Kwahiyo akaamua kutukamua kwa tozo ili ma benki ya pone?"Ilikuwa haisemwi kwa sauti kubwa lakini ni ukweli usiofichika kwamba mabenki yetu mengi yalikuwa yameishiwa pumzi. Ulikuwa ukienda kwenye counter zao unahesabu wateja wawili watatu na wateja wengi walikuwa wanadefault," Waziri wa Fedha na Mipango Dk. Mwigulu Nchemba.
Ameyasema hayo leo 05/03/2022 wakati wa uzinduzi wa jengo jipya la makao makuu ya CRDB, jijini Dar es Salaam.
Dah jf bwana haiboi, haipoiHuyu jamaa nikisikia mtu katembea na fuvu lake nitafurah sana
Lengo ni hilo rafiki, na wala si lingine...Wameua financial inclusion huku wakienzi ma benki ambayo yamekaa kinyonyaji na yasiyotaka kutoa huduma kwa watu masikini na walio mbali na mijiniWapunguze tozo za mihamala ya kwenye simu waone kama tutaenda tena kwenye mabenk yao.
Sana.hili jamaa linafiki Sana!Huyu jamaa nikisikia mtu katembea na fuvu lake nitafurah sana
Huyo ndiye Mwigulu Lameck Madelu Nchemba. Na hizo ndizo siasa chafu sasa..."Ilikuwa haisemwi kwa sauti kubwa lakini ni ukweli usiofichika kwamba mabenki yetu mengi yalikuwa yameishiwa pumzi. Ulikuwa ukienda kwenye counter zao unahesabu wateja wawili watatu na wateja wengi walikuwa wanadefault," Waziri wa Fedha na Mipango Dk. Mwigulu Nchemba.
Ameyasema hayo leo 05/03/2022 wakati wa uzinduzi wa jengo jipya la makao makuu ya CRDB, jijini Dar es Salaam.
Mkuu ulishaambiwa ...kuwa CCM lazima uwe na digrii ya Uzamivu ya Unafiki!😡Mwigulu Nchemba wewe ni mnafiki, kwanini hukuyasema haya alipokuwepo Magufuli?
Huenda sio yeye lakini anamjua mtu aliyepatwa na hayo..nan kakuambia walikuwa wanaangalia laki 4?????Ana utajiri upi mpaka apokonywe pesa mnapenda kufuata mkumbo Sana.
Eti kuna wastaafu wengine wanawashwa washwa naye akamtolea uvivu nitumeni popote DUNIANI nitakwenda kwani mimi sio mbwa ninaye bweka ndani tuTena yeye alikuwa anawaponda live mbele ya kadamnasi, wakiwa hai