Dkt. Mwigulu: Kabla ya Samia kuingia madarakani mabenki yetu yaliishiwa pumzi

Dkt. Mwigulu: Kabla ya Samia kuingia madarakani mabenki yetu yaliishiwa pumzi

"Ilikuwa haisemwi kwa sauti kubwa lakini ni ukweli usiofichika kwamba mabenki yetu mengi yalikuwa yameishiwa pumzi. Ulikuwa ukienda kwenye counter zao unahesabu wateja wawili watatu na wateja wengi walikuwa wanadefault," Waziri wa Fedha na Mipango Dk. Mwigulu Nchemba.

Ameyasema hayo leo 05/03/2022 wakati wa uzinduzi wa jengo jipya la makao makuu ya CRDB, jijini Dar es Salaam.
Moja ya sifa ya kuwa mwana siasa ni akili kukaa tenge, hata kama utakuwa umesoma vitabu vyote vya dunia hii.
 
"Ilikuwa haisemwi kwa sauti kubwa lakini ni ukweli usiofichika kwamba mabenki yetu mengi yalikuwa yameishiwa pumzi. Ulikuwa ukienda kwenye counter zao unahesabu wateja wawili watatu na wateja wengi walikuwa wanadefault," Waziri wa Fedha na Mipango Dk. Mwigulu Nchemba.

Ameyasema hayo leo 05/03/2022 wakati wa uzinduzi wa jengo jipya la makao makuu ya CRDB, jijini Dar es Salaam.
Anaongea kana kwamba hakuwahi kuitumikia awamu ya tano. Mwigulu ni hatari sana. Ni wa kuogopa kama Covid-19.
 
Kinachoniuma kuna wafanyabiashara hadi leo bado hawajasimama.. Wapo hoi
Kuna mmoja alikuwa anaagiza spare za pikipiki/ Bajaji.. Nje ya nchi.. Walimdaka akaonyesha anavyolipa kodi.. Task force ya Jiwe wakamwambia unalipa kidogo..
Wakamlamba zaidi ya M 110 benki..
Mpaka leo hana uwezo wa kuagiza.. Hana mtaji.. Watu walifilisiwa..
Tuombe tuu uongozi ule usije tena katika nchi hii
Si uongozi, ni sheria tulizo nazi ndio tatizo. Nafuu ya mtanzania inatokana na huruma ya mtawala, si sheria.
 
Mzilankende Mnyago
Dikteta aliumiza wengi sana, aliua ndoto za watu wengi, Madelu naye alikuwa ni muhanga wa Uchwara, sidhani kama hii 5 mingine angemaliza naye! Umeona wapi mchumi anapewa wizara ya sheria aiongoze??
 
Si uongozi, ni sheria tulizo nazi ndio tatizo. Nafuu ya mtanzania inatokana na huruma ya mtawala, si sheria.
Sheria ya TRA ambayo inawapa mamlaka ya kufreez account ilitumika vibaya ..tena ilitumika kulipa visasi
Nakubaliana na wewe sheria zetu ni tatizo
 
"Ilikuwa haisemwi kwa sauti kubwa lakini ni ukweli usiofichika kwamba mabenki yetu mengi yalikuwa yameishiwa pumzi. Ulikuwa ukienda kwenye counter zao unahesabu wateja wawili watatu na wateja wengi walikuwa wanadefault," Waziri wa Fedha na Mipango Dk. Mwigulu Nchemba.

Ameyasema hayo leo 05/03/2022 wakati wa uzinduzi wa jengo jipya la makao makuu ya CRDB, jijini Dar es Salaam.
Kabla ya Samia Nchi ilikuwa inaongozwa na chama gani? Nae alikuwa katika nafasi gani
 
Kaongea ukweli lakini
Sasa ukweli ni upi, kati ya huu na ule alisema Magufuli anastahili kuwa Rais wa Afrika kwa kupandisha uchumi wa nchi?
Maana kauli zote zimetoka kwa mtu mmoja
 
"Ilikuwa haisemwi kwa sauti kubwa lakini ni ukweli usiofichika kwamba mabenki yetu mengi yalikuwa yameishiwa pumzi. Ulikuwa ukienda kwenye counter zao unahesabu wateja wawili watatu na wateja wengi walikuwa wanadefault," Waziri wa Fedha na Mipango Dk. Mwigulu Nchemba.

Ameyasema hayo leo 05/03/2022 wakati wa uzinduzi wa jengo jipya la makao makuu ya CRDB, jijini Dar es Salaam.

Kwa sasa wananchi wa kawaida ndio wanapumulia mashine. Kila kitu bei juu. Gharama za maisha zimepanda mara dufu. Kila bidhaa bei ghali. Umeme, maji, mafuta, nafaka, usafiri vyote viko juu!

Jua nalo linakausha mazao kabla ya wakati wake, baadhi ya maeneo mifugo inakufa kwa ukame. Kila kukicha, afadhali ya jana. Wananchi wa kawaida wasio na mtetezi kwa sasa ndio wanaopumulia mashine!
 
Kwa sasa wananchi wa kawaida ndio wanapumulia mashine. Kila kitu bei juu. Gharama za maisha zimepanda mara dufu. Kila bidhaa bei ghali. Umeme, maji, mafuta, nafaka, usafiri vyote viko juu!

Jua nalo linakausha mazao kabla ya wakati wake, baadhi ya maeneo mifugo inakufa kwa ukame. Kila kukicha, afadhali ya jana. Wananchi wa kawaida wasio na mtetezi kwa sasa ndio wanaopumulia mashine!
Hakuna mtu asiye na mtetezi nchi hii, acha propaganda mfu! And wananchi wapi ni wa kawaida na wapi siyo wa kawaida?
 
Hakuna mtu asiye na mtetezi nchi hii, acha propaganda mfu! And wananchi wapi ni wa kawaida na wapi siyo wa kawaida?
Wananchi wa kawaida ni wale wasiokuwa kwenye mfumo wa uongozi na sio viongozi. Wasio wa kawaida ni viongozi na watawala. Hili halihitaji nguvu nyingi kuelezea. Hata wao kwenye hotuba zao, husema 'kwa mwananchi wa kawaida...'

Kuhusu utetezi, wale wanaotetea wengi wao hulinda zaidi maslahi yao. Je, imeshindikana kabisa kudhibiti mfumuko wa bei? Kabla ya march 2021, bei za bidhaa zikikuwa nafuu. Lakini baada ya hapo, kila bidhaa inazidi kupanda. Nani anazungumzia hili?
 
Yuko sahihi Kilicholeta shida hiyo ni kitengo cha Anti money laundering na TRA
Mfano wewe Dalali wa mteja anakuwekea Milioni 20 kwenye Akaunti umnunulie mzigo mfanyabiashara wa kongo au Zambia au Malawi au mtu wa mikoani TRA walikuwa wanatreat zote kama mauzo yako ndio maana Kariakoo images business.Walitreate ni income wakiona tu pesa zimeingia kwenye akaunti hiyo wanachululia income! Wakati ni pesa iko held on trust huanza chochote .Waligeuza Akaunti za kampuni kama income akaunti na income statement kwa kila kilichoingia

Au mteja anakuachia mazao umuuzie umpe chake huwezi kaa na mipesa yote nyumbani ukienda ku deposit bank maswali Mia moja unatoa wapi kelele kibao kuwa wewe mtakatisha pesa zinazulumiwa watu wakaacha ku deposit kwenye mabenki anti money laundering walihamia na mifumo yao counter za benki watu wakaona isiwe shida tutakaa na pesa zetu nyumbani yaani hata ku deposit tu shida taabu ya nini?

Mimi ni mmoja nilipiga kelele sana humu kuwa Kitengo cha Anti money laundering kitaua mabenki nobody cared.
Unafiki tu ni vile ulipitiwa. Serikali dharimu hazifai.

Tuombe Mungu atupatie viongozi weledi na kuwafyekelea mbali mabaradhuli wote.
 
Hata hao CRDB wameanza ujenzi wa jengo lao kwenye utawala wa Magufuli! Halafu kuna mjinga anasema benki zilikuwa zinapumulia mashine! Ndo maana analeta matozo kana kwamba hakuwahi kusoma uchumi! Mjinga sana huyu bwana!
Kabla ya Samia Nchi ilikuwa inaongozwa na chama gani? Nae alikuwa katika nafasi gani
 
Wapunguze tozo za mihamala ya kwenye simu waone kama tutaenda tena kwenye mabenk yao.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Back
Top Bottom