Dkt. Mwigulu: Kabla ya Samia kuingia madarakani mabenki yetu yaliishiwa pumzi

Dkt. Mwigulu: Kabla ya Samia kuingia madarakani mabenki yetu yaliishiwa pumzi

Dikteta aliumiza wengi sana, aliua ndoto za watu wengi, Madelu naye alikuwa ni muhanga wa Uchwara, sidhani kama hii 5 mingine angemaliza naye! Umeona wapi mchumi anapewa wizara ya sheria aiongoze??
kwani waziri wa afya wa sasa (2022) ana taaluma ya afya? usikariri mzee , waziri ana kikosi cha watumishi nyuma yake ambao ni maguli wa fani hiyo
 
"Ilikuwa haisemwi kwa sauti kubwa lakini ni ukweli usiofichika kwamba mabenki yetu mengi yalikuwa yameishiwa pumzi. Ulikuwa ukienda kwenye counter zao unahesabu wateja wawili watatu na wateja wengi walikuwa wanadefault," Waziri wa Fedha na Mipango Dk. Mwigulu Nchemba.

Ameyasema hayo leo 05/03/2022 wakati wa uzinduzi wa jengo jipya la makao makuu ya CRDB, jijini Dar es Salaam.
Kwi Kwi Kwi
 
"Ilikuwa haisemwi kwa sauti kubwa lakini ni ukweli usiofichika kwamba mabenki yetu mengi yalikuwa yameishiwa pumzi. Ulikuwa ukienda kwenye counter zao unahesabu wateja wawili watatu na wateja wengi walikuwa wanadefault," Waziri wa Fedha na Mipango Dk. Mwigulu Nchemba.

Ameyasema hayo leo 05/03/2022 wakati wa uzinduzi wa jengo jipya la makao makuu ya CRDB, jijini Dar es Salaam.
Madelu katika upupu, na true bank yake DTB ilikuwa pwapwi asante sasa unaijaza bank yako kwa madolatea
 
Kinachoniuma kuna wafanyabiashara hadi leo bado hawajasimama.. Wapo hoi
Kuna mmoja alikuwa anaagiza spare za pikipiki/ Bajaji.. Nje ya nchi.. Walimdaka akaonyesha anavyolipa kodi.. Task force ya Jiwe wakamwambia unalipa kidogo..
Wakamlamba zaidi ya M 110 benki..
Mpaka leo hana uwezo wa kuagiza.. Hana mtaji.. Watu walifilisiwa..
Tuombe tuu uongozi ule usije tena katika nchi hii
Kuna watu watakwabia muongo
 
Sina neno zuri la kuandika, zaidi la kusema malaya wa kisiasa, chawa wa kiwango cha lami, hawa ndiyo viongozi wa dini hua wanasema wanamshauri vibaya rais, ni mchumi wa kwenye vitabu, ameshindwa kupratice field. Siku hizi uchawa imekuwa fashion kwa wasomi, wamewaambukiza mpaka watoto wa chuo. Alitunanganya kama tozo za simu zitamaliza kero za barabara na elimu kinyume chake kimeongeza machungu kwa wananchi. Tozo zimefanya biashara ya mtandao kuto kukua kwa kasi maana wananchi wanashindwa kufanya transaction online sababu ya makato. Biashara ya dunia imehamia online lakini mchumi fake kashindwa kuliona hili. Ndiyo maana hats benki kuu wameshindwa kulounge project yao ambayo ingekuwa na manufaa kwa wananchi kwa ajili ya mpuuzi huyu.
 
Back
Top Bottom