Dkt. Mwigulu: Kabla ya Samia kuingia madarakani mabenki yetu yaliishiwa pumzi

Dkt. Mwigulu: Kabla ya Samia kuingia madarakani mabenki yetu yaliishiwa pumzi

Naipendatz

JF-Expert Member
Joined
Jul 27, 2011
Posts
5,096
Reaction score
8,234
"Ilikuwa haisemwi kwa sauti kubwa lakini ni ukweli usiofichika kwamba mabenki yetu mengi yalikuwa yameishiwa pumzi. Ulikuwa ukienda kwenye counter zao unahesabu wateja wawili watatu na wateja wengi walikuwa wanadefault," Waziri wa Fedha na Mipango Dk. Mwigulu Nchemba.

Ameyasema hayo leo 05/03/2022 wakati wa uzinduzi wa jengo jipya la makao makuu ya CRDB, jijini Dar es Salaam.
 
Ni kweli...
Hata mikopo ya kawaida ukienda kuomba ilikuwa unachelewa kupata kwakuwa benki nyingi ziliishiwa.

Watu waliogopa kwanza kuweka fedha kwenye benki kwakuwa kipindi kile fedha za watu zilikuwa zinachotwa na task force ya Jiwe
Tumepitia mengi
 
Ni kweli..
Hata mikopo ya kawaida ukienda kuomba ilikuwa unachelewa kupata kwakuwa benki nyingi ziliishiwa..
Watu waliogopa kwanza kuweka fedha kwenye benki kwakuwa kipindi kile fedha za watu zilikuwa zinachotwa na task force ya Jiwe
Tumepitia mengi
Kamshahara kako ka laki nne jiwe angechukua afanyie nini?

Yaani kila kitu mnapakazia huyu marehemu..
 
Ni kweli..
Hata mikopo ya kawaida ukienda kuomba ilikuwa unachelewa kupata kwakuwa benki nyingi ziliishiwa..
Watu waliogopa kwanza kuweka fedha kwenye benki kwakuwa kipindi kile fedha za watu zilikuwa zinachotwa na task force ya Jiwe
Tumepitia mengi
Akina Sabaya, kazi yao ilikuwa kuchungulia accounts za wafanyabiashara and then kuwatengenezea zengwe ili watoe hela
 
Siku akija Rais mwingine halafu akampa fursa,huyu hachelewi kusema awamu iliyopita nchi Ilikuwa ICU Kwa madeni🤣🤣🤣!
Kwa Sasa anakula mema ya nchi na kucheza midundo ya mtawala!
 
"Ilikuwa haisemwi kwa sauti kubwa lakini ni ukweli usiofichika kwamba mabenki yetu mengi yalikuwa yameishiwa pumzi. Ulikuwa ukienda kwenye counter zao unahesabu wateja wawili watatu na wateja wengi walikuwa wanadefault," Waziri wa Fedha na Mipango Dk. Mwigulu Nchemba.

Ameyasema hayo leo 05/03/2022 wakati wa uzinduzi wa jengo jipya la makao makuu ya CRDB, jijini Dar es Salaam.
Hawa hawa walikuwa wanamsifia kupita kiasi dikteta
 
"Ilikuwa haisemwi kwa sauti kubwa lakini ni ukweli usiofichika kwamba mabenki yetu mengi yalikuwa yameishiwa pumzi. Ulikuwa ukienda kwenye counter zao unahesabu wateja wawili watatu na wateja wengi walikuwa wanadefault," Waziri wa Fedha na Mipango Dk. Mwigulu Nchemba.

Ameyasema hayo leo 05/03/2022 wakati wa uzinduzi wa jengo jipya la makao makuu ya CRDB, jijini Dar es Salaam.
Kama saivi Yana pumzi tutegemee mafanikio makubwa kwenye ujenzi wa miundombinu
 
Back
Top Bottom