YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,902
- 52,001
Hapana mimi ni mmoja niliongea humu kwenye hili hasa ila kipindi kile kuna watu waliziba masikio hata kwa vitu obvious .Anyway cha msingi mambo yanaenda vizuri kwa sasa .Let us forget the pastKuna ukweli/uongo ulikuwa hausemwi enzi za JPM Sasa unasemwa wakati wa Samia
Na Samia akitoka madarakani nae atasemwa tu kwa ubaya.
. Kuna mazuri sana past yalifanyika lakini kuna maeneo past walichemka mno ok hawakuwa Miungu .Tusamehe tu tusonge mbele Mungu tu ndie hakosei