wataalam wa kila kitu na kuwapuuza wataalam, huku wataalam nao wakiamua kujitoa ufahamu kulinda ulaji wao.
Mambo mengine ni aibu kabisa kila mtu sasa anajifanya daktari ilimradi apate la kuongea kumuunga mkono JPM.
kuna baridi utadhani njombe (kwa sehem ambayo personally niliwahi kutembelea)Ipo hoja ndani yake .....
SOUTH AFRIKA KUNA BARIDI AU JOTO?
Hata baadhi ya maeneo ya Mbeya, Njombe na Makete mfano kwenye milima ya Kitulo baridi huwa inafika kwenye freezing point.Kule port Elizabeth huwa inafika mpaka -8 degree celcius