Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani ccm kumejaa wajinga kiwango cha PhD,huyu mla punda kipindi cha jpm alisifia mabaya yote mpka kusupport mauaji ya wapinzani na maiti kukutwa kwenye viroba alikaa kimya...leo tena anakashifu ya jpm kusifia ya mama kulinda tumbo lakeNimeamini Mwanasiasa akikuambia Toka Nje Kumekucha, Toka Kweli NjeView attachment 2140189
Sent using Jamii Forums mobile app
Si ndio hapo, maana hata sasa yawezekana haki ni mbaya ili anafanya unafiki tuMwigulu Nchemba wewe ni mnafiki, kwanini hukuyasema haya alipokuwepo Magufuli?
Kwasababu alikua hana dhamana ya fedha na mipango wakati ule alikua sheria angeyasemaje? Tuache kukimbilia kumuona mnafiki wakati sivyooMwigulu Nchemba wewe ni mnafiki, kwanini hukuyasema haya alipokuwepo Magufuli?
kwani waziri wa afya wa sasa (2022) ana taaluma ya afya? usikariri mzee , waziri ana kikosi cha watumishi nyuma yake ambao ni maguli wa fani hiyoDikteta aliumiza wengi sana, aliua ndoto za watu wengi, Madelu naye alikuwa ni muhanga wa Uchwara, sidhani kama hii 5 mingine angemaliza naye! Umeona wapi mchumi anapewa wizara ya sheria aiongoze??
Kwi Kwi Kwi"Ilikuwa haisemwi kwa sauti kubwa lakini ni ukweli usiofichika kwamba mabenki yetu mengi yalikuwa yameishiwa pumzi. Ulikuwa ukienda kwenye counter zao unahesabu wateja wawili watatu na wateja wengi walikuwa wanadefault," Waziri wa Fedha na Mipango Dk. Mwigulu Nchemba.
Ameyasema hayo leo 05/03/2022 wakati wa uzinduzi wa jengo jipya la makao makuu ya CRDB, jijini Dar es Salaam.
Mwenye bia nyingi mezani ndio huyo wa kumfuataAiseee wanasiasa na maneno yao duh
Njaa haina baunsaHuyu ndiye alienda Chato kuapishwa,au nimesahau.........
Afya tofauti na sheria Chiefkwani waziri wa afya wa sasa (2022) ana taaluma ya afya? usikariri mzee , waziri ana kikosi cha watumishi nyuma yake ambao ni maguli wa fani hiyo
Madelu katika upupu, na true bank yake DTB ilikuwa pwapwi asante sasa unaijaza bank yako kwa madolatea"Ilikuwa haisemwi kwa sauti kubwa lakini ni ukweli usiofichika kwamba mabenki yetu mengi yalikuwa yameishiwa pumzi. Ulikuwa ukienda kwenye counter zao unahesabu wateja wawili watatu na wateja wengi walikuwa wanadefault," Waziri wa Fedha na Mipango Dk. Mwigulu Nchemba.
Ameyasema hayo leo 05/03/2022 wakati wa uzinduzi wa jengo jipya la makao makuu ya CRDB, jijini Dar es Salaam.
Kuna mtu kasema siasa ngumu kuliko physics sasa mimi nasema siasa ngumu kuliko physics, chemistry, biology, zoology , meteorology, astrology, zygote, coutinho, firminho, fabhino, plantae, zinjathropas, calculator, betri, nkAiseee wanasiasa na maneno yao duh
Huyu jamaa hana rafiki wala adui wa kudumu.Wakati ule , kwenye ile kwaya ya kusifu , alikua anaimba sauti ya kwanza
Anajua kunata na biti.Siku akija Rais mwingine halafu akampa fursa,huyu hachelewi kusema awamu iliyopita nchi Ilikuwa ICU Kwa madeni🤣🤣🤣!
Kwa Sasa anakula mema ya nchi na kucheza midundo ya mtawala!
Bora hata Nape kuna kipindi aliweza kusimamia haki kwenye ile issue ya Bashite kuvamia Clouds mpaka akapoteza uwaziri.Cyprian Mussiba aliwahi kusema ,Ili Uwe Mwana CCM ni lazima uwe na PHD YA UNAFIKI?
Mwigulu ana PHD 7!
Kuna watu watakwabia muongoKinachoniuma kuna wafanyabiashara hadi leo bado hawajasimama.. Wapo hoi
Kuna mmoja alikuwa anaagiza spare za pikipiki/ Bajaji.. Nje ya nchi.. Walimdaka akaonyesha anavyolipa kodi.. Task force ya Jiwe wakamwambia unalipa kidogo..
Wakamlamba zaidi ya M 110 benki..
Mpaka leo hana uwezo wa kuagiza.. Hana mtaji.. Watu walifilisiwa..
Tuombe tuu uongozi ule usije tena katika nchi hii
Huyu hawezi kabisa, Mwigulu ni hatari!Bora hata Nape kuna kipindi aliweza kusimamia haki kwenye ile issue ya Bashite kuvamia Clouds mpaka akapoteza uwaziri.